dozyee
Member
- Mar 31, 2014
- 82
- 141
wewe jamaa ujue mpaka saiv cjakuelewa kabisa, coz mm nkipoteza ww unawashwa nn, au kuna mchango umenichania labda.Wewe wacha hizo husilete dhihaki. Kumbuka forex trading siyo free lunch! Una ma-hope kibao lakini hujui round the corner kuna shimo la moto aka jehanamu!
mbona nmesoma degree mbili mda wote na loan board bado nawalipa na bado naoana cjapata reward stahik it seems like nimeloose mda wote like 5yrs plus what amount i have spent, ila hilo c tatizo ila hili ni tatizo kubwa sana kwako, na wala c tatizo kwangu mbona.
hapo ndio nnapochoka sana.
for rellly ckuelew kabisa.
almost all here are grown enough, sasa kinachosababisha unatokwa na povu kiasi hicho ni nini.
nais nkiongea sana ntatukana then ntapigwa ban.
naomba uongoz mzuien tena huyu jamaa coz anacreate kitu ambacho baadae kitasababisha JF ionekane tena sio home of gret thinkers tena.
ni hayo tu