Flemu nyingi za biashara huku mitaani kwa asilimia kubwa zimejaa watu wa namna hii

Flemu nyingi za biashara huku mitaani kwa asilimia kubwa zimejaa watu wa namna hii

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
moja kwa moja...

1: Watu wanaofanya biashara kwa sababu hawana option nyingine ila wakiipata wanakimbia.

2: Ndugu za hao mabosi wamiliki wa hizo biashara. Ndugu mwema sio lazima awe mwema kwenye kusimamia mambo yako ya msingi. Ndugu hawa wengi hawana morali na hiyo kazi na wengine wengi wanawaonea wivu wamiliki.

3: Watu walianza biashara kubwa kwa nguvu kidogo sana kiasi kwamba hata akae miaka 60 hawezi kupqnda levo inayofuata.

4: Wanafunzi waliomaliza vyuo ambao wanafanya lakini wanajiona wao ni bora kuliko hicho wanachokifanya na wateja wao.

5: Wake za watu ambao hawana ajira, au mume hataki mkewe akawe officewife wa mtu, hivyo mama anafubguliwa biashara kwenye flemu kwa ili asiboreke nyumbani au apate sehemu ya kumuweka bize.

6: Watu walioiga ndugu na marafiki wanaoshinda nao kimaisha waliposikia wamefungua biashara. Angalau na yeye asionekane yuko nyuma.

7: Watu wanaoogopa kupiga hesabu kama wanapata faida au wanapata hasara kwa kuchukua kinachoingia na matumizi yote (kodi,luku,nauli,chakula,vinjwaji, michango mbailmbali, kodi ya pango, ushuru wa uchafu etc.)

8: Wataafu, wanaofanya kwa hofu nataadhari kubwa inayomuharibia hiyo biashara. Wanahofu wakipoteza hawana pa kupata pesa tena.

Kimsingi mimi sio mfanya biashara, ila katika kupita flemu nyingi ambazo zitafeli na kufungwa hapo baadae hizo ndio sifa nyingi za niliowakuta humo.

My take. Yesu alitoa amri, "Fanyeni biashara hadi nitakapokuja". Inabidi biashara zifanywe kwa mikakati mikubwa, kwa kumaanisha na kwa uvumilivu mkubwa ili zilete matokeo kusudiwa.

Ni hayo tu.
Mtumishi Matunduizi.
 
moja kwa moja...

1: Watu wanaofanya biashara kwa sababu hawana option nyingine ila wakiipata wanakimbia.

2: Ndugu za hao mabosi wamiliki wa hizo biashara. Ndugu mwema sio lazima awe mwema kwenye kusimamia mambo yako ya msingi. Ndugu hawa wengi hawana morali na hiyo kazi na wengine wengi wanawaonea wivu wamiliki.

3: Watu walianza biashara kubwa kwa nguvu kidogo sana kiasi kwamba hata akae miaka 60 hawezi kupqnda levo inayofuata.

4: Wanafunzi waliomaliza vyuo ambao wanafanya lakini wanajiona wao ni bora kuliko hicho wanachokifanya na wateja wao.

5: Wake za watu ambao hawana ajira, au mume hataki mkewe akawe officewife wa mtu, hivyo mama anafubguliwa biashara kwenye flemu kwa ili asiboreke nyumbani au apate sehemu ya kumuweka bize.

6: Watu walioiga ndugu na marafiki wanaoshinda nao kimaisha waliposikia wamefungua biashara. Angalau na yeye asionekane yuko nyuma.

7: Watu wanaoogopa kupiga hesabu kama wanapata faida au wanapata hasara kwa kuchukua kinachoingia na matumizi yote (kodi,luku,nauli,chakula,vinjwaji, michango mbailmbali, kodi ya pango, ushuru wa uchafu etc.)

Kimsingi mimi sio mfanya biashara, ila katika kupita flemu nyingi ambazo zitafeli na kufungwa hapo baadae hizo ndio sifa nyingi za niliowakuta humo.

My take. Yesu alitoa amri, "Fanyeni biashara hadi nitakapokuja". Inabidi biashara zifanywe kwa mikakati mikubwa, kwa kumaanisha na kwa uvumilivu mkubwa ili zilete matokeo kusudiwa.

Ni hayo tu.
Mtumishi Matunduizi.
Sijaona shida hapo hizo zote ulizoorodhesha ni chagizo za kuanzisha biashara hayo mengine ni matokeo
 
moja kwa moja...

1: Watu wanaofanya biashara kwa sababu hawana option nyingine ila wakiipata wanakimbia.

2: Ndugu za hao mabosi wamiliki wa hizo biashara. Ndugu mwema sio lazima awe mwema kwenye kusimamia mambo yako ya msingi. Ndugu hawa wengi hawana morali na hiyo kazi na wengine wengi wanawaonea wivu wamiliki.

3: Watu walianza biashara kubwa kwa nguvu kidogo sana kiasi kwamba hata akae miaka 60 hawezi kupqnda levo inayofuata.

4: Wanafunzi waliomaliza vyuo ambao wanafanya lakini wanajiona wao ni bora kuliko hicho wanachokifanya na wateja wao.

5: Wake za watu ambao hawana ajira, au mume hataki mkewe akawe officewife wa mtu, hivyo mama anafubguliwa biashara kwenye flemu kwa ili asiboreke nyumbani au apate sehemu ya kumuweka bize.

6: Watu walioiga ndugu na marafiki wanaoshinda nao kimaisha waliposikia wamefungua biashara. Angalau na yeye asionekane yuko nyuma.

7: Watu wanaoogopa kupiga hesabu kama wanapata faida au wanapata hasara kwa kuchukua kinachoingia na matumizi yote (kodi,luku,nauli,chakula,vinjwaji, michango mbailmbali, kodi ya pango, ushuru wa uchafu etc.)

Kimsingi mimi sio mfanya biashara, ila katika kupita flemu nyingi ambazo zitafeli na kufungwa hapo baadae hizo ndio sifa nyingi za niliowakuta humo.

My take. Yesu alitoa amri, "Fanyeni biashara hadi nitakapokuja". Inabidi biashara zifanywe kwa mikakati mikubwa, kwa kumaanisha na kwa uvumilivu mkubwa ili zilete matokeo kusudiwa.

Ni hayo tu.
Mtumishi Matunduizi.
Kama wewe si mfanyabiashara basi epuka kutoa ushauri au ufafanuzi wa kitu ambacho hujaexperience
 
moja kwa moja...

1: Watu wanaofanya biashara kwa sababu hawana option nyingine ila wakiipata wanakimbia.

2: Ndugu za hao mabosi wamiliki wa hizo biashara. Ndugu mwema sio lazima awe mwema kwenye kusimamia mambo yako ya msingi. Ndugu hawa wengi hawana morali na hiyo kazi na wengine wengi wanawaonea wivu wamiliki.

3: Watu walianza biashara kubwa kwa nguvu kidogo sana kiasi kwamba hata akae miaka 60 hawezi kupqnda levo inayofuata.

4: Wanafunzi waliomaliza vyuo ambao wanafanya lakini wanajiona wao ni bora kuliko hicho wanachokifanya na wateja wao.

5: Wake za watu ambao hawana ajira, au mume hataki mkewe akawe officewife wa mtu, hivyo mama anafubguliwa biashara kwenye flemu kwa ili asiboreke nyumbani au apate sehemu ya kumuweka bize.

6: Watu walioiga ndugu na marafiki wanaoshinda nao kimaisha waliposikia wamefungua biashara. Angalau na yeye asionekane yuko nyuma.

7: Watu wanaoogopa kupiga hesabu kama wanapata faida au wanapata hasara kwa kuchukua kinachoingia na matumizi yote (kodi,luku,nauli,chakula,vinjwaji, michango mbailmbali, kodi ya pango, ushuru wa uchafu etc.)

Kimsingi mimi sio mfanya biashara, ila katika kupita flemu nyingi ambazo zitafeli na kufungwa hapo baadae hizo ndio sifa nyingi za niliowakuta humo.

My take. Yesu alitoa amri, "Fanyeni biashara hadi nitakapokuja". Inabidi biashara zifanywe kwa mikakati mikubwa, kwa kumaanisha na kwa uvumilivu mkubwa ili zilete matokeo kusudiwa.

Ni hayo tu.
Mtumishi Matunduizi.
Naunga mkono hoja

Ndio maana biashara serious hapa Tanzania hazipo,hao wanaofanya hayo wewe mteja ukimkoromea awe chap anakufukuza dukani kwake Kwa sababu yeye hiyo biashara ni zuga 😂😂

Kimsingi biashara,Kilimo na Ufugaji watu wanafanya Kwa shingo upande wakipata kazi za kuajiriwa za serikali wanaacha
 
biashara nyingi hazitengenezi faida, watu wanafanya alimradi siku zisogeee
Hili ndilo ambalo halisemwi wazi.
Niliwahi kuona mtu qnaflemu mbili mtaa flani wanapita watu wengi sana. Cha ajabu dogo ambaye qnauza machungwa pembeni mwa barabara anapata netprofit hadi 50K baada ya kutoa mahitaji yake yote tena anakuja jioni. Yule anafifia kila siku matumizi kwa siku ni zaidi ya 12 huku faida ni -, hadi alikimbia. Kitu ambacho angekionq mapema na kuhamia ambako boashara yake ingetoboa.
 
Naunga mkono hoja

Ndio maana biashara serious hapa Tanzania hazipo,hao wanaofanya hayo wewe mteja ukimkoromea awe chap anakufukuza dukani kwake Kwa sababu yeye hiyo biashara ni zuga 😂😂

Kimsingi biashara,Kilimo na Ufugaji watu wanafanya Kwa shingo upande wakipata kazi za kuajiriwa za serikali wanaacha
Shingo upande na manung'uniko ni makubwa kuliko makusanyo ya nguvu za kutoboa.

Ndio mqana wengi wanakuwa wachawi wanawaloga wakiona wamekuja watu siriasi. Mtaani kwetu kaja don mmoja kawafundishq namna ya kufanya biashara wale wake za watu walifungua viduka. Wote wanahaha hawana raha wanamlaumu huyo bingwa wakati sisi wateja tunajua madhaifu yao ambayo hawataki kuyasikia.
 
Back
Top Bottom