Fiston Mayele leo unajifanya mjuaji. Tumekutengeneza sisi Yanga na haya leo unayaita majini

Fiston Mayele leo unajifanya mjuaji. Tumekutengeneza sisi Yanga na haya leo unayaita majini


Watanzania ndio maana hata wakiachwa na wapenzi wao huwa wanajiua.

Mchezaji wala hakuwa na miaka mitano kwenye timu yenu ila mmeshindwa kabisa kumuacha aendelee na maisha yake?
Mimi kama Mwanayanga damu kabisa wala sina habari na Mayele.

Mchezaji kama mpenzi, akienda mwache aende na umtakie heri kabisa.
Hatokaa akuumize.
 
Leo unasema umechoka na majini. Kipindi kile yanakusaidia hukuchoshwa nayo? Waulize wenzio sasa. Muulize Feisal si una namba yake. Waulize wengi tu ambao wamepita Yanga wakatengenezwa wakajifanya wajuaji. Uliza wapo wapi mbwa wewe. Sisi ndo tumekujenga.

View attachment 2901484View attachment 2901485
Tatizo mayele ni muumini wa mwamposa, itakua watumishi wamemwambia hivo, huwa hawachelewi kusingizia majini
 
Usajili wa nkonkoni na Gwede umebuma hasira mnaamishia kwa Sangoma na kumtupia mayele Majini na kumtukana juu..

Mayele pia kasemaji jioni atakua live kuyasemayote View attachment 2901497
Hii ndio dawa ya mchawi. Muanike. Haji kimbelembele ndio muhusika mkuu wa kutafuta majini ya kwenye kuruani
 
Ndio maana nilikuwa nashangaa huu mpira yanga wameutoa wapi kumbe wanawachezesha majini sisi tunajua wakina pakome na the like..😀[emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom