Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Haya all the best na harakati zako. Wewe unajua kila kitu sisi viazi ngoja tunyamaze tukuache wewe mwenye akili kutuzidi uongee.
take it easy buddy,wote mnatukumbusha wajibu wetu wanafunzi wa hii kitu,huku wewe ukitaka tusichukulie rahisi na tupunguze pupa ili tuelewe vyema kuepuka risk na mwingine akitupa moyo kuwa japo tuna papara ila tutafika kwa sababu naye alikuwa ktk hali hiyo wakati anaanza
 
Nimepitia comment za watu i real excieted kwamba mwamuko wa watu upo ila watuu waache pupa tuuu kwrnyr maisha hujawahi wala hujachelewa bahati ya mtu iko pale pale no matter ni katika umri gani a.k.a forgner the don.
Nahitaji kujifunza mkuu
 
ONTARIO nimesoma zaidi ya siku mbili kwa kweli sina ujanja na mm ni-join 0718-441774
 
Sijakupinga kiongozi ila nilimaanisha ukiwa na pesa ndogo kwenye account unakua makini sana kutrade na pia leverage ni ndogo all in all tuko pamoja [emoji123] [emoji123] [emoji123]
 
vipi wangwanaa?..nmebahatika kupatana na mzoefu wa haya masekta majuzi haya..wacha nizidi kufaidi maujanja...ila bado kauzi nakafatilia kwa makini..tuzidi kwenda mbelee..
 
Mkuu i rl liked your accomplishmnts in demo a/c, hw do u leave me behind dude......??
No not really friend! I prefer to learn and practice what am learning...it was just some sort of practices nothing serious! In fact we both learning and we are still learning mkuu!!

Karibu!
 
Je ni kweli mentor wako anaweza kukujenga kisaikolojia unapokuwa umepoteza? And je broker wako anaruhusiwa kukopa funds unapokuwa na balance ndogo wakati wa kufanya trade msaada wa swali langu wanajamvi.
 
Udemy kuna courses za forex nzuri tu kwa gharama ya 21000 ya Tz na zote kwenye video. Vizuri ukianza kusoma na kusikiliza traders wengine kabla hujaingia kichwa kichwa
 
No not really friend! I prefer to learn and practice what am learning...it was just some sort of practices nothing serious! In fact we both learning and we are still learning mkuu!!

Karibu!
Hv ulikuwa kwny position gani pale, tuanzie hapo kwanza
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…