Fixed Deposits Account, UTT-Amis ni njia nzuri za kutunza pesa LAKINI SIYO uwekezaji abadani

Fixed Deposits Account, UTT-Amis ni njia nzuri za kutunza pesa LAKINI SIYO uwekezaji abadani

Naomba na mm niweke neno kdg km nitaeleweka:-

1#. Fixed account and UTT amis ni vitu viwili tofauti na utofauti wake upo hapa fixed account haikuwi kithamani lkn UTT inakuwa kithaman kwa kupitia vipande maana bei za vipande zinaongezeka mfano ukinunua vipande vya 100M baada ya miaka mi3 hutauza kwa m100 itakuwa zaidi lakni bank fixed deposit km umeweka M100 utakuta hiyo hiyo 100M.

2#. Business and investment ni vitu viwili tofauti na kote unaweza kutoboa kutegemea na kiwango chako cha elimu ya fedha,uzoefu na risk appetite yako. Nije kwa mfano wako wa gari kupitia UTT gawio lako la mwezi unaweza kuchukua mkopo wa 15M kwa riba ya 13% kwa miaka mitatu makato hayazidi 500K montly hiyo ndio ufanyie izo mishe zako za abiria na utapiga hela vizur tu na sio kuchukua cash yako kununua gari (PROTECT YOUR CASH). Hapa narudia kusema biashara na investment zote zinalipa swali je ww ni muekezaji na mfanyabiashara mzuri?? Binafsi kuna investment nimefanya since 2016 niliweka 7M now nina more than 30M na zinazidi kukua so ni ww na financial inteligence yako.

3#.Kuna mdau mmoja kazungumza vizur sana katika uwekezaji wako hakikisha unatrade with protection tena hasa hasa capital protection kitendo cha kuweka hela UTT basi umeprotect mtaji wako na utaendelea kuwa nao siku zote, risk faida yako na sio mtaji wako.

4#. Mambo ya gari sijui itapigwa mzinga hizo ni mentality za kimasikini biashara yoyote hakikisha inakuwa full protected kupitia BIMA na mambo mengine ili kujilinda na majanga kama hayo.

5#. Bank kuna opportunity kibao na za maana zaidi ya fixed deposit cha msingi ni kuwa curious katika kutafuta maarifa na elimu nikupe mfano mambo ya mortgage kama unataka kujenga apartment zenye thamani ya 200M ww ukiweka 10% liqudity cash or collateral equivalent pamoja na kukamilisha requirements zengine Bank wanalend rest amount ambayo ni 90% ya 200M.

6#. Net profit ya 1.1M ni hela nyingi sana bila ya jasho tena nasema ni hela nyingi mno hasa ukijua kumaximuze hiyo hela hiyo hela unapata more than 40M loan ambayo unalipa kupitia montly payment yako.

7#. 1.1M net profit (Passive income) = 0.73% Montly gaining ya 150M WHILE Tsh elf 40 daily ni = 6.4% Monthly gaining ya 15M lakini sio NET PROFIT.

8#. Know your self ni mtu wa aina gani

Mwisho Sema hivi:-
fixed deposit and UTT amis ni njia nzur na kuhifadhi pesa lakini SIO UWEKEZAJI ABADAN KWANGU MIMI.

MCHAWI CALCULATOR (KIKOKOTOO)

Samahanini kwa usumbufu ingawaje nina mengi itoshe kuwasilisha hayo

Naomba na nipo tayari kurekebishwa na kupata maarifa zaidi
Mkuu hapo kwenye namba 6. Umesema kwa monthly payment ya 1.1M unaweza kupata mkopo wa zaidi ya 40M.

Naomba kuuliza:-
1. Ni bank gani wanatoa mkopo huo?
2. Huo mkopo utakuwa ni wa muda gani (Miaka mingapi)?

Asante.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Asante
Mkuu hapo kwenye namba 6. Umesema kwa monthly payment ya 1.1M unaweza kupata mkopo wa zaidi ya 40M.

Naomba kuuliza:-
1. Ni bank gani wanatoa mkopo huo?
2. Huo mkopo utakuwa ni wa muda gani (Miaka mingapi)?

Asante.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile
Asante Sana

Jibu ni kama ifuatavyo:-

1#. Bank zote za Bongo
2#. kuanzia miaka 4

Karibu tena kwa ufafanuzi zaidi
 
Asante

Asante Sana

Jibu ni kama ifuatavyo:-

1#. Bank zote za Bongo
2#. kuanzia miaka 4

Karibu tena kwa ufafanuzi zaidi
Naomba niiweke kwenye hesabu:

Ukichukua mkopo wa 40M, bank (NMB) itataka ulipe 13% (Mkopo wa biashara) hii ina maana kwa mwaka utalipa 45.2M (40M * 1.13) . Ambayo ni sawa na 3,766,667M kwa mwezi.

Hiyo hiyo 40M kwa miaka 4 utatakiwa kulipa Approx 60M, ambayo ni sawa na 1.3M kwa mwezi.

Kwa payment ya 1.1M monthly hii bado haiwezi kucover mkopo wa 40M, ndio maana nikawa nimeuliza ni Bank gani unaweza kupata mkopo wa zaidi ya 40M?

N.B
Mwaka huu nilienda NMB wakaniambia Mkopo wa biashara huwa unakopeshwa kwa muda wa Maximum miaka 2. Kwa maana hiyo kwa mkopo wa 40M itatakiwa kurudisha 50.4M, ambayo ni sawa na 2.1M kwa mwezi.

Kama kuna sehemu nakosea naomba unieleweshe mkuu.

Asante

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Naomba niiweke kwenye hesabu:

Ukichukua mkopo wa 40M, bank (NMB) itataka ulipe 13% (Mkopo wa biashara) hii ina maana kwa mwaka utalipa 45.2M (40M * 1.13) . Ambayo ni sawa na 3,766,667M kwa mwezi.

Hiyo hiyo 40M kwa miaka 4 utatakiwa kulipa Approx 60M, ambayo ni sawa na 1.3M kwa mwezi.

Kwa payment ya 1.1M monthly hii bado haiwezi kucover mkopo wa 40M, ndio maana nikawa nimeuliza ni Bank gani unaweza kupata mkopo wa zaidi ya 40M?

N.B
Mwaka huu nilienda NMB wakaniambia Mkopo wa biashara huwa unakopeshwa kwa muda wa Maximum miaka 2. Kwa maana hiyo kwa mkopo wa 40M itatakiwa kurudisha 50.4M, ambayo ni sawa na 2.1M kwa mwezi.

Kama kuna sehemu nakosea naomba unieleweshe mkuu.

Asante

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Great thinker! Heko sana. Humu hua tunalishana matango pori sana. Ukiambiwa kitu ni vema kwenda kufanya research kwanza. Kuna mtu naona amelalamika mahali mwaka flan aliunguza mtaji wake zaidi ya 15m sababu tu ya kuchukua na kufanya business idea iliyowekwa humu kwa mahesabu yale ya kuvutia ya kupata faida.
 
Kule umewekeza 150m na ushee cash na unapata hizo 1.1m bila wewe kufanya lolote zaidi yaani ni hizo faranga zako 150m zinakufanyia kazi....

Huku umewekeza 15M na nguvu na muda wako yaani faranga zako pamoja na wewe muda wako na usimamizi....

Kwahio utaona kwa wengi ambao mtaa ni mgumu na unpredictable achana na hio 1.2 hata 750k inayotiririka kila mwezi ni secure na better option...., haichelewi hio Spacio day two ikapigwa mzinga na hizo 15m zako kuteketea instantly.... Tukubaliane majority have neither discipline nor the nerves

To each their own....
Tunarudi palepale kwamba watanzania wengi hawajui tofauti ya business na investment so mtoa mada akajifunze utofauti kwanza ndio aje kuandika fikra zake hapa
 
Nenda UTT


Ukiwa na hela nyingi like 100M ukaweka UTT utapata, 12 M kwa mwaka that is fine Kama unahifadhia watoto. Yaani mtoto anazaliwa leo then unamfungulia Ac ya UTT kwa principal ya 100M , by the time anafika 15 years anakuwa na (12M mara 15 years ) . Hii mbinu wanatumia wahindi sana ndio maana mtoto unasoma nae Udaktari mkimaliza anakuajiri au hukutani nae kwenye kuhangaika na Bahasha.

Muhindi au Msomali anasoma aje kukabhiwa ofisi, blacks tunasoma kuja kupambana na utumishi matokeo yake unafika 50 bado hujapata maisha.

Aidha kwenye Investment, kuweka hela UTT , it is the worst idea unless hujui anything about business .

Kama una Mil 100, unaenda kuwekeza UTT, I think unatakiwa kujitafakari, maana 100M kwa mwezi unapata 1.2 M plus na kodi unaweza Baki na 1M , hiyo ni ndogo sana kwa investment ya 100M .

Investment ya 100M kwa mwezi as profit unatakiwa usikose 7to 10M on monthly basis.

Shida kubwa kwa sisi black tunafanya business kwa kusoma articles na mitandao, unaenda ku invest hela.

Business ina codes zake na wala haihitaji mambo ya shule, just codes . Ndio maana hata layperson can do better in business akisha uncode
The codes .
Siwezi kumshauri mtu fanya business fulan kwa sababu business ni CODES and codes varies . The same business iliyokushinda mwingine inamlipa.

Mtu ana 30M za mkopo anenda kufungua business , in 12 months biashara imeshakufa na hela hizo kuja kuzipata tena ni ishu….. dhambi ya umasikini inatambaa

CODES . ndio mpango mzima

Hakuna tajiri anaetoboa kwa kuchimbia pesa chini au kuiweka FIX . By the time hiyo pesa inakupa faida, you will be dead already .asilimia kubwa wanaoweka pesa UTT ni wasataafu au watumishi; a bright mind and business oriented hawezi kulaza pesa UTT unless ni saving ya watoto.
Hapa kwenye ku-unlock code ndipo kisanga kilipo. Lakini ukivuka huo mtego unajikuta unateleza tu.
 
Shida kubwa watu mnalinganisha "active income" na "passive income"

UTT, fixed deposit, bonds, etc ni namna ya kupata passive income inayoongezea kwenye main income yako/active income.

Kwa mfano una business inayokuingizia faida kubwa mnazozitaja, lakini inakufanya uwe busy kiasi kwamba huwezi tena kuwa na business kubwa nyingine. Ile faida unayopata unaweka kwenye passive investments badala ya savings account.
 
Shida kubwa watu mnalinganisha "active income" na "passive income"

UTT, fixed deposit, bonds, etc ni namna ya kupata passive income inayoongezea kwenye main income yako/active income.

Kwa mfano una business inayokuingizia faida kubwa mnazozitaja, lakini inakufanya uwe busy kiasi kwamba huwezi tena kuwa na business kubwa nyingine. Ile faida unayopata unaweka kwenye passive investments badala ya savings account.
dunia na sayansi na technology follow up ya business na monitoring imerahisishwa sana

You just need right investment and business codes . Huhitaji kutumia mabavu.
 
Tunarudi palepale kwamba watanzania wengi hawajui tofauti ya business na investment so mtoa mada akajifunze utofauti kwanza ndio aje kuandika fikra zake hapa

Naomba niiweke kwenye hesabu:

Ukichukua mkopo wa 40M, bank (NMB) itataka ulipe 13% (Mkopo wa biashara) hii ina maana kwa mwaka utalipa 45.2M (40M * 1.13) . Ambayo ni sawa na 3,766,667M kwa mwezi.

Hiyo hiyo 40M kwa miaka 4 utatakiwa kulipa Approx 60M, ambayo ni sawa na 1.3M kwa mwezi.

Kwa payment ya 1.1M monthly hii bado haiwezi kucover mkopo wa 40M, ndio maana nikawa nimeuliza ni Bank gani unaweza kupata mkopo wa zaidi ya 40M?

N.B
Mwaka huu nilienda NMB wakaniambia Mkopo wa biashara huwa unakopeshwa kwa muda wa Maximum miaka 2. Kwa maana hiyo kwa mkopo wa 40M itatakiwa kurudisha 50.4M, ambayo ni sawa na 2.1M kwa mwezi.

Kama kuna sehemu nakosea naomba unieleweshe mkuu.

Asante

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Sijajua taarifa zako unazipata wapi? Hivi unapata kwa wenye kufanya hizi biashara au unazipata vijiweni ?

Nakuambia tena kupitia bank unaweza kopa hadi miaka 7 kwa kutumia montly gawio la UTT hizi taarifa nakupa kwasababu mm ni mfanyaji hizi mambo so nakuomba endelea kufanya utafiti bank ya CRDB NA NMB hakikisha unakutana wahusika wa vitengo vya mikopo sio wale wa reception hawana shule wale na info zao sio za uhakika.

Kuna vitu sio vigumu ila mnavitia ugumu kwa uvivu wa kutafuta taarifa au mnakutana na watoa taarifa sio sahihi.

Karibu tena ndugu
 
Sijajua taarifa zako unazipata wapi? Hivi unapata kwa wenye kufanya hizi biashara au unazipata vijiweni ?

Nakuambia tena kupitia bank unaweza kopa hadi miaka 7 kwa kutumia montly gawio la UTT hizi taarifa nakupa kwasababu mm ni mfanyaji hizi mambo so nakuomba endelea kufanya utafiti bank ya CRDB NA NMB hakikisha unakutana wahusika wa vitengo vya mikopo sio wale wa reception hawana shule wale na info zao sio za uhakika.

Karibu tena ndugu
Mkuu, hizo data nilizotoa ni data za mikopo ya NMB tena ukiwa unachukua mkopo wa biashara inakuaje unasema naleta story za vijiweni?.

Riba ya mkopo wa biashara wa NMB 13% kwa mwaka.

Je ukikopa 40M unatakiwa kurudisha bei gani?.

Ndio maana nikakuuliza ni bank gani ambayo unaweza kukopa zaidi ya 40M kwa kuwa na return ya 1.1M kwa mwezi?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Shida kubwa watu mnalinganisha "active income" na "passive income"

UTT, fixed deposit, bonds, etc ni namna ya kupata passive income inayoongezea kwenye main income yako/active income.

Kwa mfano una business inayokuingizia faida kubwa mnazozitaja, lakini inakufanya uwe busy kiasi kwamba huwezi tena kuwa na business kubwa nyingine. Ile faida unayopata unaweka kwenye passive investments badala ya savings account.
Nakuunga mkono ndugu mtu anapata 1.1M net profit bila jasho tena umelala mguu juu halafu anakwambia ni hela kdg are serious???
 
Nar
Mkuu, hizo data nilizotoa ni data za mikopo ya NMB tena ukiwa unachukua mkopo wa biashara inakuaje unasema naleta story za vijiweni?.

Riba ya mkopo wa biashara wa NMB 13% kwa mwaka.

Je ukikopa 40M unatakiwa kurudisha bei gani?.

Ndio maana nikakuuliza ni bank gani ambayo unaweza kukopa zaidi ya 40M kwa kuwa na return ya 1.1M kwa mwezi?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Nenda CRDB urudi na mrejesho
 
Back
Top Bottom