Fiston Mayele leo unajifanya mjuaji. Tumekutengeneza sisi Yanga na haya leo unayaita majini

Fiston Mayele leo unajifanya mjuaji. Tumekutengeneza sisi Yanga na haya leo unayaita majini

Mayele amelalamika mmemtupia majini, hatuwezi kukataa aliyosema kwa sababu alikuwa na nyinyi na mnajua mlivyokuwa mkimpa majini ili aweze kuona mkali dimbani, hatuwezi kupuuza hizi kauli hata kidogo.

Kwamba mmefikia hatua mnamtupia majini hadi huko aliko?

Na bado hapo Mayele hajasema, feitoto naye hajasema pia, sasa najiuliza mnakwenda kuhiji maka kufanya nn? Macca ni mahali patakatifu, macca wanakwenda watu wasafi, wewe unakwenda maka kuhiji halafu unamtumia Haji kurusha majini kwa watu.Huko macca ulienda kucheza makida makida.

Pumbavu zenu nyie halafu unaibuka unamwambia Mayele eti futa post hii, habithil ammar.

Mtasema tu wanga nyie.
 
  • Thanks
Reactions: 511
Mayele amelalamika mmemtupia majini, hatuwezi kukataa aliyosema kwa sababu alikuwa na nyinyi na mnajua mlivyokuwa mkimpa majini ili aweze kuona mkali dimbani, hatuwezi kupuuza hizi kauli hata kidogo.

Kwamba mmefikia hatua mnamtupia majini hadi huko aliko?

Na bado hapo Mayele hajasema, feitoto naye hajasema pia, sasa najiuliza mnakwenda kuhiji maka kufanya nn? Macca ni mahali patakatifu, macca wanakwenda watu wasafi, wewe unakwenda maka kuhiji halafu unamtumia Haji kurusha majini kwa watu.Huko macca ulienda kucheza makida makida.

Pumbavu zenu nyie halafu unaibuka unamwambia Mayele eti futa post hii, habithil ammar.

Mtasema tu wanga nyie.
Kwani majini si ndugu zenu na mnaswali nayo?
 
Selemani fc ni janga lingine hapa nchini kwakweli 😁😁 sasa jamaa aliwakosea nini 🤔🤔 alifanya mkawa mnatikisa matiti na makalio mchana kutwa alafu leo mnamgeuka 🤔🤔 kwenye hili la majini yule mzungu pori ashura cheupe hakosi kabisa 😁😁
 
Mayele amelalamika mmemtupia majini, hatuwezi kukataa aliyosema kwa sababu alikuwa na nyinyi na mnajua mlivyokuwa mkimpa majini ili aweze kuona mkali dimbani, hatuwezi kupuuza hizi kauli hata kidogo.

Kwamba mmefikia hatua mnamtupia majini hadi huko aliko?

Na bado hapo Mayele hajasema, feitoto naye hajasema pia, sasa najiuliza mnakwenda kuhiji maka kufanya nn? Macca ni mahali patakatifu, macca wanakwenda watu wasafi, wewe unakwenda maka kuhiji halafu unamtumia Haji kurusha majini kwa watu.Huko macca ulienda kucheza makida makida.

Halafu unaibuka unamwambia Mayele eti futa post hii, habithil ammar.

Mtasema tu wanga nyie.
Kwani wewe uliambiwa Majini ni viumbe vibaya? Unataja taja maka unadhani Sis Waislamu tuna ugomvi na majini kama ninyi Makafir? Majini ninyi ndo mnaona mabaya. Hadi Macca yapo na msikitini yana Swali vizuri tu kwa Allah. Acha ujinga dogo.
 
  • Thanks
Reactions: 511
Leo unasema umechoka na majini. Kipindi kile yanakusaidia hukuchoshwa nayo? Waulize wenzio sasa. Muulize Feisal si una namba yake. Waulize wengi tu ambao wamepita Yanga wakatengenezwa wakajifanya wajuaji. Uliza wapo wapi mbwa wewe. Sisi ndo tumekujenga.

View attachment 2901484View attachment 2901485
Sasa Mumroge na Kumtupia majini mnataka akae kimya..
Mmesahau ana familia inayomuhitaji
 
Ndio maana nilikuwa nashangaa huu mpira yanga wameutoa wapi kumbe wanawachezesha majini sisi tunajua wakina pakome na the like..😀🤣🤣
Teh teh teh 😂😂😂 noma sana
 
Hv yanga uchawi mmeupataje mbna naona km ni ubunifu mkubwa
 
Mayele amelalamika mmemtupia majini, hatuwezi kukataa aliyosema kwa sababu alikuwa na nyinyi na mnajua mlivyokuwa mkimpa majini ili aweze kuona mkali dimbani, hatuwezi kupuuza hizi kauli hata kidogo.

Kwamba mmefikia hatua mnamtupia majini hadi huko aliko?

Na bado hapo Mayele hajasema, feitoto naye hajasema pia, sasa najiuliza mnakwenda kuhiji maka kufanya nn? Macca ni mahali patakatifu, macca wanakwenda watu wasafi, wewe unakwenda maka kuhiji halafu unamtumia Haji kurusha majini kwa watu.Huko macca ulienda kucheza makida makida.

Halafu unaibuka unamwambia Mayele eti futa post hii, habithil ammar.

Mtasema tu wanga nyie.
mayele kakwama,na nyie mambumbu mmekwama...yaani wote mmekwama nani atamsaidia mwenzie!!!
atupostie hayo majini tuyaone ili tumwamini...
 
Yanga ni wachawi...full stop.
Zile kauli za kusema mtu akiondoka Yanga hafanikiwi na wanaona rahaa..mara timu ikiifunga inashuka daraja..ndo mjue ni majini matupu yapo pale jangwani..
 
Tuweke ushabiki pembeni ila ni ujinga kuwaza mambo ya giza kwenye soka.

Sema uzuri vyura watabatizwa jina jipya.
"Majini Football Club".
 
Itakuwa Chuki Za Mashabiki Wa Simba Kwa Kukandwa.

Dar Young Africans Tulimalizana Nae Kwa Wema Kabisa.
Yaani viongozi wenu na mashabiki wenu ndio kawataja.Na zeruzeru Haji Manara kamuomba afute posti yake kagoma.Wewe unakurupuka eti ni Simba.Wafanye hivyo ili wafaidike nini?
 
  • Thanks
Reactions: 511
Hii picha yake akiwa na Mwamposa ina reflect malalamiko yake
jr_farhanjr-20240212-0001.jpg
 
Back
Top Bottom