Right click kwenye screen hapo, then shuka hadi kwenye properties.Kwa kutumia MT4 ya XM naona candlestic inakosa maana, kwani colouring siioni vizuri, na pia. Na hiyo M15 niliiweka coz nilikuwa nataka angalia behaviour ya GBP/USD toka siku ya jana jioni.
H4 ya candlestic patterns ni kama unavyoiona hapa. Je kuna settings gani za kufanya candles zionekana na rangi zake.?
View attachment 521279
Right click kwenye screen hapo, then shuka hadi kwenye properties.
Then kuna jinsi ya kuset rangi ya candles, backgroud ya hiyo platform na kwenye grids toa hiyo colour weka black.
Fanya hivyo unipe mrejesho.
Wazo langu la haraka haraka, wewe unafikiriaje?
Good day traders!!
Nimefikiria kitu kimoja cha faida sana... cha faida kwetu sote, mimi na wewe - ili lengo letu liwe more than positive.
Kwajili ya kuhakikisha kuna 99% interaction kati ya mentors/coaches na wanafunzi, nimefikiria kuanzisha App. Hii App itatusaidia ktk:-
●Kubadilishana mawazo among ourselves, kuweza kuchat na kudiscuss kuhusu global financial economy. Forex, stocks, metals, commodities nk.
●Kuweza kupost picha hasa za charts za analysis, pamoja na video kama kutakuwa na umuhimu. Both technical na fundamental analysis!!
●Kufanya live webinars hasa siku za Jumapili, mentors watakua wanafanya analysis ya currencies ili kutoa mwanga wa wiki nzima.
●Students wataweza kushare experience zao, results zao kama wakipenda, inform of pictures nk.
●Tutakua tunakumbushana kuhusu upcoming economic and political news ambazo zinaweza kua na effect sokoni...
Kiufupi hii App itakua kwaajili ya kudumisha ukaribu baina yetu sote...
Wewe unanishauri nini?! Developer, Programmers, Coders... karibuni wazee!!
PONT OF CORRECTION MKUU HUYU JAMAA SII ENGINEER AMESOMA PETROLEUM CHEMISTRY BATCH YA KWANZA UDSM INAYOTOA PETROLEUM ENGINEER NDO WATAMALIZA MWAKA HUU. KULE UDOM NDO ZISHATOKA KAMA BATCH TATU HIVI ZA MA ENGINEER WA PETROLEUM MKUUmkuu forex is not burea de change, waache wenye uwezo wa kutake calculated risks watrade naamini baadae watakuja kuwitness. I like to try things in case I see a return in there. Failing is one step in a jouney to success. There is no way you will succeed without failing.
Naamini wapo watakao anza na kutusua na wapo watakao anza na kufail kisha wakaacha pia wapo watakao anguka na kusimama tena.
Mm ntaanza hii kitu after two years coz bado nasoma and I need to have atleast two passive incomes ili nianze forex. Lakini pia nahitaji kuisoma vizuri forex na kuielewa. Ontario amesoma zaidi ya vitabu 7 tena letter after a letter, word after word, line....., point after a point tena kichwa chake kikali kama unavyowajua ma-engineer na ndo akaja kuanza kutrade tena under mentorship.
Waache wachache wanaotaka asali katika mzinga uliojaa nyuki watafute.
Hard copy... nimeprint mkuu.. wadownload alafu unaprintUnasoma soft copy au hard copy? Kama hard copy umekipatia duka gani mkuu?
Hata hizo grids unaweza zitoa.
ASANTE KWA HILI SWALI TUTAMUULIZA KWENYE TRAININGHapo sasa! Ndiyo maana baadhi yetu tumekuwa tunauliza maswali mengi wanatuona roho za korosho. Ni wazi huwezi join www.forex.com kwa vigezo vingi sana. Watu badala kuuliza maswali ya maana kwa Ontario wanapigania nafasi ya watu 300 kama daladala!
Hawajui kwamba wakishapewa training ya bure, the next thing ni kutoa pesa kwa registration kwa ajili ya mastercard ambayo siyo ya benki! Bali ni zile prepaid mastercard za kuweka pesa zako mwenyewe, inayotumika kujiwekea na kutolea pesa tu. Na watakuwa hawana choice ya broker, the only platform watakayo hitajika kutumia ni ya broker huyohuyo aliyewapa training. Na zaidi, hiyo mastercard haitowawezesha ku register kwenye www.forex.com sababu ni PREPAID Mastercard.
ASANTE KWA HILI SWALI TUTAMUULIZA KWENYE TRAININGHapo sasa! Ndiyo maana baadhi yetu tumekuwa tunauliza maswali mengi wanatuona roho za korosho. Ni wazi huwezi join www.forex.com kwa vigezo vingi sana. Watu badala kuuliza maswali ya maana kwa Ontario wanapigania nafasi ya watu 300 kama daladala!
Hawajui kwamba wakishapewa training ya bure, the next thing ni kutoa pesa kwa registration kwa ajili ya mastercard ambayo siyo ya benki! Bali ni zile prepaid mastercard za kuweka pesa zako mwenyewe, inayotumika kujiwekea na kutolea pesa tu. Na watakuwa hawana choice ya broker, the only platform watakayo hitajika kutumia ni ya broker huyohuyo aliyewapa training. Na zaidi, hiyo mastercard haitowawezesha ku register kwenye www.forex.com sababu ni PREPAID Mastercard.
Hata hizo grids unaweza zitoa.
Badala ya grey unaweza weka white.
Kwenye analysis ukiwa na blank page inakusaidia kuchora lines.
Mkuu hii kupanda kwa GBP dhidi ya USD currently siyo kwamba ni swala la muda tuu kwa kuwa muda huu NEWYOYK activites ni chache na na Europe markets, LONDON inclusive wameshaianza siku na business activities zishaanza.? Na jioni kwa saa za kwetu dollar itapata power dhidi ya GBP.? kwa kuwa activities Newyork zitakuwa zimeshaanza na LONDON machweo yatakuwa yameshaanza .?
Correct me kama nina wrong perception.
CC: Ontario.
Naunga mkono hoja kwa 100%.Wazo langu la haraka haraka, wewe unafikiriaje?
Good day traders!!
Nimefikiria kitu kimoja cha faida sana... cha faida kwetu sote, mimi na wewe - ili lengo letu liwe more than positive.
Kwajili ya kuhakikisha kuna 99% interaction kati ya mentors/coaches na wanafunzi, nimefikiria kuanzisha App. Hii App itatusaidia ktk:-
●Kubadilishana mawazo among ourselves, kuweza kuchat na kudiscuss kuhusu global financial economy. Forex, stocks, metals, commodities nk.
●Kuweza kupost picha hasa za charts za analysis, pamoja na video kama kutakuwa na umuhimu. Both technical na fundamental analysis!!
●Kufanya live webinars hasa siku za Jumapili, mentors watakua wanafanya analysis ya currencies ili kutoa mwanga wa wiki nzima.
●Students wataweza kushare experience zao, results zao kama wakipenda, inform of pictures nk.
●Tutakua tunakumbushana kuhusu upcoming economic and political news ambazo zinaweza kua na effect sokoni...
Kiufupi hii App itakua kwaajili ya kudumisha ukaribu baina yetu sote...
Wewe unanishauri nini?! Developer, Programmers, Coders... karibuni wazee!!
Nikitulia ntakuelekeza..
Nipo mizungukoni..
Assuming other factors constant, Yenkees wakiamka mara nyingi USD inapata nguvu.
Ila kwa leo kuna ishu ya Comey, uchaguzi wa UK, Draghi atatoa ripoti ya uchumi wa EU.
Kwahiyo siku ya leo ipo na externalities nyingi.
Nna shaka kidogo na kiswahili cha mtandao mkuu huwa ni kigumu mno chaweza kutupoza zaidi.itakua poa sana bro....then iwe kwa swahili ili wale wa mabashite waelewe poa
Samahan unaweza kunisaidia material ya technical analysis yaliyokusaidia kupata mwanga..ukinipa link nitashukuruMimi kwa sasa natumia technical analysis. Sijafanya mazoezi ya kutosha ya fundamental analysis ingawa theoretically ninaaidia ila nafuatilia trend ya pound vs USD kwa siku ya Leo kuona itavyokuwa kutegemea na matokeo ya uchaguzi wa uingereza kama sehemu ya kujifunza zaidi juu ya fundamental analysis.
Me hii MT4 mpk leo naona inanisumbua cjui nakwama wapi, kila nkijaribu inaleta invld S/L or T/P, unahisi nipo wrong sehemu gn mkuu?, halafu nkiangalia A/C history naona kila kitu kipo zero pale. Msaada pliz.ziko nyingine mkuu, angalia XM forex, MT5 , MT4 wote wana demo tena rahisi tu