Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
hii biashara inahitaji tuielewe jamani, maana kuna hatari sana, ni mchezo ambao inabidi tuition za kutosha! na tatizo la hii kitu unaweza kujiona umeelewa kumbe hujaelewa, ina changamoto sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Brokers wa forex karibia wote wanatumia hii ya automatic close position pake ambapo account yako unapoishi hela. Hizi platforms ni software so zipo prgrammed kufanya hivyo just like inavyo execute stop loss, take profit etc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukuran sana kk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu vip tunaweza kuja pm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Al-Watan ongera sana. Husitusahau japo $100 kwa mtaji!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi mwenyewe sikumwelewa kabisa. Anacho launch ni nini?

Ilipaswa kabisa kutoa maelekezo yote kwenye huu uzi hapa watu tuelewe namna ya kujisajili online tuweke pesa tuanze biashara.

Mimi mwenyewe hayo masuala ya training yamenikatisha tamaa kabisa

Mtaji wenyewe tabu, pesa ya nauli ya hadi dsm plus ya training si nabaki mweupe kabisa.

Cha msingi mwaga kila kitu hapa ili tukajifunzie huko huko online..

Otherwise, nitaendelea kubeti kwa mhindi
 

Hapo ndipo utakapokosea..

Mimi ckuwa namchallenge kwamba haeleweki, ukisoma vizuri nlichoandika utagundua kitu.

Changamoto yangu, co mtaji wala nauli, changamoto nlyotaja ni BROKERS.

kuna watu kupitia uzi huu tayari wanapga hela ndefu, na bahat nzuri kuna mabroker wengne minimum amount ya deposit ni mpaka $50 na wengne $25, na kuna wengne wanakupa hadi mtaji kabisa, so kwangu mtaji co ishu.

Ishu nloiongelea ni kwamba akilaunch school, watu tukapiga kitabu, itakuwaje upande wa mabroker?

Kumbuka kuwa mabroker wengi ni wa nje, na weng ni nje ya Africa though huenda wana presentatives wao.

Sasa wana utaratibu wao wa kudeposit na kuwithdraw pesa ambao kibongobongo una hatua ndefu sana, ni tofauti na kama tungekuwa na broker hapahapa tz, au akawepo presentative wa broker hapa tz, ingekuwa rahis kuweka na kutoa pesa, mana ungekuwepo utaratibu ulio customized kwa mazingira ya tz.

Hilo ndilo wazo langu, na nkauliza analionaje yeye? Training bro co lazma uende leo, mana hapa tu kwenye uzi ni training tosha, kama utajibiidisha kusoma na kufanya demo kila cku.... Labda kama ile elimu ya chuo ya kujitafutia materials na kusoma bila kusimamiwa kwako ni ngumu, hapo kweli utafeli.

Nimebet sana bro, lakini tangu nimeanza hii kitu, nimeapa kuwa ctobet tena, sbb nlikaa na kuwaza pesa napga na napgwa, nimeona ni hasara kiasi gani nimepata...

Ile pesa unabetia, ndio mtaji wako.
Cheers!!




<> semper fi <>
 
Naomba kwa wale wazoefu watuambie ni broker gani mzuri kati ya hawa
 

Usiogope spreads, spreads si kubwa kivile. Halafu isitoshe movement ya pips ipo faster sana as yenyewe ipo na only 2 decimal places. Same to indices.
 
Ukiwa na pupa hii biashara huta iweze kaka tulia iyo pesa unayo sema mtaji ni mdogo then unataka uingie kichwa kichwa utapigwa K.O hiyo hauta sahau...
Ina shauriwa u practice na demo A/C mpka pale utakapo kua fit ndio uanze kucheza na Real A/C haijalisha ni 2/3 months
So be Patient kila kitu kitawekwa sawa na ONTARIO[\b] himself

google Pixel

 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…