Uchaguzi 2020 Flora Lauwo wa Nitetee Foundation atia nia Viti Maalum, CCM

Uchaguzi 2020 Flora Lauwo wa Nitetee Foundation atia nia Viti Maalum, CCM

Flora baki na huduma aliyokupa Mungu
Huduma ya kuwasaidia wenye shida hasa watoto, walemavu ni huduma ya kiroho
Usijitenge na Mungu
Mungu wetu ni wa ajabu sana
Siasa itakufundisha mengine usiyoyatarajia
Ila si vizuri akatanua huduma hiyo kwa kiwa kiongozi atawafikia watu wengi zaidi
 
Antu mandoza au Yule mwingine alikua amenyoa??
Kashinda huyu dada sijui huitwa nani
Screenshot_20200724-214550_1595662918817.jpg
 
Wamemnyoosha kashinda mdada mdogo mdogo kweli siasa hizi
Shida ya hawa wadada wadogo kurudi awamu ingine ni shida,huwa hawasaidii jamii wao ni kuvaa,starehe,kulea vibenten etc....angalia karibia wote ccm wametupwa nje
 
Alikuwa anaji shughulisha na Nini before naona hyo saidia geresha ilikuwa platform ya kupandia kutafta ubunge kiujanja
Nimemfahamu since 2007 alikuwa na saloon, jina lilianza kusikika 2010 kupitia upambaji wa ma biharusi.
 
Shida ya hawa wadada wadogo kurudi awamu ingine ni shida,huwa hawasaidii jamii wao ni kuvaa,starehe,kulea vibenten etc....angalia karibia wote ccm wametupwa nje
Wengi hujisahau na ni vijana huwa hawasemei vijana wenzao wakati wao wanajua mengi, nilimuona Zainabu katimba anaomba kura kwa kupiga magoti eti alikuwa busy mbunge wa nchi nzima ndio maana.
 
Nimemfahamu since 2007 alikuwa na saloon, jina lilianza kusikika 2010 kupitia upambaji wa ma biharusi.
Mimi nilimuona kwenye kipindi star tv Mara ghafla akaanza na Mambo ya kijamii kumbe lengo lake nikutaka ubunge
 
Kama Zamaradi watu walivyokuwa wanampamba,! Zamaradi nae kumbe mpaka kuandaa kutana na star wako kumbe lengo Ni ubunge
Kumbee!
Nilishangaa kuona maandalizi ya wapiga debe 'eti master'
Wengi wanampenda kwa uandishi wake wa kurusha vijembe na maphotooo kedekede na hubby eti ni kioo cha waingiao kwa ndoa....huwa nacheka basi tu
 
Back
Top Bottom