Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Nenda you tube search Forex Videos, na pia kuna groups telegram za traders, unaweza zisearch.

Kwa capital Templer FX hahitaji capital kubwa, unaweza anza hata na $10 kwa standard account, au $1 kwa cent account.Na waweza fund kwa MPesa.

Wengine kama Pepperstone wanahitaji walau $25. Na huwezi kufund kwa Mpesa.
 

Mkuu jaribu kukufwata pm lakini sipati mwelekeo, naomba unipm km itawezekana, nahitaji msaada wako
 
we ndo chongo kabisa ila neno lako la mwisho ndo liko poa tu kwa wengine ila forex ni biashara halali kabisa ila mpaka uwe mwelewa vizuri
 
the companies to trade for you and all the bullshit. hamna mtu ana trade badala yako ni wewe mwenye jomba vipi hii kichwa yako ina mavi au
 
the companies to trade for you and all the bullshit. hamna mtu ana trade badala yako ni wewe mwenye jomba vipi hii kichwa yako ina mavi au
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
huyo jamaa wa ghana anaitwa nani. nataka nisome story yake kidogo
 
Oooopsiii! Hatimea umeelewa sasa mzawa.

Eti mtu anatrade 15M chart na proudly anajiita scalper..wewe hata market maker hana hiyo jeuri.
15M hapana nimejaribu nime unguza account nimebakiwa na dollar 3 mpka saizi hapa sasa sijui nitaikuzaa au ndo kwa heri hiyooo
 
Kweku Adoboli - Wikipedia
Wa bank ya UBS ya Switzerland
Basi kwa zile stori nlijuaga kweli jamaa alikuwa scalper, sasa nlipoona sentens "he failed to hedge his trades against risk" nkajua huyu hakuwa scalper, SCALPERS DON'T HEDGE AT ALL. Plus, hakuna mahali wamesema alikuwa anatumia scalping method of trading...

[HASHTAG]#TradeTheWayYouWant[/HASHTAG].
 
Huyu jamaa alikuwa anafanya unauthorized trading ambapo kila trader wa bank hiyo hakutakiwa kuzidisha $100mil lakini huyo alikuwa anazidisha na kusababisha hasara ya mabilion
 
Kuna account ambayo inaruhusu minimum deposit $10? ila isiwe cent account
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…