BaBa BoGo Member Joined Jan 17, 2023 Posts 17 Reaction score 23 Jan 29, 2023 #301 Dennis_ said: Nilimtafuta mwanamke nikampa ela kupitia mwanasheria akabeba mimba miez Tisa baada ya kujifungua watoto mapacha nikachukua watoto wangu nikampa hela tuliyokubaliana kila mtu Akala hamsin zake. Click to expand... Kwa nini usimuoe huyo mwanamke bwasheee [emoji3166][emoji3166][emoji3166]
Dennis_ said: Nilimtafuta mwanamke nikampa ela kupitia mwanasheria akabeba mimba miez Tisa baada ya kujifungua watoto mapacha nikachukua watoto wangu nikampa hela tuliyokubaliana kila mtu Akala hamsin zake. Click to expand... Kwa nini usimuoe huyo mwanamke bwasheee [emoji3166][emoji3166][emoji3166]
A Akilinjema JF-Expert Member Joined Aug 9, 2016 Posts 11,430 Reaction score 11,813 Jan 30, 2023 #302 Hongera sana!
A Akilinjema JF-Expert Member Joined Aug 9, 2016 Posts 11,430 Reaction score 11,813 Jan 30, 2023 #303 Huyo sasa ndio amekuzalia. Maana 100% watoto ni wako, mama alozaa hana chake hapo! Mama anakuwa hajui hata sura ya mtoto ikoje, haruhusiwi kuwaona hata kidogo !
Huyo sasa ndio amekuzalia. Maana 100% watoto ni wako, mama alozaa hana chake hapo! Mama anakuwa hajui hata sura ya mtoto ikoje, haruhusiwi kuwaona hata kidogo !