Fireboy, Rema na Joeboy wameibuka kwenye mziki wa Nigeria na wanatamba sana

Marioo huyuhuyu anaeimba kama analia au
 
Ni kweli maana wakongwe wamewekeza sana kiasi kwamba wamewaajiri hawa madogo; fireboy dml yupo chini ya olamide(ynbl), mayorkun chini ya davido (dmw), rema chini ya don jazzy (marvin) joeboy chini ya mr eazi (empawa)

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Terry chini ya Wizkid....Baadae watakuja kulishika soko
 
Usafini walishamaliza collabo na hao wote pamoja na baba zao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…