Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Katika ku trade.. Click and deal nimeimaster (in both theory na katika demo) vzr tu na nagain vifaida japo loss za hapa na pale napata, natumia scalping(short term)...
Hii ya orders theory yake nimeielewa.... Tatizo ni kwenye kupractice kwenye demo.. Nashindwa kuiset vzr... Nikiset numba of pips kabla hazijafika ile order inaclose position..
Ukizingalitia hii ya order unaweza kutrade uku unaendelea na kazi zingine za ofisi
 
Naombeni kueleweshwa tafadhanilin nimepata hilo tatizo kwenye Platform ya MT4/5 hazina sehemu ya kuweka Traillings wala Haina obtion ya kuclose order nyingi kwa mkupuo mfano umefungua positions nyingi kwa mkupuo alafu zika fikia profiti huwezi close kwa mkupuo unafanya moja moja.. Sasa sijui ni kwenye simu ndio tatizo au ni hamna kabisa hata kwenye PC.
 
ONTARIO Shukrani sana kwa madini adimu, U are a fighter i giv you that, Mkuu ukienda tena ughaibuni if time will be available tunakuomba ufatilie biashara ya google adsense online money making, Hapa bongo watu wachoyo sana wa mbinu za kupiga pesa.
 
Duuuh afadhali...ngoja nikatafute bank statement yangu!!
 

Mkuu hii kupanda kwa GBP dhidi ya USD currently siyo kwamba ni swala la muda tuu kwa kuwa muda huu NEWYOYK activites ni chache na na Europe markets, LONDON inclusive wameshaianza siku na business activities zishaanza.? Na jioni kwa saa za kwetu dollar itapata power dhidi ya GBP.? kwa kuwa activities Newyork zitakuwa zimeshaanza na LONDON machweo yatakuwa yameshaanza .?

Correct me kama nina wrong perception.

CC: Ontario.
 
Ww mzee mbona uko negative sana au unataka ufanye trading peke yako kwani hyo miaka saba ulofanya kwa kujificha hujaridhika nayo tu unataka ubaki peke ako kwny hii biashara. Unaroho ya nungu km hicho chama chako
 
Marketing ya NewYork itaanza itaanza mida ya saa tisaa na saa kumi soko litakuwa very hot kwa mida yetu hapa tanzania.
Nasubiri nione itakuwajee tutaobserv fundamental tech inavyoaffect market
 
UPDATE
Mambo matamu. Ingawa bado ni virtual but the progress so mbaya.
Kitu kimepanda mpaka 124. Ngoja ni open positions nyingine

 
Mkuu hiyo ni live trading? Au ni demo account?
 

Mkubwa wengi tunapiga chimbo kimyakimya hadi tunashindwa kuweka conventions zetu huku...ila usitusahau aisee.
 
Reactions: MC7
Baada root kupendekeza kucheki video za UDEMY, binafsi Katika kuzururazurua mitandaoni nimekutana na hizi video tutorial. Inavyoonekana ni tutorial nzuri kwa jinsi nilivoangalia content zake. Mimi binafsi bado sijazicheki, ila nimeshaziweka katika download list, na ipo inaendelea kudownload. Ni MB kama 700 hivi. Hope ndo hizi root alizokuwa akizizungumzia.





Sharing is caring.

CC : root
 
Mkuu hiyo ni live trading? Au ni demo account?
Kaka hiyo ni demo tu bado najifunza. Thread hii niliiona dakika chache baada ya ONTARIO kuipost. Hivo nilianza na spidi kubwa kuanzia hapo. Bado mm ni mwanafunzi katika haya mambo naendelea kujifunza.
 

Mkuu video ni unsupported. Tuma tena vzr....
Thanks for care..
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…