Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Pole sana mkuu, ndio maana huwa nasema wanawake ni wajinga wajinga isipokuwa mama yangu na mama yako tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha hata baba zenu husema hivyo hivyo kuwa wanawake ni wajinga wajinga kasoro Mama zao, sasa hao Mama zao ni bibi zenu, na wanawake wajinga wajinga ni ....zenu.[emoji12]Pole sana mkuu, ndio maana huwa nasema wanawake ni wajinga wajinga isipokuwa mama yangu na mama yako tu
Hongera, tunaomba utupatie utaratibu uliofuata, changamoto, gharama n.k.Baada ya vibuti na kukataliwa na wanawake wengi finally niliamua kutumia surrogate ili kujenga familia upinzani ulikua mgumu Ila finally nimefanikiwa Ila ndo hivyo watoto hawatakua na mama sababu mbegu za kike nilinunua
Life is good kama ukikubali ukweli kwamba love relationship is not for everyone
Surrogate ni mkomboz kwa sisi wanaume ambao tuna damu za kunguni a.k.a za kukataliwa na wanawake
The positive things Sina kinyogo au chuki dhidi ya wanawake kabisa hadi wale walionikataa, Masha haya ni mafupi na kamwe huwez nikuta nikiwaponda wanawake naheshimu mahamuzi yao hata kama mim sikuyapenda
hongera sana ila Pole sana kwa mgawo wa umeme na maji nahisi unapambana sanaNilimtafuta mwanamke nikampa ela kupitia mwanasheria akabeba mimba miez Tisa baada ya kujifungua watoto mapacha nikachukua watoto wangu nikampa hela tuliyokubaliana kila mtu Akala hamsin zake
Kwa hii comment nimekuona bado u mtt kiakili.Inawezekana mzee. Kuna ile unakua na vigezo flani hivi vya mwanamke unaetaka kua nae, bahati mbaya kila mwenye hivyo vigezo ukijitahidi kumtongoza na kuonyesha nia ya dhati ya kua nae unaambulia vibuti... Halafu wale ambao huna mzuka nao ndio wanakushobokea hatari.
Hakuna raha kama kuingia katika ndoa na mtu wa ndoto zako. Inaleta utulivu flani hivi wa nafsi. Bahati mbaya ni wachache hupata bahati hiyo! Majority hujikuta anafanya maisha na mtu ambae hata hakua ktk fantasy zake. Ndio hao mwisho wa siku unakuta wapo kwenye ndoa lkn kutwa wanahangaika na ma X!
He's so specialTatizo umejifikiria ww tu wala hujafikiria makuzi na psycology na makuzi ya hao wanao.
Amini nakwambia "Ipo siku utajuta" kwa hiki ulichokifanya.
Mungu si mwehu kuweka baba na mama.
Chunga sana wanao wasije imba wimbo wa Michael Jackson - Earth song hasa ile chorus( what about us!)
I think so mkuu[emoji23]Kibongo bongo
-Ukiweza kumudu pesa ya surrogate
-Huwez kukosa pesa ya kung'oa pisi Kali ukazaa nayo,achilia mbali ya kuoa kabisa
-Probably una chuki na wanawake au Hii Ni chai huna uwezo wa kumudu surrogate wewe
Hapahapa Kwa mama samia!? Au kwingine!? Au mimi ndio sijaelewa!.... KWA nature ya hapa kwetu....sijui!!! Labda mi mgeni hapa! Nchini....Nilimtafuta mwanamke nikampa ela kupitia mwanasheria akabeba mimba miez Tisa baada ya kujifungua watoto mapacha nikachukua watoto wangu nikampa hela tuliyokubaliana kila mtu Akala hamsin zake
Inavyo-onyesha kupitia uandishi wako....bado wewe ungali mtoto 2000's...Nilimtafuta mwanamke nikampa ela kupitia mwanasheria akabeba mimba miez Tisa baada ya kujifungua watoto mapacha nikachukua watoto wangu nikampa hela tuliyokubaliana kila mtu Akala hamsin zake
Umenena vyema ila;Kwa hii comment nimekuona bado u mtt kiakili.
Swai jepesi unajua Ni wangapi walitaka kuwa madaktari ama mainjinia sema alama zikawapeleka kwenye ualimu. Unadhani hao walioenda kwenye ualimu maisha hayaendelei bado.eti demu wa mwenye fantasies zako. Unadhani hata ungeoa malaika tokea mbinguni unadhani usingechepuka ,naomba umri wako hutojali.
Unajua almost 70% ya wamarekani wanafanya kazi ambazo hawazipendi. Ivyo to any parts za dunia. Mie sikupenda kusoma Ila bro alikuwa ananilazimishia skul Ila bado maisha yanaendelea.
YAni unaongea emotions na emotions Ni temporary Kama ilivyo furaha Kama hii uliyo nayo baadaye itaisha.
Ukipata demu mpya,kazi,gari,mtt,elimu,nyumba ,hasira , anything huwa Ni kwa muda mchache baadaye unarudi kwenye Hali yako. Hata saivi ukipata dola trillion baadaye utaziona hela Ni za kawaida Mana utatembea dunia nzima na kufanya ama na kumiliki unachotaka ama kutamani baadaye utarudia kuwa binadamu yule yule.
Unataka perfection ya maisha hutokaa uipate,unapata kazi pesa Mara hapa umeuguliwa ama mwanao akakata shule Mara umegongewa Mara jirani yako mnazozana eneo dogo la mpaka. Yaani hakuna perfection. nothing is really black or white thinking. Nothing is really zero or 100% . Tunaishi katika ulimwengu wa probability sema hatukubaliani ivyo Mana brain yetu haipendi ama haijaumbwa ku function in PROBABILISTIC modal. We're love to think as if yesterday is today.
Yaani tunapenda mno certainty na wakati life is full of uncertainties,we love to be in comfortable situation.
Iko hivi hata hapo Kama uko ofisini Kuna keep unaiona,Kama una biashara kuna shida labda hapo pembeni yako jirani yako anakuonea wivu na Ana chuki tu bila sababu.
Nikuambie tu hata Kama unaishi kwako bado unaona nyumbani kwako Kuna vitu hujaviweka sawwa kisa hela. Kama umejenga madale unatamani ungekuwa mbezi Masaki kapri point,Kama una gari ya 100M ukikutana na mtu wa gari ya 500M unajidharau.
Life has never been perfect ever never ever since the dawn.
Hata uweje na mke ambaye dunia nzima akapendwa bado utachepuka ama utatamani.
Kama hujui ama hujanielewa nachokuambia.
Elewa tu kuwa
Sikio halijawahi choka kusikia ama kusikiliza .
Jicho halijawahi choka kuona ama kutizamana.
Miguu haijawahi kuchoka kutembea.
Kichwa ama ubongo haijawahi kuchoka kuwaza.
Pua haijawahi choka kunusa .
Moyo Sasa unadhani why uchoke kutamani hii Ni nature huwezi pingana na nature labda itabidi ufe.
Jiulize why dunia haijawahi choka kuzunguka kwa mhimili wake ikatupa usiku na mchana ,na ikazunguka jua tukapata majira manne ya mwaka like kipupwe,mvua n.k.
Ndege hajawahi choka kujitafutia riziki.
Mto hujawahi choka ku flow.
Mfumo wa mzunguko wa maji aka hydrological system hujawahi choka kufanya kazi yake.
Mdomo hujawahi choka ama tosheka kula.
Tumbo halijawahi choka kushiba chakula ama lichoke chakula.
Naweza nikaandika mpaka kesho Ila Kama una nia ya kuelewa utaelewa.
Unadhani wote walioana wameona na waliowapenda kidhati ,unadhani wote wenye wazazi unadhani huwa hawatamani Kama wazazi wao nao wangekuwaga mafisadi ili wangesomea na kukulia huko mambele.
Nakuona bado unaendeshwa na ego yaani unataka kama labda uonekane you're so special hapa duniani. Wakati you're dust Iike me.
Mkuu mwaka 2000 kipindi cha ngangari na ngunguri undo unasema nimezaliwa umenikosea heshima sanaInavyo-onyesha kupitia uandishi wako....bado wewe ungali mtoto 2000's...
Hamsini unaandika-hamsin...,Hela unaandika-ela! Nyinyi ndio wale wa Sasa-asa!, Shwari-xshwar..! Grow up! Rudi Skuli!
Hili si jukwaa la chit-chat
Watanzania mna shida sana hivi kwani mim ndo wa-kwanza kufanya surrogate kwa taarifa yako kufanya surrogate hakuna uspecial wowote mim sio wa kwanza wako watu kibao wamefanyaKwa hii comment nimekuona bado u mtt kiakili.
Swai jepesi unajua Ni wangapi walitaka kuwa madaktari ama mainjinia sema alama zikawapeleka kwenye ualimu. Unadhani hao walioenda kwenye ualimu maisha hayaendelei bado.eti demu wa mwenye fantasies zako. Unadhani hata ungeoa malaika tokea mbinguni unadhani usingechepuka ,naomba umri wako hutojali.
Unajua almost 70% ya wamarekani wanafanya kazi ambazo hawazipendi. Ivyo to any parts za dunia. Mie sikupenda kusoma Ila bro alikuwa ananilazimishia skul Ila bado maisha yanaendelea.
YAni unaongea emotions na emotions Ni temporary Kama ilivyo furaha Kama hii uliyo nayo baadaye itaisha.
Ukipata demu mpya,kazi,gari,mtt,elimu,nyumba ,hasira , anything huwa Ni kwa muda mchache baadaye unarudi kwenye Hali yako. Hata saivi ukipata dola trillion baadaye utaziona hela Ni za kawaida Mana utatembea dunia nzima na kufanya ama na kumiliki unachotaka ama kutamani baadaye utarudia kuwa binadamu yule yule.
Unataka perfection ya maisha hutokaa uipate,unapata kazi pesa Mara hapa umeuguliwa ama mwanao akakata shule Mara umegongewa Mara jirani yako mnazozana eneo dogo la mpaka. Yaani hakuna perfection. nothing is really black or white thinking. Nothing is really zero or 100% . Tunaishi katika ulimwengu wa probability sema hatukubaliani ivyo Mana brain yetu haipendi ama haijaumbwa ku function in PROBABILISTIC modal. We're love to think as if yesterday is today.
Yaani tunapenda mno certainty na wakati life is full of uncertainties,we love to be in comfortable situation.
Iko hivi hata hapo Kama uko ofisini Kuna keep unaiona,Kama una biashara kuna shida labda hapo pembeni yako jirani yako anakuonea wivu na Ana chuki tu bila sababu.
Nikuambie tu hata Kama unaishi kwako bado unaona nyumbani kwako Kuna vitu hujaviweka sawwa kisa hela. Kama umejenga madale unatamani ungekuwa mbezi Masaki kapri point,Kama una gari ya 100M ukikutana na mtu wa gari ya 500M unajidharau.
Life has never been perfect ever never ever since the dawn.
Hata uweje na mke ambaye dunia nzima akapendwa bado utachepuka ama utatamani.
Kama hujui ama hujanielewa nachokuambia.
Elewa tu kuwa
Sikio halijawahi choka kusikia ama kusikiliza .
Jicho halijawahi choka kuona ama kutizamana.
Miguu haijawahi kuchoka kutembea.
Kichwa ama ubongo haijawahi kuchoka kuwaza.
Pua haijawahi choka kunusa .
Moyo Sasa unadhani why uchoke kutamani hii Ni nature huwezi pingana na nature labda itabidi ufe.
Jiulize why dunia haijawahi choka kuzunguka kwa mhimili wake ikatupa usiku na mchana ,na ikazunguka jua tukapata majira manne ya mwaka like kipupwe,mvua n.k.
Ndege hajawahi choka kujitafutia riziki.
Mto hujawahi choka ku flow.
Mfumo wa mzunguko wa maji aka hydrological system hujawahi choka kufanya kazi yake.
Mdomo hujawahi choka ama tosheka kula.
Tumbo halijawahi choka kushiba chakula ama lichoke chakula.
Naweza nikaandika mpaka kesho Ila Kama una nia ya kuelewa utaelewa.
Unadhani wote walioana wameona na waliowapenda kidhati ,unadhani wote wenye wazazi unadhani huwa hawatamani Kama wazazi wao nao wangekuwaga mafisadi ili wangesomea na kukulia huko mambele.
Nakuona bado unaendeshwa na ego yaani unataka kama labda uonekane you're so special hapa duniani. Wakati you're dust Iike me.
Tatizo lako una-generelise mambo Kuna watu Wana damu za kunguni mkuu wanawake Hata hawawatamani mim ni mmoja wapo siwez jisifia kama wanawake wananipenda huo utakua uongoKibongo bongo
-Ukiweza kumudu pesa ya surrogate
-Huwez kukosa pesa ya kung'oa pisi Kali ukazaa nayo,achilia mbali ya kuoa kabisa
-Probably una chuki na wanawake au Hii Ni chai huna uwezo wa kumudu surrogate wewe