Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Hello guys! I had to make a Jamii forum account yesterday for i couldn't comment here,, I know quite a a few stuffs about the trading or may be a lot you bet,, but I still call myself a begginer...The definitions like pips, leverage... and I have read several books during my holiday last year and this time..I'm still on a Demo acc...I really really would love and appreciate if ONTARIO could consider me among your students during the training...If there's a WhatsApp group my number is 0752681754....Thank you!
 

Bro, kwahyo ce ma newbie unatushauri tutrade forex tu, huko kwenye mapesa mengi twaweza kupotea kbsa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, nakupa mrejesho kama ulivyoomba. In fact, NZDJPY went further south, respecting my call. Check it out
Bro itabidi uwe wanipa signals... Lakn wakat huo huo ukinifunza mengi, in fact, yote unayojua kuhusu analysis,mana if I remember correctly, this is the second time you use a triangle, and score....
Will you? Please?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi bado mwanafunzi kaka. Tusubiri darasa la Ontario then tu-team kuelekezana. Ninachofanya ni kutumia yale niliyojifunza tayari.Will use them over and over again until I'm comfortable before moving to next strategy

Sent using Jamii Forums mobile app
 



Mkuu....sorry ila naona unataka kukata tamaa mapema....subiri kwanza upate training hapo ndo utaamua kujitegemea au kununua/kuomba signal...ni mapema mno kufanya uamuzi huo....trust me ni wachache wameimaster hii kitu....wengi ni just trial and errors.....ina maana hakuna muda soko linatunyoa iwe demo au real????mbona hatuweki screenshort za kunyolewa hapa.....mkuu usikubali kurushwa roho kirahisirahisi hvyo..


Nakumbuka Singo juzi kati alitupia kitu mambo yameenda ndivyo sivyo...ila nilikuwa nimemtumia kitu angekubaliana nacho mambo yasiingeenda kama yalivyoenda..na nakumbuka alisema atakomaa mpaka kitu kiwe blue ila mkuu Al-Watan akamshauri kuwa inaweza mambo yakaenda tofauti na alivyowaza na kweli ndio imetokea hvo maana USD imeendelea kuporomoka zaidi na zaidi.

Komaa mkuu sikukatazi kuyafuta msaada najua watu tuna uelewa tofauti kuna wengine wanakamata haraka wengine ndo hvo tena...ila ni mapema sana kukata tamaa mkuu wangu.
 

Vizuri mmetafuta suluhu, ila hiyo statement yako ya mwisho inaonesha kuwa kuna jambo hujalielewa.
 

Najua umeumia ila pole sana mtu kukuita tapeli ili hali hakujui inauma ila pole twende tuendelee na mambo yetu haya usiache kututumia vitu ili na sisi tunaoanza tusikate tamaa, inatuhamasisha mimi napenda nikiona coz wako ambao wanaamini hakuna kufanikiwa kwenye forex ila tukiona unavyotuma then tutaanza na sisi kutrade

Once again very sorry!
 
Mkuu nimepata encourage uliposema hii kitu umejifunza mwenyewe kwa kukesha demo na kusoma vitabu.kuna mazingira yananizuia kukutana na mentor,bado najisomea vitabu,kama ulijisomea na ukaweza bila shaka nitaweza pia
 
Its true. Ndo mana nkasema anipe signals, AND ANITRAIN IN EVERYTHING HE KNOWS... Trust me, kati ya wabishi nami nimo, na cwez kuiacha hii maana ndo njia pekee naona inaonyesha matumaini...

What I want is a mentor... Nataka hasa niweze kila kitu on my own, Ndo mana hapo nyuma kdg nimewaomba jamaa wanikubalie kubadilishana namba iwe rahc zaidi kunielekeza, personally. Huwezi amini nkwarisambu, lakini niko far away from giving up....

Nlikuwa cjui kbs kuhs forex, sasa najua mambo mengi sana, naona ni hasara kugive up kwa wakati huu...

Ahsante kwa kunipa moyo mkuu.
I appreciate it a lot.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimecheki youtube wanasema 90% ya wanaofanya biashara hii wanafeli, naomba tuwe kwenye 10%, hii biashara ni ngumu na nilichoona itabidi uache shughuri zote uanze kufanya hii biashara inahitaji upate taarifa nyingi kuhusu market price lakini pia watu wanafanya kwa kushirikiana yaani unakuta watu wapo kama watano kila mmoja analeta mawazo na taharifa kuhusu market ipoje, jamani hii sio bahati nasibu jamani, ukifanya kama bahati nasibu imekula kwako, hapa haihitaji kubashiri bali inahitaji uwe na taharifa zaidi juu ya market price it means kua kalibu na vyombo vya habari, mimi mwenyewe mgeni wa hii kitu namshukuru otatiro ila tujue hii ni kazi kama nyingine, ila inalipa [emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ivi RSI ni nini? Na inatumikaje?

Sent using Jamii Forums mobile app

RSI (Relative strength index) ni mojawapo ya oscillators zinamuwezesha trader kujua hali ya soko ipoje kwa wakati huo. Kama tunavyojua katika soko kuna wanunuzi na wauzaji, hivyo inakusaidia kujua kama bidhaa husika (kwa case yetu bidhaa ni currency pair) imenunuliwa sana ama imeuzwa sana. Ukiangalia katika RSI graph utaona kuna leevel mbili 30% na 70%. Hii maana yake kaama graph iiwa chini ya 30% maana yake pair hiyo imeuzwa sana (oversold state) hivyo uangalie possible buying opportunities, na viceversa ikiwa juu ya 70 maana yake ipo katika overbought state.

Ila hii njia kama ilivyo kwa technical indicators nyingine si reliable sana kwani ukirudi nyuma katika formula iliyotumika kutengenezea RSI formula, utakuta inputs(variables) za hii formula ni previous closings za masoko katika muda uliopita. So kukitokea any uncertainity katia muda wa sasa, basi unakuwa katika shaka kidogo kwani itakubidi usubirie muda ujao ili RSI ikupe nini kilitokea. Hii huifanya hii njia kuwa inakawia kutoa viashiria/signals. Kiufupi ni hivyo. Kujua RSI inatumikaje cheki forex bible wameelezea vyema sana.
 
P
Like it and I'm ready to sacrifice any resource I have. So, how can I joing the training brother?
 
P

Like it and I'm ready to sacrifice any resource I have. So, how can I joing the training brother?
Uzi umeuona leo kwa mara ya kwanza???


Mkuu, pitia taratibu mdogo mdogo, kuna mambo mengi mno yamejadiliwa ikiwa n pamoja na vitabu unavyopaswa kusoma

Ila tu kwa kifupi, Training bado haijaanza na utaratibu bado haujatolewa.. Uzinduzi utafanyika tar 1/9/2017...
 
Mambo yaliniendea vibaya sana, najifunza kwa makosa, nikiingia real acc nitakuwa na acc mbili, moja nategemea signals za mentors,nyingine naweka hela ndogo ambayo nitatumia analysis yangu
 
Habari za mda huu wadau??

Nadhani wote tunajua kinachoendelea huko kwa wenzetu hasa kati ya N.Korea na Japan!! Jana N.Korea alivurumisha kombora juu ya anga la Japan na kutua kwenye bahari jiran kabisa na pwani ya japan!! Kwa kifupi kuna hali tetea huko mashariki ya mbali!!

Anyways, kama ukiangalia baada ya N.Korea kutangaza kurusha kombora, Yen ilianza kupanda nabaada ya kurusha kombora Yen ikapanda maradufu, nadhani USDJPY ilitoka 109 mpaka 108 within very short period of time!! kilichonishangaza kwanini Yen ipande badala ya kushuka hasa ukizingatia Japan ndio ilikua kwenye hali ya kushambuliwa??

Katika pita pita zangu kwenye huu uzi na kwenye sites nyingine, Yen inajulikana kama "Safe haven" na mara nyingi inakua kimbilio la wawekezaji kipindi cha machafuko! Baada ya kugundua hili sikushangaa what happened yesterday!!

EURUSD ime-hit 1.2 na bado inaelekea north!!

Mpaka sasa naona dola ya Marekani inafanya vibaya. Nangoja reaction ya USA, China na Urusi kuhusu tukio la jana....
 
Me mwenyewe nilijiuliza kwanini JPY ipande wakati yenyewe ndo ipo kwenye matatizo.. ila kidogo hapo umenifungua.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…