Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
nahisi bank zinazo accept forex ni bank za nje maana wanaijua vizuri na wanatrade ila kwa za kibongo ni kwanini wewe mtanzania mwenzangu upate?subiri kwanza kaa pembeni.sisi tutaenda na bank zinazoaccept forex na kwa muda muafaka,sasa hv hakuna kusubiri nenda rudi
 
Pamoja Mkuu, ila naomba unisaidie kitu kimoja, broker unaemtumia, mimi kuna huyu Market.com nataka kumtumia hapa nipe ushauri kidogo
Mimi natumia xm, but nahamia Tickmill kwani huyu anakubali m pesa japo ni kwa safaricom ya Kenya, huyu hana longo longo unachukua mshiko wako anytime
 
Hawatoi sababu za msingi, lkn hawataki watu wajue biashara hii ni aina ya mbinu ya kukuvunja moyo, wengi wamekumbana na tatizo hili

Wana high internet banking security(wapo poa) so ukiwa mtu purchase ya mara zaidi ya moja inakua inatakiwa ufanye confirmation kibao au wanablock hii wanazuia wezi wa mitandao... Mi baada ya kunsumbua sana saa hivi CRDB mawatumia kuwekea mzigo wa dollar tu kwa kutumia dollar account. So nadeposit ma kuwithdraw $... Online purchase nawatumia equity wako fasta but ushauri hapa pesa usiweke equity either kwenye e-wallet kama skrill au paypal au unazitoa kila mara na kuhamishia benki nyingine.
 
dah tamuje je forex yaan leo nimecheza hadi nimegonga kamilio moja wandugu,deposit liliweka 500 dollar laverage nimeweka 100:1 volume 0.10 acha nifurahie nafanikio ya demo i wish one day nitaweza make kwenye really live
Hongera mkuu kama hutojalil tuwekee na screenshoot hapa it tupate motisha mkuu.
 
Ahaaa
 

Hakuna cha high security wala nini, basi tuu ni u-conservative wao, ama hawajiamini bado na security yao upande wa online transactions. Inamaana wanataka kusema kuwa wao CRDB wana security kubwa kuliko Barclays, BankABC au UBA bank ambazo ni multinational na wapo katika internet transactions kitambo..? Au hiyo kublock mtu anayefanya transactions online mara kwa mara ndo kuimarisha security.? Waende zao.
 
Dah kumbe mimi napitwa, basi mimi nimezoea kutrade kwa kutumia Double top&Bottom, Last Kiss, Big Belt, Big Shadow na Kangaroo tail.. Na huwa nagonga profit kama kawa
Double top and bottom,last kiss,Big belt,big shadow,kangaroo,hizo nafikiri ni kama tools ambazo unazitumia kuisoma price action,yaani ku confirm trend then you apply sell or buy,but that's according how I have understood.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau wa forex, Naombeni kujua hawa kwa wote wanaojishughulisha na forex busness, Bank gani naweza kufungua akaunt ili niweze kuitumia kwa forex busness, wadau wametaja bank nying lakini sijapata jibu, njooni ONTARIO viking nawengineo wanaotrade forex currently
 
Fungua fnb... BankABC au equity hao crdb nbc na wakongwe wengine watakupa presha!!
 
Fungua fnb... BankABC au equity hao crdb nbc na wakongwe wengine watakupa presha!!
ASANTE@Upepo wa pesa, pia napenda kujua akauni nitayo fungua ni ya local currency au foreign currency, pili utaratibu wa kufungua account ni uleule au kwa biashara hii ni totauti, tatu ningependa kujua kama wewe unatrade real account unatumia benk gani, asante
 
Okey!

Mimi nilifungua equity(wako simple hawana mambo ya mtendaji wa kijiji wala mwenyekiti, kila kitu fasta)!

Sasa nikitaka kuweka dola mia naangalia je dola moja ni sawa na tsh ngapi?? Then napiga hesabu naweka kiasi nnachopata!!

Kwa kifupi fungua acc ya kawaida weka tsh zako then ukitaka kuweka kwa dola kwa broker wao watabadili huku huko!! Si lazima ufungue acc ya dola au euro!!

Ukifika bank watakupa ushauri zaidi!
 
asante kaka, ila mimi nitaweka dola sababu kariokoo kuna best price za kuchange hela kuliko benk rate zao ni kubwa,
 
asante kaka, ila mimi nitaweka dola sababu kariokoo kuna best price za kuchange hela kuliko benk rate zao ni kubwa,
Hata mimi hii kitu niliwaza sana!! Maana bank wao wanachange kwa 2303 kwa dola moja (equity bank)! Kiasi flani ni kubwa!

Nadhani ulichowaza ni sahihi unaweza ukazibadili ukapeleka dola kwenye acc yako!!

Ila ni vyema ukawa face bank ukauliza hili swali nadhan watakupa mawazo yao pia.

Acc nyingi zina support foreign currency na tsh pia!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…