Naomba nije PM mara mojaPatience is paying.
My earlier head and shoulders pattern is now being pushed down bringing blues by the recent USD fundamental news
It is still demo guys and I am testing my arsenal ready for training from the boss ONTARIO
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 566598
Wakuu wangu.... Niko katika mchakato wa kufungua accounts hizo hapo juu...
Kwa sisi wenye Mtaji wa Kudunduliza Suala la msingi ni kutaka kujua Fees (kitu ambacho wengi wanaki overlook)
Kwenye hizo herufi A mpaka F ni Fees husika kwa kila account.
Kuna Annual Fees, Monthly Fees (mfano nasikia FNB wanakata 16,000 kwa mwezi)
Kuna Withdrawal Fees, Deposit fees.
Ni vizuri tukazijua hizi fees na Best Bank accounts zenye minimum Charges (Especially hapo kwenye Local Bank na Payoneer)
Kwa wale wenye Mitaji midogo hili suala ni la muhim kufanya consideration.
Lakini kama mtaji wako ni mkubwa na transaction zako ni kubwa kubwa nadhani huna haja sana ya kuwaza kuhusu charges.
Kuna aliefungua accounts zote hapo anijuishe kuhusu Charges (hasa kwenye Banks) ili niepukane na Bank zenye makato ya juu yanayoweza kuwa yanakula Significant Percent ya Faida na Mtaji wangu??
I am not sure if this is a principle, mi iko hivi FNB(Visa Card)____Broker the vicevesa, the process goes, FNB fungua saving account ina makato ya Tshs 4500 Monthly. Hiyo uliyoandika hapo is just an option, for my view, Skrill also should go to your account during your deposit to them, then after your Skrill account has equity its when you deposit to a broker, but your withdrawal of your profits from broker are directly taken from Skrill as your best option done by you in your Forex account, somebody can correct me. Ila kwa mimi binafsi, situmii Skrill ila processes zote ziko vizuri.
GoodView attachment 566598
Wakuu wangu.... Niko katika mchakato wa kufungua accounts hizo hapo juu...
Kwa sisi wenye Mtaji wa Kudunduliza Suala la msingi ni kutaka kujua Fees (kitu ambacho wengi wanaki overlook)
Kwenye hizo herufi A mpaka F ni Fees husika kwa kila account.
Kuna Annual Fees, Monthly Fees (mfano nasikia FNB wanakata 16,000 kwa mwezi)
Kuna Withdrawal Fees, Deposit fees.
Ni vizuri tukazijua hizi fees na Best Bank accounts zenye minimum Charges (Especially hapo kwenye Local Bank na Payoneer)
Kwa wale wenye Mitaji midogo hili suala ni la muhim kufanya consideration.
Lakini kama mtaji wako ni mkubwa na transaction zako ni kubwa kubwa nadhani huna haja sana ya kuwaza kuhusu charges.
Kuna aliefungua accounts zote hapo anijuishe kuhusu Charges (hasa kwenye Banks) ili niepukane na Bank zenye makato ya juu yanayoweza kuwa yanakula Significant Percent ya Faida na Mtaji wangu??
Big up broSoon guys!!
I will launch this week, bado sijajua exact date but ni wiki hii. Wait for final call Mungu akijalia uzima.
Cheers and keep being positive!!
Sawa mkuu. Step by step procedures za ku-enable One Click Trading kwenye MT4 PC version ni Tools / Options / Trade / One Click Trading (check box)/ Accept Terms and Conditions / OK / OKSamahani unaweza kutuongoza step by step. Like Open...go to...
Namimi nna tatizo hilo pia na napenda kujua.
Thanks
What if you can ask on this platform for the benefit of all we.Naomba nije PM mara moja
Kwa wenzetu wenye uelewa mkubwa na wa muda mrefu chini ya $500 au $1000 hawawezi kutrade kwa sababu wanaamini ukiwa na pesa kidogo uwezo wa kucontrol risk ni mdogo mnoo,kiasi kikubwa ukiwa na $100-400 uwezekano wa kupoteza ni mkubwa mnoo.........na hii ni kweli maana huku sisi wenye mitaji midogo tumekuwa tukipoteza mara kwa mara.......hilo wanalokushauri ni sahihi kabisa ila unaweza kufungua hata position 3 ila lot size isipungue 0.01......ukikosea ukazidisha tu unakatwa kichwa!!Habari gani waungwana?
Kwa wale wenzetu wenye ufahamu wa forex trading naomba ufafanuzi. Nimefungua account na XTRADE.COM jamaa wakaniambia initial deposit ni US$100 nikadeposit, nikaambiwa nitapewa mtu wa kunielekeza namna ya kutembea na platform, jamaa amewasiliana na mimi.Baada ya mazungumzo ya muda kidogo na maswali ya hapa na pale akaniambia kwa amount hiyo siwezi kufungua position zaidi ya moja labda kama nitaongeza Equity kufika angalau US$500. Hii imekaaje?. Naomba msaada kwenye tuta ONTARIO , Complex , MWANA WA NGURUMO et al.
Kwa wenzetu wenye uelewa mkubwa na wa muda mrefu chini ya $500 au $1000 hawawezi kutrade kwa sababu wanaamini ukiwa na pesa kidogo uwezo wa kucontrol risk ni mdogo mnoo,kiasi kikubwa ukiwa na $100-400 uwezekano wa kupoteza ni mkubwa mnoo.........na hii ni kweli maana huku sisi wenye mitaji midogo tumekuwa tukipoteza mara kwa mara.......hilo wanalokushauri ni sahihi kabisa ila unaweza kufungua hata position 3 ila lot size isipungue 0.01......ukikosea ukazidisha tu unakatwa kichwa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Je yeye anasema utakua unatumia position size ya ngapi?Habari gani waungwana?
Kwa wale wenzetu wenye ufahamu wa forex trading naomba ufafanuzi. Nimefungua account na XTRADE.COM jamaa wakaniambia initial deposit ni US$100 nikadeposit, nikaambiwa nitapewa mtu wa kunielekeza namna ya kutembea na platform, jamaa amewasiliana na mimi.Baada ya mazungumzo ya muda kidogo na maswali ya hapa na pale akaniambia kwa amount hiyo siwezi kufungua position zaidi ya moja labda kama nitaongeza Equity kufika angalau US$500. Hii imekaaje?. Naomba msaada kwenye tuta ONTARIO , Complex , MWANA WA NGURUMO et al.
Unajua mkuu nilichokigundua hii kazi kufanikiea ukiwa na mtaji mdogo ni ishu sana,maana ikitokea news tu moja yenye nguvu unaunguza akauntiDooh
ngoja niichekiGood afternoon pips hunters
Jamani hii pairs kwa wale tunaopenda kutrade kwa kutumia cross over mara nyingi hii pairs kwangu mimi haijawahi kuniangusha its always on my side ingawaje nafanya demo but I wish nikiwa na real account iwe hivi hivi
Ni EURO/ZAR Ukisell ni tamu ukibuy ni tamu
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu huyo jamaa yuko sahihi mana hategemei kufungua position moja,wenzako wanafikiria kufungua position 2 au 3 at the same time za currency pair tofauti, ni uamuzi wako kama utakomaa na position 1 tu mpaka utakapo pata mtaji mkubwaHabari gani waungwana?
Kwa wale wenzetu wenye ufahamu wa forex trading naomba ufafanuzi. Nimefungua account na XTRADE.COM jamaa wakaniambia initial deposit ni US$100 nikadeposit, nikaambiwa nitapewa mtu wa kunielekeza namna ya kutembea na platform, jamaa amewasiliana na mimi.Baada ya mazungumzo ya muda kidogo na maswali ya hapa na pale akaniambia kwa amount hiyo siwezi kufungua position zaidi ya moja labda kama nitaongeza Equity kufika angalau US$500. Hii imekaaje?. Naomba msaada kwenye tuta ONTARIO , Complex , MWANA WA NGURUMO et al.
Hii pair ni habari nyingine aisee!Good afternoon pips hunters
Jamani hii pairs kwa wale tunaopenda kutrade kwa kutumia cross over mara nyingi hii pairs kwangu mimi haijawahi kuniangusha its always on my side ingawaje nafanya demo but I wish nikiwa na real account iwe hivi hivi
Ni EURO/ZAR Ukisell ni tamu ukibuy ni tamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap. Nimetumia app tofaut tofaut kupata basics, now ndo niko na currency trading for dummies....Inabidi ujibidishe sana kusoma vitabu, ni wazi kuwa hujaelewa aina za order, soma Astraforex kuanzia uk. wa 27 na kuendelea, hutajuta...yote haya utayakuta, kitabu kimo kwenye thread hii hii.
Mkiambiwa muwe na subira muwe mnaelewa. Usione watu wanasoma ukazani ni washamba sana boss.Habari gani waungwana?
Kwa wale wenzetu wenye ufahamu wa forex trading naomba ufafanuzi. Nimefungua account na XTRADE.COM jamaa wakaniambia initial deposit ni US$100 nikadeposit, nikaambiwa nitapewa mtu wa kunielekeza namna ya kutembea na platform, jamaa amewasiliana na mimi.Baada ya mazungumzo ya muda kidogo na maswali ya hapa na pale akaniambia kwa amount hiyo siwezi kufungua position zaidi ya moja labda kama nitaongeza Equity kufika angalau US$500. Hii imekaaje?. Naomba msaada kwenye tuta ONTARIO , Complex , MWANA WA NGURUMO et al.