Fixed Deposits Account, UTT-Amis ni njia nzuri za kutunza pesa LAKINI SIYO uwekezaji abadani

Fixed Deposits Account, UTT-Amis ni njia nzuri za kutunza pesa LAKINI SIYO uwekezaji abadani

Jebel

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2021
Posts
347
Reaction score
2,325
Salamu Waungwana.

Binafsi ni mfanyabiashara wa kawaida au tuseme wa kati. Kwa mda nimekuwa nikiweka pesa kwenye fixed deposits account za mabenk tofauti na hata UTT-Amis.

Nimeweka CRDB (Mzigo Flex) ambao wanatoa riba ya 9% annually, TCB ambao wanatoa 11% annually and UTT-Amis ambao wanatoa ~12%.

Hata hivyo baada ya kufanya critical evaluation nimegundua dhahiri kwamba TAASISI hizi siyo sehemu za kuwekeza pesa bali kuhifadhi pesa tu ili isiendelee kukatwa monthly otherwise.

Nitatoa mifano kadhaa, mosi; CRDB niliweka 100M kwa annual interest ya 9% sawa na 0.75%monthly kwa maana hiyo kwa mwezi napata 750,000/= (Laki saba na hamsini elfu) baada ya makato ya VAT huwa inabakia maximum 700,000/= wakati mwingine pungufu kabisa.

TCB nimeweka 50M kwa riba ya 11% annually sawa na 0.916%monthly kwa hiyo kila mwezi napata 450,000/= baada ya VAT nabakia na 405,000/= Kwa hiyo kwa mifano hii miwili tu utaona kwamba kwa mwezi mzima uwekezaji wa 150M faida nayoipata Ni 1.1M tu, yaani milioni moja na laki moja tu.

Sasa basi Kwanini nasema huu siyo uwekezaji mzuri; Chukua mfano ukichukua kigari mfano Spacio au Wish 7 seats, bei ina range between 15M-18M. Halafu kila asubuhi uwe unachukua abiria 8 tu kutoka Mbezi to Kariakoo, nauli inakuwa 4000/person. Single route utakuwa na 32,000/= Mafuta 2Lts sawa na 6600/= utabakia na 25,000/= jioni chukua abiria 8 from Kariakoo to Mbezi, nauli 3000/= au Manzese to Mbezi kuanzia saa12 usafiri shida sana, utapata 24,000/= route ya kwenda kulala Ni mafuta. Utaona walau kwa siku huwezi kukosa 40,000/= bila TRA wala PT. Kwa mwezi unapata siyo chini ya 1.2M kwa uwekezaji wa 15M tu. Huu ni uwekezaji.

Kuna watu watabeza kwamba hizi ni biashara za kwenye karatasi lakini ukweli ni kwamba binafsi NAIFANYA biashara hii na return hii siyo estimation bali ni uhalisia kabisa.

NB: Huu ni mtazamo wangu tu siyo lazima kuyabeba. Jumapili Njema na herini ya siku kuu ya Utatu Mtakatifu.
Jebel.
 
Sasa basi Kwanini nasema huu siyo uwekezaji mzuri; Chukua mfano ukichukua kigari mfano Spacio au Wish 7 seats, bei ina range between 15M-18M. Halafu kila asubuhi uwe unachukua abiria 8 tu kutoka Mbezi to Kariakoo, nauli inakuwa 4000/person. Single route utakuwa na 32,000/= Mafuta 2Lts sawa na 6600/= utabakia na 25,000/= jioni chukua abiria 8 from Kariakoo to Mbezi, nauli 3000/= au Manzese to Mbezi kuanzia saa12 usafiri shida sana, utapata 24,000/= route ya kwenda kulala Ni mafuta. Utaona walau kwa siku huwezi kukosa 40,000/= bila TRA wala PT. Kwa mwezi unapata siyo chini ya 1.2M kwa uwekezaji wa 15M tu. Huu ni uwekezaji.

Kuna watu watabeza kwamba hizi ni biashara za kwenye karatasi lakini ukweli ni kwamba binafsi NAIFANYA biashara hii na return hii siyo estimation bali ni uhalisia kabisa.

NB: Huu ni mtazamo wangu tu siyo lazima kuyabeba. Jumapili Njema na herini ya siku kuu ya Utatu Mtakatifu.
Jebel.
Kule umewekeza 150m na ushee cash na unapata hizo 1.1m bila wewe kufanya lolote zaidi yaani ni hizo faranga zako 150m zinakufanyia kazi....

Huku umewekeza 15M na nguvu na muda wako yaani faranga zako pamoja na wewe muda wako na usimamizi....

Kwahio utaona kwa wengi ambao mtaa ni mgumu na unpredictable achana na hio 1.2 hata 750k inayotiririka kila mwezi ni secure na better option...., haichelewi hio Spacio day two ikapigwa mzinga na hizo 15m zako kuteketea instantly.... Tukubaliane majority have neither discipline nor the nerves

To each their own....
 
Kule umewekeza 150m na ushee cash na unapata hizo 1.1m bila wewe kufanya lolote zaidi yaani ni hizo faranga zako 150m zinakufanyia kazi....

Huku umewekeza 15M na nguvu na muda wako yaani faranga zako pamoja na wewe muda wako na usimamizi....

Kwahio utaona kwa wengi ambao mtaa ni mgumu na unpredictable achana na hio 1.2 hata 750k inayotiririka kila mwezi ni secure na better option...., haichelewi hio Spacio day two ikapigwa mzingna hizo 15m zako kuteketea instantly.... Tukubaiane majority have neither discipline nor the nerves

To each their own....
Uko sahihi kabisa na hiki naona ndicho kinachotukawiza sana Waafrica, “fear of taking risks”, hapa kwa comment yako ndipo nakubaliana kabisa na Machiavelli anaposema, “no great deal has ever been achieved by a man without taking risks”. Lakini pia naheshimu sana mtazamo wako na mchango wako.
 
Uko sahihi kabisa na hiki naona ndicho kinachotukawiza sana Waafrica, “fear of taking risks”, hapa kwa comment yako ndipo nakubaliana kabisa na Machiavelli anaposema, “no great deal has ever achieved my man without taking risks”. Lakini pia naheshimu sana mtazamo wako na mchango wako.
Calculated Risk takers ni wachache na kuwekeza sio pesa tu kuna mwingine atakwambia muda na nguvu zake ni costly zaidi kuliko pesa..., sasa niambie kwako wewe unaona ku-save 135m ili utumie 15m na muda wako kusimamia au utumie 150m na kusahau kipi ni bora ? Kumbuka hapa naongelea mfano wake wa hii biashara na sio biashara nyingine....

Kumbuka pia equation ya money in - return out (unless ni hizi investment za banks) sio linear zinahitaji na usimamizi kwahio sio kweli kwamba sababu bodaboda yangu moja inaniigizia elfu kumi kwa wiki nikiziweka 1000 barabarani nitapata 10m (uhalisia huenda nikapata presha)
 
Salamu Waungwana.

Binafsi ni mfanyabiashara wa kawaida au tuseme wa kati. Kwa mda nimekuwa nikiweka pesa kwenye fixed deposits account za mabenk tofauti na hata UTT-Amis.

Nimeweka CRDB (Mzigo Flex) ambao wanatoa riba ya 9% annually, TCB ambao wanatoa 11% annually and UTT-Amis ambao wanatoa ~12%.

Hata hivyo baada ya kufanya critical evaluation nimegundua dhahiri kwamba TAASISI hizi siyo sehemu za kuwekeza pesa bali kuhifadhi pesa tu ili isiendelee kukatwa monthly otherwise.

Nitatoa mifano kadhaa, mosi; CRDB niliweka 100M kwa annual interest ya 9% sawa na 0.75%monthly kwa maana hiyo kwa mwezi napata 750,000/= (Laki saba na hamsini elfu) baada ya makato ya VAT huwa inabakia maximum 700,000/= wakati mwingine pungufu kabisa.

TCB nimeweka 50M kwa riba ya 11% annually sawa na 0.916%monthly kwa hiyo kila mwezi napata 450,000/= baada ya VAT nabakia na 405,000/= Kwa hiyo kwa mifano hii miwili tu utaona kwamba kwa mwezi mzima uwekezaji wa 150M faida nayoipata Ni 1.1M tu, yaani milioni moja na laki moja tu.

Sasa basi Kwanini nasema huu siyo uwekezaji mzuri; Chukua mfano ukichukua kigari mfano Spacio au Wish 7 seats, bei ina range between 15M-18M. Halafu kila asubuhi uwe unachukua abiria 8 tu kutoka Mbezi to Kariakoo, nauli inakuwa 4000/person. Single route utakuwa na 32,000/= Mafuta 2Lts sawa na 6600/= utabakia na 25,000/= jioni chukua abiria 8 from Kariakoo to Mbezi, nauli 3000/= au Manzese to Mbezi kuanzia saa12 usafiri shida sana, utapata 24,000/= route ya kwenda kulala Ni mafuta. Utaona walau kwa siku huwezi kukosa 40,000/= bila TRA wala PT. Kwa mwezi unapata siyo chini ya 1.2M kwa uwekezaji wa 15M tu. Huu ni uwekezaji.

Kuna watu watabeza kwamba hizi ni biashara za kwenye karatasi lakini ukweli ni kwamba binafsi NAIFANYA biashara hii na return hii siyo estimation bali ni uhalisia kabisa.

NB: Huu ni mtazamo wangu tu siyo lazima kuyabeba. Jumapili Njema na herini ya siku kuu ya Utatu Mtakatifu.
Jebel.
Mwekekezaji wa UTT anazidiwa hata na mmiliki wa trekta tu.
 
Calculated Risk takers ni wachache na kuwekeza sio pesa tu kuna mwingine atakwambia muda na nguvu zake ni costly zaidi kuliko pesa..., sasa niambie kwako wewe unaona ku-save 135m ili utumie 15m na muda wako kusimamia au utumie 150m na kusahau kipi ni bora ? Kumbuka hapa naongelea mfano wake wa hii biashara na sio biashara nyingine....

Kumbuka pia equation ya money in - return out (unless ni hizi investment za banks) sio linear zinahitaji na usimamizi kwahio sio kweli kwamba sababu bodaboda yangu moja inaniigizia elfu kumi kwa wiki nikiziweka 1000 barabarani nitapata 10m (uhalisia huenda nikapata presha)
Ndugu naelewa vema sana hicho unachokisema na nakubaliana kabisa nawe. Lakini naomba nawe uelewe Logic ya uzi wangu. Hapa nimefanya investiment return analysis kati ya hii “tiny investment” ya 15M na huge in investment if you like ya +150M. Baada ya ku analyze returns zake ndipo nime draw conclusion hiyo kwamba financially speaking fixed deposits siyo best financial investment.
 
Salamu Waungwana.

Binafsi ni mfanyabiashara wa kawaida au tuseme wa kati. Kwa mda nimekuwa nikiweka pesa kwenye fixed deposits account za mabenk tofauti na hata UTT-Amis.

Nimeweka CRDB (Mzigo Flex) ambao wanatoa riba ya 9% annually, TCB ambao wanatoa 11% annually and UTT-Amis ambao wanatoa ~12%.

Hata hivyo baada ya kufanya critical evaluation nimegundua dhahiri kwamba TAASISI hizi siyo sehemu za kuwekeza pesa bali kuhifadhi pesa tu ili isiendelee kukatwa monthly otherwise.

Nitatoa mifano kadhaa, mosi; CRDB niliweka 100M kwa annual interest ya 9% sawa na 0.75%monthly kwa maana hiyo kwa mwezi napata 750,000/= (Laki saba na hamsini elfu) baada ya makato ya VAT huwa inabakia maximum 700,000/= wakati mwingine pungufu kabisa.

TCB nimeweka 50M kwa riba ya 11% annually sawa na 0.916%monthly kwa hiyo kila mwezi napata 450,000/= baada ya VAT nabakia na 405,000/= Kwa hiyo kwa mifano hii miwili tu utaona kwamba kwa mwezi mzima uwekezaji wa 150M faida nayoipata Ni 1.1M tu, yaani milioni moja na laki moja tu.

Sasa basi Kwanini nasema huu siyo uwekezaji mzuri; Chukua mfano ukichukua kigari mfano Spacio au Wish 7 seats, bei ina range between 15M-18M. Halafu kila asubuhi uwe unachukua abiria 8 tu kutoka Mbezi to Kariakoo, nauli inakuwa 4000/person. Single route utakuwa na 32,000/= Mafuta 2Lts sawa na 6600/= utabakia na 25,000/= jioni chukua abiria 8 from Kariakoo to Mbezi, nauli 3000/= au Manzese to Mbezi kuanzia saa12 usafiri shida sana, utapata 24,000/= route ya kwenda kulala Ni mafuta. Utaona walau kwa siku huwezi kukosa 40,000/= bila TRA wala PT. Kwa mwezi unapata siyo chini ya 1.2M kwa uwekezaji wa 15M tu. Huu ni uwekezaji.

Kuna watu watabeza kwamba hizi ni biashara za kwenye karatasi lakini ukweli ni kwamba binafsi NAIFANYA biashara hii na return hii siyo estimation bali ni uhalisia kabisa.

NB: Huu ni mtazamo wangu tu siyo lazima kuyabeba. Jumapili Njema na herini ya siku kuu ya Utatu Mtakatifu.
Jebel.
Hakuna bank wanakupa riba kila mwezi wakati wewe fixed account yako umeweka ndani ya mwaka, yani uweke milioni 100 riba ni ya annually then ulipwe monthly kuna kitu hujakiweka sawa, bank watakulipa riba pesa yako iki mature kama ni miezi mitatu kama ni mwaka then ikimatua unachukua principal na interest pamoja na zina makato ya kodi
 
Hakuna bank wanakupa riba kila mwezi wakati wewe fixed account yako umeweka ndani ya mwaka, yani uweke milioni 100 riba ni ya annually then ulipwe monthly kuna kitu hujakiweka sawa, bank watakulipa riba pesa yako iki mature kama ni miezi mitatu kama ni mwaka then ikimatua unachukua principal na interest pamoja na zina makato ya kodi
CRDB niliweka kwa mda wa miaka mitatu. Annually interest ni 9% lakini napata monthly interest ambayo inaingia kwenye account kila mwezi
TCB niliweka kwa duration ya miaka 2, annual interest ni 11% lakini wakati naweka zaidi ya mwaka sasa walikuwa wanalipa interest monthly na hadi sasa napata interest kila mwezi(nasikia kwa sasa ni kila baada ya miezi3) lakini mie bado napata interest monthly.
I hope utakuwa umeelewa kama lengo lako ni kujifunza ila kama umelenga ubishi then I don’t trade it champ!
 
Unaweka milion 100 bank katika fixed account mwaka mzima ukisubiria riba ya laki 7 au 8 kweli serious?

Time value of money haukusubiri thamani ya pesa mostly hushuka kipindi kinavyosogea, kama ulikua na pesa sahivi milion 100 utaweza kujenga nyumba 3 lakini baada ya mwaka utaweza kujenga nyumba 1 je hapo umenufaika au umepoteza? Fixed account sishauri mtu aweke pesa huko labda uwe na hela za kutosha na hujui ufanye nini kwa wakati huo na ni vyema uweke kwa muda mfupi miezi mitatu
 
CRDB niliweka kwa mda wa miaka mitatu. Annually interest ni 9% lakini napata monthly interest ambayo inaingia kwenye account kila mwezi
TCB niliweka kwa duration ya miaka 2, annual interest ni 11% lakini wakati naweka zaidi ya mwaka sasa walikuwa wanalipa interest monthly na hadi sasa napata interest kila mwezi(nasikia kwa sasa ni kila baada ya miezi3) lakini mie bado napata interest monthly.
I hope utakuwa umeelewa kama lengo lako ni kujifunza ila kama umelenga ubishi then I don’t trade it champ!
Mhmh hapana mkuu, kama umeweka pesa fixed ndani ya miaka mitatu watakulipa annually na sio monthly na pia huwa hawatoe kwa vipindi hivyo kabla ya pesa kumachua kama ni miaka mitatu basi utalipwa kipindi imeshamatua ndiyo tafsiri ya account ya fixed account
 
Kule umewekeza 150m na ushee cash na unapata hizo 1.1m bila wewe kufanya lolote zaidi yaani ni hizo faranga zako 150m zinakufanyia kazi....

Huku umewekeza 15M na nguvu na muda wako yaani faranga zako pamoja na wewe muda wako na usimamizi....

Kwahio utaona kwa wengi ambao mtaa ni mgumu na unpredictable achana na hio 1.2 hata 750k inayotiririka kila mwezi ni secure na better option...., haichelewi hio Spacio day two ikapigwa mzinga na hizo 15m zako kuteketea instantly.... Tukubaliane majority have neither discipline nor the nerves

To each their own....
Kwa mawazo haya kuna siku watu wote hawatofanya Kazi kwasababu yakupenda kukaa bila kujishughulisha au kutokutaka kutake risk,Ndo mana kila Zile DESI na Mfano zikija madhara yanakuwa makubwa sababu Sisi watanzania tunapenda bure na kulalama,huwezi kuwa na M150 ukategemea Mbao WA 1.1m wakati huo NI bonge ya mtaji,ukienda china unasomba mzigo WA Maana na kuleta bongo,Mfano zile mnauziwa pvc board mnawekaga sebleni kama TV case,unajua ile bei yake china haizidi elf 20 ya kibongo?halafu bongo tunauziwa laki na thelathini,badilisheni mawazo tuache dezo
 
Mhmh hapana mkuu, kama umeweka pesa fixed ndani ya miaka mitatu watakulipa annually na sio monthly na pia huwa hawatoe kwa vipindi hivyo kabla ya pesa kumachua kama ni miaka mitatu basi utalipwa kipindi imeshamatua ndiyo tafsiri ya account ya fixed accou
Mhmh hapana mkuu, kama umeweka pesa fixed ndani ya miaka mitatu watakulipa annually na sio monthly na pia huwa hawatoe kwa vipindi hivyo kabla ya pesa kumachua kama ni miaka mitatu basi utalipwa kipindi imeshamatua ndiyo tafsiri ya account ya fixed account
Una ubishi wa Kizamani sana kwenye dunia ambayo kila taarifa ni rahisi kuipata. Jaribu kufanya utafiti mkuu utachekwa na watoto wadogo.
 
Back
Top Bottom