Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu kama icho tunajua "Muislamu" tu basi na wnaaofuata Qur an ...Acha porojo ...Unataka taasisi na asili za watu izoShia,salaf,suni,ahmadiya ni nini?
kwani dhehebu ni nini?Hakuna kitu kama icho tunajua "Muislamu" tu basi na wnaaofuata Qur an ...Acha porojo ...Unataka taasisi na asili za watu izo
We liongoooooooooBakhresa alishakataa Mali zake kuhesabiwa
Basi hapa watakuja watu kusema ni pesa za urithi na kwamba eti Bakhresa na Mengi ndio matajiri self made
Kwanza watu wanakosea sana kumfananisha Mo na kina Bakhresa kwa sababu hawa sio rika moja, kama tunataka kumfananisha Said Bakhresa basi tumfananishe na Gulam Dewji, Baba yake Mo ambaye naye ni self made hao ndio rika moja
Mo anatakiwa afananishwe na Watoto wa kina Said Bakhresa kama akina Yusuph ambao ndio rika moja na ambao obviously nao utajiri wao ni wa kurithi toka kwa Baba zao hawa
[/QUOTduuuuuuh p
bakharesa ni tajiri ndio lakini kaziwa na moMmmh!!! bs tu ila yule mzee wa ice cream ela ipo na vitu vinainekana
utajiri aujifichi uko sawa na umasikini fabo wanaposema fulani tajiri wanaagalia pesa alionaya sio magali viwanda na mashambaBakhresa alishakataa Mali zake kuhesabiwa
Huyo wa kwenye mpira ni mtoto wa Bakhresa, si Bakhresa mwenyewe.Kwanza siyo muaminifu na bakhresa (chawa wake) yupo radhi kuua biashara yako ili yake iendelee.
Mfano; baharini, yaani chawa wa bakhresa wanahonga kwa manahodha wa boat nyingine ili wazitie chumvi vife vyake viendelee kuwepo, hataki ushindani, but kwenye mpira kachemka kakutana na magwiji Yanga na Simba!.
Juzi alikuwa radhi kumuaribia bwana mdogo Feisal, kisa pesa!.
Wabumbe na waoWatakuja walala njaa ambao hawamiliki hata baiskeri waseme ni takwimu za kubumba.
Nikuulize wewe katika Qur an pametajwa uislamu hayo madhehebu hakunakwani dhehebu ni nini?
Hiyo ni kama .6% ya networth yake. Bajeti ya Simba ni around TZS 11B mkuu. So 20B ilishaisha kwenye miaka 3 ya kwanza ya uwekezaji wake.Altoa 20b za makolo?
Makundi 72 ndio yapi yaliyotajwa kwenye Quran?Nikuulize wewe katika Qur an pametajwa uislamu hayo madhehebu hakuna
Hakuna kitu hicho. Hata kwa akili ya kawaida, bado Mo anaonekana ana utajiri mkubwa kumzidi SSB.Bakhresa alishakataa Mali zake kuhesabiwa
Tajiri wa jarida la Forbes huyo! Ukija kwenye uhalisia, Mwamedi ni mtoto mdogo sana.Ripoti ya utafiti iliyotolewa na Forbes Januari 30, 2023, Mo Dewji alikuwa nafasi ya 15 hapo awali, amepanda kwa nafasi mbili kutokana na utajiri wake unaokadiriwa kufikia Dola 1.5 bilioni (Sh 3.5 trilioni).
Mwekezaji wa Klabu ya Simba, Mohammed Dewji 'MO Dewji amepanda kwa nafasi mbili katika orodha ya watu matajiri zaidi Afrika kwa mujibu wa jarida la Forbes akishika nafasi ya 13 kwa sasa huku akiongoza chati hiyo kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.
Katika ripoti ya utafiti iliyotolewa na Forbes jana, Mo Dewji alikuwa nafasi ya 15 hapo awali, amepanda kwa nafasi mbili kutokana na utajiri wake unaokadiriwa kufikia Dola 1.5 bilioni (Sh 3.5 trilioni).
Mo ambaye anamiliki kampuni mbalimbali za vyakula, vinywaji baridi pamoja na kilimo amekuwa kichocheo kikubwa kwenye ukuaji wa uchumi na kukuza ajira nchini hasa kwa vijana.
Akizungumza baada ya kutajwa kwenye orodha hiyo, Mo amesema mkakati wake ni kuendelea kuongeza ajira kupitia kampuni zake ambapo, kwa sasa ameongeza ajira kutoka 28,000 hadi 35,000.
Hata hivyo, amesema kuwa mkakati wake ni kuzalisha ajira 100,000 ifikapo mwaka 2029.
“Tunashukuru mazingira ya biashara ni mazuri sana kwa sasa, azma yangu ni kuendelea kuongeza uwekezaji na kusaidia jitihada za Serikali kuzalisha ajira za kutosha,” alisema Mo Dewni.
Bilionea wa Nigeria aliyefanya uwekezaji wa uzalishaji saluji hapa nchini, Aliko Dangote anaongoza orodha hiyo ya watu matajiri zaidi Afrika akiwa na utajiri wa Dola 13.5 bilioni akifuatiwa na Johann Rupertwa Afrika Kusini mwenye utajiri wa Dola 10.7 bilioni.
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (Caf), Dk Patrice Motsepe ambaye anamiliki klabu ya soka ya Mamelodi Sundowns, anashika nafasi ya tisa katika orodha hiyo akiwa na utajiri wa Dola 3.2 bilioni.
Ni orodha ambayo 10 bora yake imetwaliwa zaidi na mabilionea kutoka nchi za Nigeria, Afrika Kusini na Misri mtawalia.
Nafasi ya tatu katika orodha hiyo inashikiliwa na Nicky Oppenheimer(Afrika Kusini), nafasi ya nne yupo Abdulsamad Rabiu (Nigeria), nafasi ya tano kuna Nassef Sawiris (Afrika Kusini), akifuatiwa na Mike Adenuga (Nigeria), Issad Rebrab (Algeria), Naguib Sawiris (Misri), Motsepe (Afrika Kusini) na Mohamed Mansourwa misri.
View attachment 2501750
Sio waislamu waliopotea na mengine na nyie wakristo ,...ila njia imesisizwa ni moja uislamu hao wengine utajua mwenyeweMakundi 72 ndio yapi yaliyotajwa kwenye Quran?
Kweli hata dini umesoma kidogo?Sio waislamu waliopotea na mengine na nyie wakristo ,...ila njia imesisizwa ni moja uislamu hao wengine utajua mwenyewe
Wataka kusema nn? Uislamu ni mmoja hakuna dhehebu la uislamu achaga zako ..Leta izo Aya kuonyesha Mungu kaleta madhehebu ndani ya uislamu kwamba hata msikitini mmoja hawawezi kushare na vitabu tofauti.Kweli hata dini umesoma kidogo?