King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Wewe ndio upambane na hali yako maana umeanza kuleta maneno ya shombo kwangu.Ignore list ya nn mpaka nifike huko?,ww kausha tu pambana na hali yako mkuuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio upambane na hali yako maana umeanza kuleta maneno ya shombo kwangu.Ignore list ya nn mpaka nifike huko?,ww kausha tu pambana na hali yako mkuuu.
Si sababu ya huyo tu.Duuh!!So sababu ya huyo to imedhihirisha hayupo...[emoji52][emoji52][emoji52]
za shemeji yetu, huyo dadaHuo mkono kwenye nywele za huyo dada ni wa nani?
hakunaga mchagga lofa wa hivyo, never...labda umefananisha na mwasha.nijuavyo Mbasha ni wachagga
hela una utani ne mshanahuyu jamaa mi huwa namuonaga mshamba mshamba flani hivi,sijui ni msukuma huyu au mpare wa bwiko huko?
kama mkongo ee?Sijawahi muelewa huyu kaka
Angalia mara moja na kuendelea kusoma thread nyingine,unaporudia rudia ndio unapoanza kuingiwa na tamaa..naona anatulingishia msambwanda tu, hakuna utambulisho wa kutiana genye
Bora angekua kama mcongokama mkongo ee?
hakunaga mchagga lofa wa hivyo, never...labda umefananisha na mwasha.
Hivi Mbasha ni msukuma? Nataka nimwongeze kwenye orodha yangu ya wasukuma washamba na malimbukeni
Kasome tena swali halafu jibu kitu kinachoeleweka.za shemeji yetu, huyo dada
wapi ulishaona msukuma analilia juu ya mwanamke wanawake kwetu sisi siyo ishu kivile na nyingi mnajua yupo kona zote za nchi wadada wanapata haki zao kikamilifu.huyu jamaa mi huwa namuonaga mshamba mshamba flani hivi,sijui ni msukuma huyu au mpare wa bwiko huko?
hahahahaha Ambiere!hela una utani ne mshana
Hshaahahaahahaj daaah kiranga cha ngedaMpaka mama Mchungaji anatuonesha chura wa "unga robo" ?
Hapo ndipo utajua Mungu hayupo, angekuwepo, Mama mchungaji angekuwa na heshima kidogo.
Hshaahahaahahaj daaah kiranga cha ngeda
Na siyo intelligent. Anatumia matako kama akili.Ukiona demu anaonesha msambwanda akiwa "Nyuma geuka" tambua kabisa kwamba reception ina ukakasi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tangu nilipojiunga jf 2015 sikujua kuwa wewe ni mwanamke