Lennox One
Member
- May 1, 2017
- 14
- 11
Asante sana kwa kushare!Hellow guys, I came across this book, it seem to be resourceful!!
View attachment 521794
Link hapa chini...
http://forexstarmoon.com/files/ebook/Part1/10_Essentials_of_Forex_Trading_14716.pdf
Pia kabla ya kuingia online hii imekaaje kwenda pale kariakoo kununua dola alafu kwenda kuiuza huwezi kuanza hivyo?
Thats another form of forex...lakini kwanini ukomplicate mambo?? Yani umepewa pikipiki upande mlima wewe unataka baiskeli??Pia kabla ya kuingia online hii imekaaje kwenda pale kariakoo kununua dola alafu kwenda kuiuza huwezi kuanza hivyo?
Thanks boss, hapo nimeelewa vizuri sana.Nadhani Complex ameeleza hapo juu lakini kwa nyongeza tu,kama uliweka SL na TP katika order yako huna haja ya kuclose manualy, itajifunga yenyewe pale price itakapo hit TP AU SL, whichever goes first. Japo kuna wakati ukiona market ina move against you basi unaweza amua kufunga order kabla ya kufikia SL ili ku minimize loss(Not sure if its a good idea,wazoefu watatusaidia) na kufanya hivo nenda kwenye mstari wa SL au TP,right click na chagua close.(check picha hapo chini)
Kuhusu LOT,conventional/standard size ni 100,000 currency(your account base currency) so unavosema una trade kwa volume ya 0.03 maana yake unaunatumia 3000 (100,000x0.03) japo kuna brokers ambao wana set Lot size kwenye micro account kuwa 1,000 currency kwahiyo kwa case hii 0.03 Lot volume maana yake umetumia 30 currency kwenye position uliyofunguaView attachment 521779 .
Kuwa na visacard inatosha kufanya manunuzi kwny mtandao? Au kuna process zingine za kufuata?Hapo kwa mimi nilifungua XM account. Na doccuments nilizotumia kama proof of residence ni bank statement. Maana nina akaunt moja ya NBC nilijisajili na E-statement, kila mwisho wa mwezi wananitumiaga email ya bank statement katika PDF format, nami hiyohiyo PDF nikaichukua na kuwafowardia XM na wamenifungulia, na wakanipa bonus yangu ya USD 30.
Nipo ni pmJamani kuna mtu wa Arusha huku ?
Ziko poa sana na ofcourse hata hao mentors watakuwa wanadukua kule kidogo
Ila unalipia 21000 kwa course nzima na video ziko poa
Pia mnafanya live trading
Nadhani Complex ameeleza hapo juu lakini kwa nyongeza tu,kama uliweka SL na TP katika order yako huna haja ya kuclose manualy, itajifunga yenyewe pale price itakapo hit TP AU SL, whichever goes first. Japo kuna wakati ukiona market ina move against you basi unaweza amua kufunga order kabla ya kufikia SL ili ku minimize loss(Not sure if its a good idea,wazoefu watatusaidia) na kufanya hivo nenda kwenye mstari wa SL au TP,right click na chagua close.(check picha hapo chini)
Kuhusu LOT,conventional/standard size ni 100,000 currency(your account base currency) so unavosema una trade kwa volume ya 0.03 maana yake unaunatumia 3000 (100,000x0.03) japo kuna brokers ambao wana set Lot size kwenye micro account kuwa 1,000 currency kwahiyo kwa case hii 0.03 Lot volume maana yake umetumia 30 currency kwenye position uliyofunguaView attachment 521779 .
Msaada hapa plzKuwa na visacard inatosha kufanya manunuzi kwny mtandao? Au kuna process zingine za kufuata?
Nimekupata vilivyo braza kaka..Kinacho matter ni platform unayotumia rather than a broker, mimi natumia MT4 kwenye PC na nina Demo account tatu kutoka kwa brokers tofauti FXopen,FXCM na WForex na njia ya kuweka SL/TP ni ileile.Naenda sehemu ya new order,juu kushoto kisha hiyo TAB hapo juu itafunguka ndio utajaza parameters zako.
View attachment 521110
GoforexShukran sana mkuu!
Je hii ni app gan??
Nadhan BENNICK ametolea ufafanuz vizuri tuu, ila sio mbayua uka dowload Metatrader4-5, sio mbaya ukawa na option tofaut tofauti..Mkuu hata mie natumia FXCM na nliulizaa sikupata jibu....