Fiston Mayele leo unajifanya mjuaji. Tumekutengeneza sisi Yanga na haya leo unayaita majini

Fiston Mayele leo unajifanya mjuaji. Tumekutengeneza sisi Yanga na haya leo unayaita majini

Kwamba anatupiwa mapepo ili achemke huko Misri? Kwani yeye ndiye mchezaji wa kwanza kupita Yanga?
ukiona mkongoman amesema hilo, jua ana uhakika na anachokisema, yanga acheni uchawi, mlimuuza wenyewe. simba pia acheni uchawi,kijana mmakonde alikuwa bora mno alipotoka sijui mlichomfanya amerudi kawa kama mcheza mdebwedo, wabongo mna nini lakini? mkiachwa mkubali kuachika.
 
kama alienda kwa wataalam wao kipindi yupo huku kazi anayo,,,,,,,,,,,........watu wanachezea nyota
 
Umekosa kabisa hata picha moja tu ya jini?
Screenshot_20240212_113039_Samsung Internet.jpg
 
Unajua nimekuwa najiuliza sana kwann Simba haichezi vizuri, kwann Saido Ntibazonkiza hapendwi, anafanya makosa mengi dimbani wakati Saido ni bonge la mchezaji, ss nimeanza kuamini kuwa ni jini hilo ametupiwa
 
Mayele amelalamika mmemtupia majini, hatuwezi kukataa aliyosema kwa sababu alikuwa na nyinyi na mnajua mlivyokuwa mkimpa majini ili aweze kuona mkali dimbani, hatuwezi kupuuza hizi kauli hata kidogo.

Kwamba mmefikia hatua mnamtupia majini hadi huko aliko?

Na bado hapo Mayele hajasema, feitoto naye hajasema pia, sasa najiuliza mnakwenda kuhiji maka kufanya nn? Macca ni mahali patakatifu, macca wanakwenda watu wasafi, wewe unakwenda maka kuhiji halafu unamtumia Haji kurusha majini kwa watu.Huko macca ulienda kucheza makida makida.

Halafu unaibuka unamwambia Mayele eti futa post hii, habithil ammar.

Mtasema tu wanga nyie.

Kaa kwa kutulia kima mkurupukaji
Km hujafanya utafiti wa kuthibitisha km ni kweli ama hapana alichokiandika basi tuliza mhaho..
 
Na bado hapo Mayele hajasema, feitoto naye hajasema pia, sasa najiuliza mnakwenda kuhiji maka kufanya nn? Macca ni mahali patakatifu, macca wanakwenda watu wasafi, wewe unakwenda maka kuhiji halafu unamtumia Haji kurusha majini kwa watu.Huko macca ulienda kucheza makida makida.

Ngoja nikutafutie post ya Sheikh Kipozoeo akielezea uhusiano wa majinn na msikiti uliopo Mecca...

Hii hapa 1979Magufuli

 
Back
Top Bottom