Forbes Africa: MO Dewji ndiye tajiri namba 1 Afrika Mashariki na Kati

Ila Tanzania ni nchi mojawapo masikini duniani ukilinganisha na Kenya
 
 
Hii na kutangaza mwanafunzi bora kitaifa inafaida gani? inamsaidia nini mtzd wa kawaida hata aliyeajiriwa kwenye kampuni zake na kuendelea kupuchwa mshahara, hovyo.
 
Huyo wa kwenye mpira ni mtoto wa Bakhresa, si Bakhresa mwenyewe.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Kwa Tanzania tajiri namba moja kila mtu anamjua ni SSB,..hizo nyingn ni michongo tu, labda kama umetoka mbwinde juzi.
 
Tajiri wa jarida la Forbes huyo! Ukija kwenye uhalisia, Mwamedi ni mtoto mdogo sana.

Angekuwa ndiyo tajiri namba 1, asingekuwa anahangaika ku copy na ku paste bidhaa za wenzake. Ubunifu 0! Anatembelea tu nyota ya mbumbumbu fc.
 
Kweli hata dini umesoma kidogo?
Wataka kusema nn? Uislamu ni mmoja hakuna dhehebu la uislamu achaga zako ..Leta izo Aya kuonyesha Mungu kaleta madhehebu ndani ya uislamu kwamba hata msikitini mmoja hawawezi kushare na vitabu tofauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…