FL1 -Sorry kama nitakukwaza !

FL1 -Sorry kama nitakukwaza !

BTW,jamaa kama kaniwahi nilitaka kukuuliza hili swali kipindi lakini nikaogopa kukukwaza,sorry kama nimeshakukwaza.

hahahaha hehehehe teteteteteh na wewe watu mna visa jamani ...
Ni- PM tafadhali nimeahidi kujibu Pm zote zinazoingia kuanzia sasa..
 
Arghh,Huyu nae sijui apelekwe kwenye semina elekezi Ngurudoto ya mapenzi au ana tatizo gani.Acha usanii mkuu!

Kutaka kujua private life ya mtu tena kwa kulalama,loh!
Hapa napiga VETO
 
hahahaha hehehehe teteteteteh na wewe watu mna visa jamani ...
Ni- PM tafadhali nimeahidi kujibu Pm zote zinazoingia kuanzia sasa..
ni kweli mamii,nilikua tu najifikiria bado,anyway sasa ntakuuliza vizuri mradi umetoa green L.
 
hahahaha hehehehe teteteteteh na wewe watu mna visa jamani ...
Ni- PM tafadhali nimeahidi kujibu Pm zote zinazoingia kuanzia sasa..

Ndugu yangu FL1,

Kumbe watu tunaweza kushindwa mtihani kirahisi namna hii? Mtu ana posts 26, anaku-provoke na wewe unaingia mkenge! Pole sana. Nimeona kitu ambacho sikuwahi kutegemea kutoka kwako, uliposema kuwa unahisi hasira.

Afadhali nilichelewa thread ya Pearl kwani ningeweza kuingia mkenge kwa kuelezea mtu ambaye siyo FL1. Ila usijali. Sote ni binadamu. Mjibu kwa kadri unavyoweza au kama vipi mwombe namba umkung'utie simu.

Hata hivyo hii ndiyo raha ya JF, you never know what to expect!
 
Powa mida mida ...safari moja inaanzisha nyingine ......

FL1 i wish ningekuanzishia hizo safari angalau 3 kama pole ya leo ... lkn logistics za humu ndo tabu kweli ... anyway taratibu ndo mwendo!!
 
kwa kweli hapa jf kuweni makini sana,maana wengine wana avatar za kike lkn wanadai ni madume,wengine wako uchi wamekumbatia mbuzi kwa mbele,huyu naye anadai ni demu lkn anataka kujua personal detailz za fl na jinsi anavyolalamika utazani ni dude.mmh vipi tena hii mambo.pole FL take it ize!
 
Ndugu yangu FL1,

Kumbe watu tunaweza kushindwa mtihani kirahisi namna hii? Mtu ana posts 26, anaku-provoke na wewe unaingia mkenge! Pole sana. Nimeona kitu ambacho sikuwahi kutegemea kutoka kwako, uliposema kuwa unahisi hasira.

Afadhali nilichelewa thread ya Pearl kwani ningeweza kuingia mkenge kwa kuelezea mtu ambaye siyo FL1. Ila usijali. Sote ni binadamu. Mjibu kwa kadri unavyoweza au kama vipi mwombe namba umkung'utie simu.

Hata hivyo hii ndiyo raha ya JF, you never know what to expect!

Post 26 sio tatizo anaweza kuwa ana miaka minne JF wapo Guest wana miaka kadhaa hawajisajiri lakini wanasoma post mie nitajuaje??? ..kiubinadamu nilighafirika lakini sasa niko normal ..
najiandaa kwenda chawote Bar lakini nimemwambia I love u too kwani tatizo ..
 
Arghh,Huyu nae sijui apelekwe kwenye semina elekezi Ngurudoto ya mapenzi au ana tatizo gani.Acha usanii mkuu!

Kutaka kujua private life ya mtu tena kwa kulalama,loh!
Hapa napiga VETO

Thanx Ben ...hii ni Private sana !!
 
Arghh,Huyu nae sijui apelekwe kwenye semina elekezi Ngurudoto ya mapenzi au ana tatizo gani.Acha usanii mkuu!

Kutaka kujua private life ya mtu tena kwa kulalama,loh!
Hapa napiga VETO

Ben hat mimi hicho ndo kilichonishangaza, kuing'ang'ania privacy ya mwanamke mwenzio as if its her right!!
 
Nimesoma Profile yako sijapata nilichokuwa natafuta
Nimekutumia PM bila majibu..umeni-ignore (not fair)
Kupitia Post yako ya leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda …ni kweli umeolewa ?? Ni kweli ulikuwa unamanisha ?
Kupitia post ya Pearl .. 1st lady: mcha Mugu,anampenda mumewe,anapenda kazi,mdada mwenye heshima zake....

Naomba kwa niaba ya wana JF utujuze mmeo ni nani ndani ya JF ..kama kweli unampenda ..tumjue shemeji yetu ..?
Je michango yako katika jukwaa la mapenzi na mapendo (mzee hasikii wivu)

I love you FL1
**********
EW; nimechelewa kuisoma post yako... naona kama imekaa kinyume kidogo!!!
i believe you always respect privacy and wouldn't want to reveal some of your issues to outside world kama hutaki iwe hivyo

sijui sasa lengo hapa ni nini, maana hata ubinamu nao una style yake inayovutia

Just as a warning too, sijapenda ulivyoomba kwa niaba ya wana JF wote, certainly najua si kwa niaba yangu!!
 
Nimesoma Profile yako sijapata nilichokuwa natafuta
Nimekutumia PM bila majibu..umeni-ignore (not fair)
Kupitia Post yako ya leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda …ni kweli umeolewa ?? Ni kweli ulikuwa unamanisha ?
Kupitia post ya Pearl .. 1st lady: mcha Mugu,anampenda mumewe,anapenda kazi,mdada mwenye heshima zake....

Naomba kwa niaba ya wana JF utujuze mmeo ni nani ndani ya JF ..kama kweli unampenda ..tumjue shemeji yetu ..?
Je michango yako katika jukwaa la mapenzi na mapendo (mzee hasikii wivu)

I love you FL1
**********

this is avatar thing
 
ok.. kuna watu wanatafuta kubondwa kwa kweli; mtu keshajiita FL1... sasa juhudi nyingine zote zinatakiwa kutafuta other positions.. any attempt to interfere with her status will be met with a response not seen since the time of Genghis Khan!

Dada wa watu kasema keshaolewa na anampenda mmewe, watu wanataka kujua kama mumewe yupo humu.. na wengine hawaamini kabisa..sasa mwisho mtu atafunga safari kwenda kuhakikisha... halafu yakatokea ya kusoma kwenye magazeti.

FL1 ukiona wanazidi kukukwaza just let me no.. nitamuomba ruhusa bi mkubwa hapa kama naweza kuwa of help.
 
Back
Top Bottom