the viking
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 1,170
- 1,372
huyu bwana anapenda mitafaruku sana..ana akili ambazo haziendani na umri wake huo..wampe tu sababu naona kuna majanga yanaweza yakatokea....ila odinga nimemdharau kabisa...jamaa kubali matokeo...nenda nyumbani Bondo...lea kuku na bata....you are 72 years old na bado unahangaisha hii nchi tulivu...
Ule wadhifa wake wa PM hauna mafao baada ya kustaafu?cha kuhuzunisha hapati chochote kwa sababu hayuko ndani ya serikali
Historia ya Odinga kufanya uchochezi na kujipenda mbele ya maslahi ya waKenya inajulikana sana. Huyu mtu ndiye aliwasha moto mkali wa 2007.huyu bwana anapenda mitafaruku sana..ana akili ambazo haziendani na umri wake huo..
Njia sahihi ni kuhesabu hizo 34A forms. Utaibaje hapo. Maana kila kituo kinatoa fomu iliyokubaliwa na wote. najaribu kuona kwa kutumia fomu hiyo kunavyoweza kuwa na udanganyifu. wewe unaonaje? nielimisheNASA walienda mahakaman kuomba kura ziendelee kuhesabiwa toka kwenye majimbo na vituoni directly ila kama utatokea ubishan ndio form zitatumika kuthibitisha.........
kumbuka utaratibu wa tume ulikua ni kutumia form na sio matokeo ya moja kwa moja bila form, ila wao NASA wakasema kutakua na wizi kwa njia hio, ndio maana wakafile kesi mahakaman na mahakama kuu ikawakubalia.......
kwaio walichofanya IEBC kilikua ni kutokana na rulling ya mahakama kwa kufuata maombi ya NASA,...... hakuna kosa limefanyika hapa ndugu ni vile tu saiz wanaona wanapigwa ndio kulalamika.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wafuasi wa dj mna kaziakae atulie tunascan form now
Yaani wafuasi wa dj mna kazi
John-Allan NamuNasikia huko kimeshawaka
Hahahaha, na bado 2020 lazima mlie na kipigo cha mbwa mwizina wafuasi wa nduli hamna kazi kabisa.
Hahahaha, na bado 2020 lazima mlie na kipigo cha mbwa mwizi
Fomu zimewekwa kwenye web ya IEBC lakini ni chache. Nyingine wa naomba wasimamjzi wa vituo waje kusaini. That means they are cooked. All in all Uhuru nimshindi tuliemtengeneza. I told you before kuwa Uhuru atashinda. Japo kihalali NASA ndo wamekuwa voted. Nilipo waeleza pia juu ya Msando na Ruto mlikuja juu mkitaka evidence. Every leader you see in this world is always a leader of a one eye no matter what choice you might have. Wanachotaka NASA nikulinganisha na matokeo yao kwenye tallying centers but funny enough NASA tallying centers nazenyewe matokeo hayafanani. Ya TZ na KE nitofauti. Wasimamizi wa NASA pia hawakuwa na uzalendo.Kama nilivyo sema kuwa mwenye kombe ndo mshindi. Uhuru lazima ashinde. They can't cut your journey half way. Hakuto tokea violence yeyote hapo. Odinga lazima awatulize wafuhasi wake. Lakini kuna uwezekano wakiongozi mmoja kwenda na maji hapo.Huu ushindi wa Uhuru naomba uwe wa kweli na usije kutuletea majanga na chuki, Raila amesema hayo mafomu 34a na 34b hayajaambatanishwa na matokeo yanayotangazwa, naomba IEBC wafanye scan ya hizo fomu zote na kumpa Odinga na pia kuzianika hadharani ili ushindi huu ukubalike vizuri.
Maana Raila akianza kuimba imba na kutaja wizi, wafuasi wake wanamskiliza sana na wanaweza kukinukisha.
Lazima tuwape kichapo zaidi ya kile cha Odinga kule Kenya, ushindi kwa CCM ni lazima!inategemea kama 2020 utakuwepo.
Jubilee itakuwa kama CCM hapo Kenya. Nichama ilikuja kukiondoa wanaitaji kama miaka 100.Lazima tuwape kichapo zaidi ya kile cha Odinga kule Kenya, ushindi kwa CCM ni lazima!
Lazima tuwape kichapo zaidi ya kile cha Odinga kule Kenya, ushindi kwa CCM ni lazima!
MK254 angalia kauli zako ndugu zisiwe na ukakasi sana na kuendelea kuwakasirisha watu ambao pengine wameanza kuwa na wasi wasi!
Kuwaita wakenya wenzio mazombi wakati huu wa sintofaham inaweza kuamsha mori wa hao unaowaita mazombi!
Ni hayo tu!