3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
Majini FC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mayele mpumbavu sana.Leo unasema umechoka na majini. Kipindi kile yanakusaidia hukuchoshwa nayo? Waulize wenzio sasa. Muulize Feisal si una namba yake. Waulize wengi tu ambao wamepita Yanga wakatengenezwa wakajifanya wajuaji. Uliza wapo wapi mbwa wewe. Sisi ndo tumekujenga.
View attachment 2901484View attachment 2901485
Yeye ndiye mwenye shobo, kila kukicha anazungumzia Yanga ,Simba TZ
Watanzania ndio maana hata wakiachwa na wapenzi wao huwa wanajiua.
Mchezaji wala hakuwa na miaka mitano kwenye timu yenu ila mmeshindwa kabisa kumuacha aendelee na maisha yake?
Ndio, aliingia akitokea benchi.Kwani Mechi ya South Africa na Congo DR Mayele alikua uwanjani?
Ndio alipotupiwa majini?Ndio, aliingia akitokea benchi.
Ndio aulizwe yeye. Mtu yupo Misri huko bado anaendekeza uswahili.Ndio alipotupiwa majini?
ukiona mkongoman amesema hilo, jua ana uhakika na anachokisema, yanga acheni uchawi, mlimuuza wenyewe. simba pia acheni uchawi,kijana mmakonde alikuwa bora mno alipotoka sijui mlichomfanya amerudi kawa kama mcheza mdebwedo, wabongo mna nini lakini? mkiachwa mkubali kuachika.Kwamba anatupiwa mapepo ili achemke huko Misri? Kwani yeye ndiye mchezaji wa kwanza kupita Yanga?
Umekosa kabisa hata picha moja tu ya jini?
Huu ushauri ungeanza kumpa Manara na viongozi wenu.Wao ndiyo wanamshobokea na Mayele kachoka kaamua kuwapa ukweli.Mimi kama Mwanayanga damu kabisa wala sina habari na Mayele.
Mchezaji kama mpenzi, akienda mwache aende na umtakie heri kabisa.
Hatokaa akuumize.
Hatari sana amesema hayo majini ametumiwa kwa njia ipi DHL au?Ndio aulizwe yeye. Mtu yupo Misri huko bado anaendekeza uswahili.
Unasema hivyo sababu wapo kwa sasa.Na hilo suala la kumshobokea linanikera sana basi tu.
Mchezaji ambaye akiondoka Yanga nitahaha ni Diarra, na kiasi Aziz Ki.
Mayele amelalamika mmemtupia majini, hatuwezi kukataa aliyosema kwa sababu alikuwa na nyinyi na mnajua mlivyokuwa mkimpa majini ili aweze kuona mkali dimbani, hatuwezi kupuuza hizi kauli hata kidogo.
Kwamba mmefikia hatua mnamtupia majini hadi huko aliko?
Na bado hapo Mayele hajasema, feitoto naye hajasema pia, sasa najiuliza mnakwenda kuhiji maka kufanya nn? Macca ni mahali patakatifu, macca wanakwenda watu wasafi, wewe unakwenda maka kuhiji halafu unamtumia Haji kurusha majini kwa watu.Huko macca ulienda kucheza makida makida.
Halafu unaibuka unamwambia Mayele eti futa post hii, habithil ammar.
Mtasema tu wanga nyie.
Umenichekesha sana. Amesema jioni atakuwa live, ngoja tuone atasemaje.Hatari sana amesema hayo majini ametumiwa kwa njia ipi DHL au?
Sana. Wacha tumkomeshe. Atashuka kiwango mpaka aje kuchezea kitayosa. Yeye leo ndo wa kujifanya kuiponda Yanga na huku alikuja mweupe tu Yanga tukamjenga.Mayele mpumbavu sana.
😂😂😂 wabongo hata wakiachana huwa hawapendi wenzi wao wafanikiweHahahahaha...mie sijui ila nimependa kuwachana maana wabongo shobo sana ...
Na bado hapo Mayele hajasema, feitoto naye hajasema pia, sasa najiuliza mnakwenda kuhiji maka kufanya nn? Macca ni mahali patakatifu, macca wanakwenda watu wasafi, wewe unakwenda maka kuhiji halafu unamtumia Haji kurusha majini kwa watu.Huko macca ulienda kucheza makida makida.