Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Kwa kutumia MT4 ya XM naona candlestic inakosa maana, kwani colouring siioni vizuri, na pia. Na hiyo M15 niliiweka coz nilikuwa nataka angalia behaviour ya GBP/USD toka siku ya jana jioni.

H4 ya candlestic patterns ni kama unavyoiona hapa. Je kuna settings gani za kufanya candles zionekana na rangi zake.?


View attachment 521279
Right click kwenye screen hapo, then shuka hadi kwenye properties.
Then kuna jinsi ya kuset rangi ya candles, backgroud ya hiyo platform na kwenye grids toa hiyo colour weka black.
Fanya hivyo unipe mrejesho.
 
Right click kwenye screen hapo, then shuka hadi kwenye properties.
Then kuna jinsi ya kuset rangi ya candles, backgroud ya hiyo platform na kwenye grids toa hiyo colour weka black.
Fanya hivyo unipe mrejesho.

Already done brother. Thanks, Sasa nipo naenjoy hapa

Capture5.PNG
Capture5.PNG
 
Wazo langu la haraka haraka, wewe unafikiriaje?

Good day traders!!

Nimefikiria kitu kimoja cha faida sana... cha faida kwetu sote, mimi na wewe - ili lengo letu liwe more than positive.

Kwajili ya kuhakikisha kuna 99% interaction kati ya mentors/coaches na wanafunzi, nimefikiria kuanzisha App. Hii App itatusaidia ktk:-

●Kubadilishana mawazo among ourselves, kuweza kuchat na kudiscuss kuhusu global financial economy. Forex, stocks, metals, commodities nk.

●Kuweza kupost picha hasa za charts za analysis, pamoja na video kama kutakuwa na umuhimu. Both technical na fundamental analysis!!

●Kufanya live webinars hasa siku za Jumapili, mentors watakua wanafanya analysis ya currencies ili kutoa mwanga wa wiki nzima.

●Students wataweza kushare experience zao, results zao kama wakipenda, inform of pictures nk.

●Tutakua tunakumbushana kuhusu upcoming economic and political news ambazo zinaweza kua na effect sokoni...

Kiufupi hii App itakua kwaajili ya kudumisha ukaribu baina yetu sote...

Wewe unanishauri nini?! Developer, Programmers, Coders... karibuni wazee!!

Ni wazo zuri na litasidia kuhakikisha uelekeo na spidi moja kwa wote. Big up mkuu
 
mkuu forex is not burea de change, waache wenye uwezo wa kutake calculated risks watrade naamini baadae watakuja kuwitness. I like to try things in case I see a return in there. Failing is one step in a jouney to success. There is no way you will succeed without failing.

Naamini wapo watakao anza na kutusua na wapo watakao anza na kufail kisha wakaacha pia wapo watakao anguka na kusimama tena.

Mm ntaanza hii kitu after two years coz bado nasoma and I need to have atleast two passive incomes ili nianze forex. Lakini pia nahitaji kuisoma vizuri forex na kuielewa. Ontario amesoma zaidi ya vitabu 7 tena letter after a letter, word after word, line....., point after a point tena kichwa chake kikali kama unavyowajua ma-engineer na ndo akaja kuanza kutrade tena under mentorship.

Waache wachache wanaotaka asali katika mzinga uliojaa nyuki watafute.
PONT OF CORRECTION MKUU HUYU JAMAA SII ENGINEER AMESOMA PETROLEUM CHEMISTRY BATCH YA KWANZA UDSM INAYOTOA PETROLEUM ENGINEER NDO WATAMALIZA MWAKA HUU. KULE UDOM NDO ZISHATOKA KAMA BATCH TATU HIVI ZA MA ENGINEER WA PETROLEUM MKUU
 
Hapo sasa! Ndiyo maana baadhi yetu tumekuwa tunauliza maswali mengi wanatuona roho za korosho. Ni wazi huwezi join www.forex.com kwa vigezo vingi sana. Watu badala kuuliza maswali ya maana kwa Ontario wanapigania nafasi ya watu 300 kama daladala!

Hawajui kwamba wakishapewa training ya bure, the next thing ni kutoa pesa kwa registration kwa ajili ya mastercard ambayo siyo ya benki! Bali ni zile prepaid mastercard za kuweka pesa zako mwenyewe, inayotumika kujiwekea na kutolea pesa tu. Na watakuwa hawana choice ya broker, the only platform watakayo hitajika kutumia ni ya broker huyohuyo aliyewapa training. Na zaidi, hiyo mastercard haitowawezesha ku register kwenye www.forex.com sababu ni PREPAID Mastercard.
ASANTE KWA HILI SWALI TUTAMUULIZA KWENYE TRAINING
 
Hapo sasa! Ndiyo maana baadhi yetu tumekuwa tunauliza maswali mengi wanatuona roho za korosho. Ni wazi huwezi join www.forex.com kwa vigezo vingi sana. Watu badala kuuliza maswali ya maana kwa Ontario wanapigania nafasi ya watu 300 kama daladala!

Hawajui kwamba wakishapewa training ya bure, the next thing ni kutoa pesa kwa registration kwa ajili ya mastercard ambayo siyo ya benki! Bali ni zile prepaid mastercard za kuweka pesa zako mwenyewe, inayotumika kujiwekea na kutolea pesa tu. Na watakuwa hawana choice ya broker, the only platform watakayo hitajika kutumia ni ya broker huyohuyo aliyewapa training. Na zaidi, hiyo mastercard haitowawezesha ku register kwenye www.forex.com sababu ni PREPAID Mastercard.
ASANTE KWA HILI SWALI TUTAMUULIZA KWENYE TRAINING
 
Wala msife moyo east africa ni pana sana no matter what i think after ten years kwa umoja wetu we will be in next level kama tutazingatia japo kuna watu watakata tamaa but please don't give up guys keep on going siku baathi yenu mtakapo anza kuizunguka dunia mtainjoy sana kwa kuexpand friends after thus of forex from.Mr ontario i decide to make a joyner from my mother land i am now in Tanzania waiting when it will be lunched but kaja na issue ya kuanzisha apple itakayosaidia kuelimisha watuu vile vile and still i am still learning no matter what nrver give up for everything I REMEMBER NILIPOSOMA KITABU CHA POOR DAD AND REACH DAD NIKIWA COLLEGE BASOMA AGRICULTURAL ENGINEERING NILITAMANI KUACHA CHUO BUT MY MOTHER SAID I INVESTED IN YOU NO MATTER WHAT SO NIKAKUMBUKA KITU KIMOJA FROM THAT BOOK " EVERYTHING WITHOUT A PROPER REASON I WASTAGE OF TIME" SO KAMA UPO MGUU NJE MGUU NDANI HAUTOKUJA KUELEWA HII KITU NAMPONGEZA ANTORIO PLUS ALL OF YOU GUYS TOGETHER IS ONE.
 
😀😀😀😀😀 ...napitapita Mara kwa Mara kusoma comments na updates za Ontario. Hii kitu imenivutia sana...sijawai kuisikia before...ni baada ya kusoma Uzi huu.

Kwa kifupi sijawai soma kitu inaitwa masomo ya Biashara sijui bookkeeping na commerce huko O level???sijawai.

Shule niliyosoma O level ilikuwa na mchepuo wa Kilimo...A level nikasoma science (P.......) Chuo nikasoma science..

Ila niliposoma huu Uzi na baadhi ya comments za wadau naona kama kuna pesa ya ziada hapa.

Shughuli zangu ni za kukimbiakimbia huku na kule nimedownload vitabu ila bado sijaana kusoma kwani sitaki kusoma ili nimalize pages Bali nielewe ili niweze make pesa ya ziada kupitia hii kitu inayoitwa forex trade.

Nikitulia nitavisoma vitabu kwa utulivu Kabisa na pale nitakapokwama nitaomba msaada kwenu wadau.. ONTARIO siku nitakayokupm Mdogo wangu usiache kujibu pm ya kaka yako tadadhali...kama ni kuchangia ili niweze kupata ABC za hii kitu niko tayari Kabisa.

Mkuu Bavaria wewe ndo nitakusumbua sana na naomba usinitupe kiongozi... Nimeona ulianza hii kitu 2012 ukaunguza accnt za kutosha ukaacha umerudi tena 2017..hii imenivutia kwani hata mm nikishafanya Biashara fulani ikanipotezea hela nyingi tu nikaachana nayo ila baada ya muda nikaanza tena na ikanitoa vzuri tu. Nitahitaji sana mwongozo wenu wakuu.
 
Mkuu hii kupanda kwa GBP dhidi ya USD currently siyo kwamba ni swala la muda tuu kwa kuwa muda huu NEWYOYK activites ni chache na na Europe markets, LONDON inclusive wameshaianza siku na business activities zishaanza.? Na jioni kwa saa za kwetu dollar itapata power dhidi ya GBP.? kwa kuwa activities Newyork zitakuwa zimeshaanza na LONDON machweo yatakuwa yameshaanza .?

Correct me kama nina wrong perception.

CC: Ontario.

Assuming other factors constant, Yenkees wakiamka mara nyingi USD inapata nguvu.
Ila kwa leo kuna ishu ya Comey, uchaguzi wa UK, Draghi atatoa ripoti ya uchumi wa EU.
Kwahiyo siku ya leo ipo na externalities nyingi.
 
Wazo langu la haraka haraka, wewe unafikiriaje?

Good day traders!!

Nimefikiria kitu kimoja cha faida sana... cha faida kwetu sote, mimi na wewe - ili lengo letu liwe more than positive.

Kwajili ya kuhakikisha kuna 99% interaction kati ya mentors/coaches na wanafunzi, nimefikiria kuanzisha App. Hii App itatusaidia ktk:-

●Kubadilishana mawazo among ourselves, kuweza kuchat na kudiscuss kuhusu global financial economy. Forex, stocks, metals, commodities nk.

●Kuweza kupost picha hasa za charts za analysis, pamoja na video kama kutakuwa na umuhimu. Both technical na fundamental analysis!!

●Kufanya live webinars hasa siku za Jumapili, mentors watakua wanafanya analysis ya currencies ili kutoa mwanga wa wiki nzima.

●Students wataweza kushare experience zao, results zao kama wakipenda, inform of pictures nk.

●Tutakua tunakumbushana kuhusu upcoming economic and political news ambazo zinaweza kua na effect sokoni...

Kiufupi hii App itakua kwaajili ya kudumisha ukaribu baina yetu sote...

Wewe unanishauri nini?! Developer, Programmers, Coders... karibuni wazee!!
Naunga mkono hoja kwa 100%.
 
Assuming other factors constant, Yenkees wakiamka mara nyingi USD inapata nguvu.
Ila kwa leo kuna ishu ya Comey, uchaguzi wa UK, Draghi atatoa ripoti ya uchumi wa EU.
Kwahiyo siku ya leo ipo na externalities nyingi.

Unaposema YANKEES una maana ya NEWYORK ama.? Wanatumia techniques gani ili kuirudishia nguvu USD.? Au ni ile routine ya daily bussines za kila siku ya buy and sell.?
 
Mimi kwa sasa natumia technical analysis. Sijafanya mazoezi ya kutosha ya fundamental analysis ingawa theoretically ninaaidia ila nafuatilia trend ya pound vs USD kwa siku ya Leo kuona itavyokuwa kutegemea na matokeo ya uchaguzi wa uingereza kama sehemu ya kujifunza zaidi juu ya fundamental analysis.
Samahan unaweza kunisaidia material ya technical analysis yaliyokusaidia kupata mwanga..ukinipa link nitashukuru
 
ziko nyingine mkuu, angalia XM forex, MT5 , MT4 wote wana demo tena rahisi tu
Me hii MT4 mpk leo naona inanisumbua cjui nakwama wapi, kila nkijaribu inaleta invld S/L or T/P, unahisi nipo wrong sehemu gn mkuu?, halafu nkiangalia A/C history naona kila kitu kipo zero pale. Msaada pliz.
 
watafute hawa watu kwenye twitter..wanatuhusu sana katika information ya hii sekta..

1.united states secretary of the treasury:Stephen Mnuchin

2.deputy treasury secretary

3.ECB president Mario Draghi

4.ministry of finance currency spokesman for foreign affairs in japan: Sugiyama Shinsuke

5.The chancellor of exchequer Rt.Hon.Philip Hammond wa great britain

6.Governor of the bank of England:Carney

7.reuters

8.bloomberg

9.msisahau na Donald Trump..

ifahamike ni kwa ajili ya kupokea na kufatilia habari zinazohusiana na main currencies ambazo tunategemea sana katika forex trading..
**kama kuna marekebisho yanapaswa kufanywa tusaidianeni ndugu zangu**
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom