Finally nimepata watoto mapacha kwa njia ya surrogate

Nilimtafuta mwanamke nikampa ela kupitia mwanasheria akabeba mimba miez Tisa baada ya kujifungua watoto mapacha nikachukua watoto wangu nikampa hela tuliyokubaliana kila mtu Akala hamsin zake.
Kwa nini usimuoe huyo mwanamke bwasheee [emoji3166][emoji3166][emoji3166]
 
Huyo sasa ndio amekuzalia.

Maana 100% watoto ni wako,
mama alozaa hana chake hapo!

Mama anakuwa hajui hata sura ya mtoto ikoje, haruhusiwi kuwaona hata kidogo !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…