Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.

Haupo sahihi kabisa mkuu.

15 minutes ni muda mfupi sana kiasi kwamba unamaliza kufanya analysis zako chat zimeshabadilika..

Ulitakiwa uanze na time frame kubwa, ndo uje kwenye timeframe ndogo kwenye kufungua position zako.

Analysis fanyia kwa Monthly, Weekly and Daily.

Open your position at H4 and H1.

For scalpers may use 30, 15 and 5 minutes kwenye kufungua position zako..

Hapo umeingia chaka..
 
Hakuna news yeyote, kwa experience traders walikuwa wanaona kabisa Euro ipo kwenye over bought na siku yeyote wakati wowote itaanguka..

Next week tegemea Euro kuanguka vibaya sana mpaka demand and supply zimeet at equilibrium.
But kuna news za unemployment Germany nadhani zimeangusha sana Euro Leo mkuuu
 
Mkuu samahan kwa usumbufu unaweza kuelezea na pip kidogo na jinsi ya kungalia
Sijui ni ngeli inasumbua[emoji119] [emoji119] [emoji119]
 
KA DOLA 1000 duuh umetisha arifu!!

BTW una undugu na chenge??
Hivyo ni tuviela tudogo tu we ngoja uje kuwa guru wa forex utanikubali ninachokwambia,kama ONTARIO anapiga pesa ya mafuta ya gari yenye CC2400 ndani ya masaa kadhaa,sembuse ivyo tuviela vya mboga,ila simaanish ni pesa ndogo ni nyingi ila naamin tutamilik zaidi ya hiyo,FX sio mchezo wa nguvu ya buku, FX ijue nguvu ya PIPs,
 
Wewe unatumia Bank gani?
Mkuu me bado sijajishusha kwa live Acc.. Coz bado najinoa.. Ila ukipitia nyuzi utaona kuna baadhi ya bank wadau wamezitaja.. Kama FNB bank, , na nyingine ambazo wanatoa master card,/Visa card..
 

Thanks mkuu imeeleweka, inabidi nikae chini nijifue tena top down analyisis. mdogo mdogo tutafika tu
 
Inaweza ikawa. Ila sio kila kitu news inahusika.

Demand and Supply nayo inahusika pia..
Kweli mkuu demand na supply ni factor muhimu pia.
Hebu chukulia Qatar anaamua kufanya manunuzi ya vifaa vya kivita kwa taslimu kwa gharama ya $10B na malipo yakatakiwa kufanyika basi lazima soko litikisike kidogo kwa mahitaji hayo ya pesa kwa hizo nchi zitatumia central bank zao kufanya biashara ya hizo hela
 
Reactions: MC7
Fungua uzi wako.[emoji84] [emoji84]
Ohhhh shit nilitaka kupaste sehemu nyingine niusome maana nilitoa kwa mdau ameupost hapo juu. Ngoja niufute maana unapotosha sikuwa najua mkuu.
Naomba pia ufute hii comment kwani itaendelea kuonesha. thanks sana
 
Naomba Msaada wa kufungua demo account nianze kucheza nayo huku nikiendelea kujifunza, Ontario, Complex and any other who knows how to do it please mnisaidie.
Mkuu Mimi nipo nasoma kitabu ili niijue Saudi hii Forex
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…