FL1 -Sorry kama nitakukwaza !

FL1 -Sorry kama nitakukwaza !

BHT i salute you 🙂kazi unaiweza ...

hahaaaaaaaa!!!
easy mamiii
restore your peace
hii JF huwa inanipa taswira ya maisha ahlisi tunayoishi out here
kuna watu wa kila aina, tunajifunza tu jinsi ya kuishi bila mtafaruku!!! thats the most important thing to remember....
 
sina mazoea n hii kitu ujue.....mnanilaumu bure tu jamani......nimegonga pale ulipodai kwa nguvu na kabla y ahapo pia nimekugondea.....na hapa tena??? aaah zimeisha store ngoj aniweke order kwa invisible ani-supply!!

Niligundua kwamba moderator wa JF ana IQ kubwa baada ya kuiona hiyo option ya kugonga SENKSI! 🙂
 
Thats good kama amelewa tatizo lake, sisy na wewe si umemsamehe?

Lily Flower nimemsamehe ila kila nikiosoma Topic nakuwa na maswali mengi kichwani ..moyo wake ndo umetuma kufanya hivyo.....Sijui kakimbilia wapi
thanx
 
Kuna haja ya mie kujibu hayo maswali ya huyu EW jamani hebu kuweni fair wana JF
Ni kweli anawawakilisha nyie ??? naomba kura ya VETO IPIGWE
Napinga kwa nguvu zooooooooote...Haniwakilishi.
 
Lily Flower nimemsamehe ila kila nikiosoma Topic nakuwa na maswali mengi kichwani ..moyo wake ndo umetuma kufanya hivyo.....Sijui kakimbilia wapi
thanx
LIVE YOUR LIFE MAMAA LA FL1!
life is too short to be stressed-up
 
rusha mabandiko ule senksi zangu mama/BABA!BURE TU HIZI😀😀

hazina implications zozote hapa jamvini wala katika life

mkuu sitaki niwe kama MziziMkavu .... anarusha mabandiko mpaka watu wanampiga madongo apunguze.

Its just a matter of showing appreciation tu mkuu and nothing else! Binafsi naamini content ya mtu anachochangia ni muhimu zaidi ya hayo mabandiko!!
 
Pole sana FL1.. Najua UMEKWAZIKA sana angalau ameanzia SAMAHANI... MUNGU akutie NGUVU..
 
mkuu sitaki niwe kama MziziMkavu .... anarusha mabandiko mpaka watu wanampiga madongo apunguze.

Its just a matter of showing appreciation tu mkuu and nothing else! Binafsi naamini content ya mtu anachochangia ni muhimu zaidi ya hayo mabandiko!!
nimekupiga SENKSI hata kwenye hili bandiko pia😀😀
kwangu mimi ni bandiko muhimu sana
 
hahahaha AK inawezekana ni mmoja wa watu wanaonifahamu ameingia kwa jina jingine ..Mi sijui na ndo maana nilikosa cha kujibu ??am christian sipendi kusema lililo baya !!!
Na kama ananifahamu kwa nn anataka niweke Personal deatil zangu hapa??
Nasikia hasira !!!!!
Pole, piga moyo konde mungu atukusaidia
 
Pole sana FL1.. Najua UMEKWAZIKA sana angalau ameanzia SAMAHANI... MUNGU akutie NGUVU..

hahaha nimeshamsamehe namkaribisha Chawote na mabinamu zake atanitambua vizuri zaidi vile anavyotaka profile yangu ...
 
Back
Top Bottom