Flora kwisha habari yake,Mbasha amtambulisha mama mchungaji,Snura anasubiri

Flora kwisha habari yake,Mbasha amtambulisha mama mchungaji,Snura anasubiri

Duuh!!So sababu ya huyo to imedhihirisha hayupo...[emoji52][emoji52][emoji52]
Si sababu ya huyo tu.

There is an inherrent and unsolved contradiction in the concept that the omnipotent, omniscient and all benevolent Godhead exists and allowed a universe in which evil is possible to exist.


It is called "the problem of evil".
 
huyu jamaa mi huwa namuonaga mshamba mshamba flani hivi,sijui ni msukuma huyu au mpare wa bwiko huko?
wapi ulishaona msukuma analilia juu ya mwanamke wanawake kwetu sisi siyo ishu kivile na nyingi mnajua yupo kona zote za nchi wadada wanapata haki zao kikamilifu.
 
Back
Top Bottom