FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
BTW,jamaa kama kaniwahi nilitaka kukuuliza hili swali kipindi lakini nikaogopa kukukwaza,sorry kama nimeshakukwaza.
akili unazo ndugu!
HOMMIE WANGU YUPO WAP/?
ni kweli mamii,nilikua tu najifikiria bado,anyway sasa ntakuuliza vizuri mradi umetoa green L.hahahaha hehehehe teteteteteh na wewe watu mna visa jamani ...
Ni- PM tafadhali nimeahidi kujibu Pm zote zinazoingia kuanzia sasa..
hahahaha hehehehe teteteteteh na wewe watu mna visa jamani ...
Ni- PM tafadhali nimeahidi kujibu Pm zote zinazoingia kuanzia sasa..
Powa mida mida ...safari moja inaanzisha nyingine ......
Ndugu yangu FL1,
Kumbe watu tunaweza kushindwa mtihani kirahisi namna hii? Mtu ana posts 26, anaku-provoke na wewe unaingia mkenge! Pole sana. Nimeona kitu ambacho sikuwahi kutegemea kutoka kwako, uliposema kuwa unahisi hasira.
Afadhali nilichelewa thread ya Pearl kwani ningeweza kuingia mkenge kwa kuelezea mtu ambaye siyo FL1. Ila usijali. Sote ni binadamu. Mjibu kwa kadri unavyoweza au kama vipi mwombe namba umkung'utie simu.
Hata hivyo hii ndiyo raha ya JF, you never know what to expect!
Arghh,Huyu nae sijui apelekwe kwenye semina elekezi Ngurudoto ya mapenzi au ana tatizo gani.Acha usanii mkuu!
Kutaka kujua private life ya mtu tena kwa kulalama,loh!
Hapa napiga VETO
Mmmmh! Unachoza koo langu sasa!
ni kweli mamii,nilikua tu najifikiria bado,anyway sasa ntakuuliza vizuri mradi umetoa green L.
Arghh,Huyu nae sijui apelekwe kwenye semina elekezi Ngurudoto ya mapenzi au ana tatizo gani.Acha usanii mkuu!
Kutaka kujua private life ya mtu tena kwa kulalama,loh!
Hapa napiga VETO
EW; nimechelewa kuisoma post yako... naona kama imekaa kinyume kidogo!!!Nimesoma Profile yako sijapata nilichokuwa natafuta
Nimekutumia PM bila majibu..umeni-ignore (not fair)
Kupitia Post yako ya leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda …ni kweli umeolewa ?? Ni kweli ulikuwa unamanisha ?
Kupitia post ya Pearl .. 1st lady: mcha Mugu,anampenda mumewe,anapenda kazi,mdada mwenye heshima zake....
Naomba kwa niaba ya wana JF utujuze mmeo ni nani ndani ya JF ..kama kweli unampenda ..tumjue shemeji yetu ..?
Je michango yako katika jukwaa la mapenzi na mapendo (mzee hasikii wivu)
I love you FL1
**********
me 4 ..nyani ngabu
" miafrica ndivyo tulivyo"
confirmed fl1 is "single"
Nimesoma Profile yako sijapata nilichokuwa natafuta
Nimekutumia PM bila majibu..umeni-ignore (not fair)
Kupitia Post yako ya leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda ni kweli umeolewa ?? Ni kweli ulikuwa unamanisha ?
Kupitia post ya Pearl .. 1st lady: mcha Mugu,anampenda mumewe,anapenda kazi,mdada mwenye heshima zake....
Naomba kwa niaba ya wana JF utujuze mmeo ni nani ndani ya JF ..kama kweli unampenda ..tumjue shemeji yetu ..?
Je michango yako katika jukwaa la mapenzi na mapendo (mzee hasikii wivu)
I love you FL1
**********