Foleni kubwa barabara ya kuingia mjini Mwanza asubuhi hii

Foleni kubwa barabara ya kuingia mjini Mwanza asubuhi hii

Top for B

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2023
Posts
803
Reaction score
2,796
Kutokana na mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia leo kuna daraja limejaa maji yanapita mpaka juu eneo la Mkuyuni sokoni.

Foleni ni kubwa kuanzia mjini na upande wa kuingia mjini foleni magari yamesimama mpaka buhongwa, kama una plan ya kuja au kutoka mjini bora ukae kwako maana njiani utaishia kusimama.

Bodaboda zimezidiwa abiria watu wanatembea kwa miguu.
 
Mimi nipo zangu igoma na sina mpango wa kushuka town, sijui kama mabatini pia wamepona.
 
Kuna mshkaji wangu hapa alikuwa ananiambia hali ni mbaya sana.
Mi mwenyewe Niko kwenye foleni,daraja la mkuyuni limezingua inapita gari Moja Moja.
IMG_20230324_105732_846.jpg
 
Back
Top Bottom