Kwa mawazo haya kuna siku watu wote hawatofanya Kazi kwasababu yakupenda kukaa bila kujishughulisha au kutokutaka kutake risk,Ndo mana kila Zile DESI na Mfano zikija madhara yanakuwa makubwa sababu Sisi watanzania tunapenda bure na kulalama,huwezi kuwa na M150 ukategemea Mbao WA 1.1m wakati huo NI bonge ya mtaji,ukienda china unasomba mzigo WA Maana na kuleta bongo,Mfano zile mnauziwa pvc board mnawekaga sebleni kama TV case,unajua ile bei yake china haizidi elf 20 ya kibongo?halafu bongo tunauziwa laki na thelathini,badilisheni mawazo tuache dezo