Foleni kali tokea Bagamoyo road kutokea Mwenge; Je, aliyeweka rasta na matuta mapya akapimwe akili?

Huo ndo weledi wa mwafrika sasa.
 
Sisi wa tz Bado hatujastarabika Bado. Ndo maana mmewekewa hayo matuta. Bora uvunje gari Lako kuliko kupoteza maisha ya binadam mwenzio. Hyo Barabara Magar yalikuwa yanajiachia Sana. Tuendelee kushikiw Akili tu.
 
Kwanza hawajaweka kibao kwamba kuna matuta ya kashata sijui.Halafu walivyojenga hiyo barabara Tanroad kwa nini hakiwawekea mazingira rafiki pale na wanajeshi nao kwa kupenda short cut wazunguke bwana wasitutese watumiaji wengine allaaa
Kiko Kwa fundi kinachongwa usijal, kesho ukipita utakiona. One love matuta
 
Meneja wa TANROADS sasa hivi ni mgeni Dar es salaam.
Inaelekea hajapitia Road Ordinance Act.
Kila kitu ukiangalia kwwnye act, utafel Ndugu. Idad ya watu dsm ni kubwa sana. Kuliko uwezo wa miondombinu, madereva wengi piah ni vichomi hawafuati hizo act unazosema.
 

Hahahaaa! Poleni tulipolalamika Kilwa road wameweka matuta ya kukomoa, yanazuia magari kutembea na si kupunguza mwendo!! Wengi walitujibu hameni huko 🤣🤣🤣🤣, bro. najua ushajua ninachotaka kusema....!!

Nisiwe kundi hilo, mie nalaani sana uwekaji wa matuta licha ya teknolojia zote hizi! Wafunge camera atayepita kwa kuvunja sheria namba zinaonekana na sura! Simple kuliko mnapiga lami then mnaweka matuta tusitembee tena ni upuuzi wa kiwango cha hiyo hiyo lami yao!! 😢
 
Ni Tanzania tu utakuta 50KM katika highway na matuta huwezi kukuta upuuzi huu sehemu zingine badala ya kuweka vibao kusema Max speed 120 ndio hatari yenyewe wao wako busy na 50 hata sijui nani katuroga. Barabara nzuri badala ya kutumia masaa ma 4 unajikuta masaa 8 uchumi utakuwa wapi.
 
Sisi wa tz Bado hatujastarabika Bado. Ndo maana mmewekewa hayo matuta. Bora uvunje gari Lako kuliko kupoteza maisha ya binadam mwenzio. Hyo Barabara Magar yalikuwa yanajiachia Sana. Tuendelee kushikiw Akili tu.
Binadamu wako Lugalo tu, au sio? Mbona matuta ya sehemu zingine yamewekwa kistaarabu?
 
Kila kitu ukiangalia kwwnye act, utafel Ndugu. Idad ya watu dsm ni kubwa sana. Kuliko uwezo wa miondombinu, madereva wengi piah ni vichomi hawafuati hizo act unazosema.
Lazima uelewe kuwa nchi inaendeshwa kwa sheria na taratibu.
Ukiamua kujiwekea tuta kubwa mlangoni kwako hakuna ubishi, ila maeneo yote ya barabara za umma na zinazotumiwa na public, zipo sheria.
 
Watu wenye uwezo wa kufikiri Tanzania wengi wako sekta binafsi, serikali na taasisi zake wamejaa vilaza, na kama akitokea mmoja mwenye nafuu basi hufunikwa na vilaza na yeye kuwa kama wao.

Kuna mambo yanafanyija nchi hii unajiuliza aliyeafanya alitolewa mirembe kwa ajili ya kazi hiyo tu na kurudishwa tena?
 
Wapuuzi sana hao jamaa
 
Wapuuzii mno hawa mbugila mbugila
 
Natamani wawe wanaweka hata milima na si matuta tu. Uendesheji wa magari Tanzania hasa DAR ni wa kizembe kupindukia.
 
Kuna wale watu ambao walitoka vijijini huko ilemela ndani ndani. Huwa wakija vyuoni wanapiga sana misuli kwa kucremisha na kufaulu.

Sasa wakimaliza ndio wanapewa michongo ya kazi Halmashauri za jiji na tanroads huko. Matokeo yake ndio haya sasa wanakuja na idea za kimasikini kwenye kusolve issue ndogo tu.
 
Hiyo si Tanroads
 
Sisi wa tz Bado hatujastarabika Bado. Ndo maana mmewekewa hayo matuta. Bora uvunje gari Lako kuliko kupoteza maisha ya binadam mwenzio. Hyo Barabara Magar yalikuwa yanajiachia Sana. Tuendelee kushikiw Akili tu.
Unaweza niambia hilo eneo ni watu gani wanaovuka?au upo mkoani umehadithiwa tu
 
Wanakera mno yani! Wasongolist flani wazinguaji
 
Natamani wawe wanaweka hata milima na si matuta tu. Uendesheji wa magari Tanzania hasa DAR ni wa kizembe kupindukia.
Sasa wewe kama huwezani na uendeshaji wa Dar es salaam ndio uombee milima na mabonde highway?

Hamia mkoani uendeshe gari kama unaendesha msafara wa bibi harusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…