Fireboy, Rema na Joeboy wameibuka kwenye mziki wa Nigeria na wanatamba sana

Fireboy, Rema na Joeboy wameibuka kwenye mziki wa Nigeria na wanatamba sana

Fireboy DmL,Joe Boy,Rema

Kwa sasa kwenye mziki wa Nigeria kuna Wasanii wameibuka na wanafanya vizuri sana Kama Rema,Joeboy,Fireboy au Mayorkun, N.k

Rema alitamba sana na EP ya Bad Commando ambayo ilipelekea raisi mstaafu Barack Obama kuiitaja ngoma yake ya Iron Man kwenye Playlist yake. Rema anafanya vizuri pia...

Joe Boy mdundo wa Baby umesumbua sana na ngoma nyingine nyingi kama Don't Call me Back akiwa na Mayokurn na zingine nyingi ambazo zimefanya vizuri.

Nimewasikiliza Wengi Lakini huyu Fire Boy DML kwa nionavyo ni zaidi ya wote,Fireboy DmL ni zao la Olamide....Anafanya vizuri mno Alianza kutamba na mkwaju wa Jeaulos.

Album zake mbili zimefanya vizuri Sana.

Album ya Laughter,Tears&Goosebumps Album hii imebeba midundo kama Need You,Vibration,Jeaulos,What if say,King zote ziache kuna mdundo unaitwa Wait and see🙌🙌 N.k

Juzi tu ameachia album ya Apollo kuna midundo kama Champions,Tattoo,Afar ft Olamide,New york city girl...

Dogo anaimba sana pia Lyrics zake ni nzuri......

Nafikiri Fireboy DmL ni zaidi yao Wadau mnaonaje?

Ni muda wa kina Marioo kutafuta Collaboration na watu kama hao.
Marioo huyuhuyu anaeimba kama analia au
 
Ni kweli maana wakongwe wamewekeza sana kiasi kwamba wamewaajiri hawa madogo; fireboy dml yupo chini ya olamide(ynbl), mayorkun chini ya davido (dmw), rema chini ya don jazzy (marvin) joeboy chini ya mr eazi (empawa)

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli maana wakongwe wamewekeza sana kiasi kwamba wamewaajiri hawa madogo; fireboy dml yupo chini ya olamide(ynbl), mayorkun chini ya davido (dmw), rema chini ya don jazzy (marvin) joeboy chini ya mr eazi (empawa)

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Terry chini ya Wizkid....Baadae watakuja kulishika soko
 
Usafini walishamaliza collabo na hao wote pamoja na baba zao!
 
Back
Top Bottom