Foleni ni kali sana Nyerere Road (Pugu Road) kama huna safari ya lazima usitumie njia hiyo leo tarehe 09.12.2023 kuanzia mchana

Foleni ni kali sana Nyerere Road (Pugu Road) kama huna safari ya lazima usitumie njia hiyo leo tarehe 09.12.2023 kuanzia mchana

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Tangu saa nane kasoro kumi nimetoka Gongo la Mboto, mpaka sasa nimefanikiwa kufika Banana Ukonga ndio nimenasa hapa.

Kama huna safari ya lazima, usitumie Nyerere/ Pugu ROAD tafuta njia mbadala.

Chanzo cha foleni hakijulikani, nadhani labda mzimu wa Gongo la Mboto umekasirika, watu wanauchukulia poa, hata wala hawautambikii.
 
Tangu saa nane kasoro kumi nimetoka Gongo la Mboto, mpaka sasa nimefanikiwa kufika Banana Ukonga ndio nimenasa hapa.

Kama huna safari ya lazima, usitumie Nyerere/ Pugu ROAD tafuta njia mbadala.

Chanzo cha foleni hakijulikani, nadhani labda mzimu wa Gongo la Mboto umekasirika, watu wanauchukulia poa, hata wala hawautambikii.
NAKUJA NA KOMONI TUUTAMBIKIE
 
Tangu saa nane kasoro kumi nimetoka Gongo la Mboto, mpaka sasa nimefanikiwa kufika Banana Ukonga ndio nimenasa hapa.

Kama huna safari ya lazima, usitumie Nyerere/ Pugu ROAD tafuta njia mbadala.

Chanzo cha foleni hakijulikani, nadhani labda mzimu wa Gongo la Mboto umekasirika, watu wanauchukulia poa, hata wala hawautambikii.
Bila picha ni uzushi na fitna kwa wananchi
 
Bila picha ni uzushi na fitna kwa wananchi
Nimepitia profile yako huna hata miezi sita jukwaani ushaota mapembe unaleta ujuaji hadi kwa sisi baba zako.
Tunakuangalia tu.
Screenshot_20231209-155536_Chrome.jpg
 
Tangu saa nane kasoro kumi nimetoka Gongo la Mboto, mpaka sasa nimefanikiwa kufika Banana Ukonga ndio nimenasa hapa.

Kama huna safari ya lazima, usitumie Nyerere/ Pugu ROAD tafuta njia mbadala.

Chanzo cha foleni hakijulikani, nadhani labda mzimu wa Gongo la Mboto umekasirika, watu wanauchukulia poa, hata wala hawautambikii.
Uwanja wa Ndege mmejipendelea uko huko Kwa Nini usitumie Usafiri wa Ndege au helikopta?

Ungeruka na helikopta Toka huko kwenu Ona Sasa unaota mizimu ya Gongolambo
 
Uwanja wa Ndege mmejipendelea uko huko Kwa Nini usitumie Usafiri wa Ndege au helikopta?

Ungeruka na helikopta Toka huko kwenu Ona Sasa unaota mizimu ya Gongolambo
Huku nilialikwa na wazazi wenza. Wazazi wa mume wa binti yangu ndio wanaishi huku
 
Jina lako unaitwa Tajiri Mkuu wa Matajiri lakini umekwama kwenye foleni Tena barabara ya vumbi ulike hata helikopta huna.Badilisha Hilo jina kwenye Avatar .Haliendani na wewe
Kuwa TAJIRI MKUU WA MATAJIRI haimaanishi nalalia vitanda 17 usiku mmoja, navaa viatu pair 13 kwa siku, na nikiwa napanda kitandani napandishwa na crane.

Vivyo hivyo hata mimi ni natumia barabara kama wewe kwani ni haki yangu ya msingi itokanayo na kodi mbalimbali ninazolipa directly na indirectly
 
Tangu saa nane kasoro kumi nimetoka Gongo la Mboto, mpaka sasa nimefanikiwa kufika Banana Ukonga ndio nimenasa hapa.

Kama huna safari ya lazima, usitumie Nyerere/ Pugu ROAD tafuta njia mbadala.

Chanzo cha foleni hakijulikani, nadhani labda mzimu wa Gongo la Mboto umekasirika, watu wanauchukulia poa, hata wala hawautambikii.
Gongo la Mboto jau sana
 
Back
Top Bottom