Chuku chuku
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 873
- 1,360
Hope ni meseji hiiOkey akaunti umeshafungua yes, kuna email wanakutumia wenyewe Templer fx ya login details , inakuwa na username na password , ambazo utazingiza kwenye mt4 yako , nauliza wamekutumia ?
Boss nisaidie nimefungua cent account sasa hii leverage ya 1000 si ni kubwa hii nawezaje kubadilisha hii?Poa mkubwa kila la kher
ukiwithdraw hela kutoka templerfx inatumia muda gani kuingia kwenye account yako M-pesa?Nenda dashboard>>>open account>>Select levarege>>
Kama utashindwa kuendelea hadi hapo nijuze nitakupa maelekezo
Come have a look:better uka invest kwenye kilimo pamoja na kufaidika na mavuno pia unalisha watu wengine.
hadi leo Bakhresa is still investing on foods and beverages halfu wewe mwananchi wa kawaida unataka ukazane na forex.
thats stupidity at its highest maana kama hujasoma basi tazama jifunze.
Mo dewji ni billionea wa TZ ushamsikia ana deal na forex?!
au ushamsikia Dangote in that matter?
nawataja hawa maana ndo wengi wenu mtakua mnawasikia katika vyombo vya habari.
na kama hujawasikia halfu leo ndo unasikia forex na unataka kua expert? [emoji23]
acheni kuwa na ndoto ambazo hazitekelezeki kisa kutaka urahisi wa maisha kutajirika haraka haraka
Pumbavuuuuuuuuuuu wewe jinga sana!better uka invest kwenye kilimo pamoja na kufaidika na mavuno pia unalisha watu wengine.
hadi leo Bakhresa is still investing on foods and beverages halfu wewe mwananchi wa kawaida unataka ukazane na forex.
thats stupidity at its highest maana kama hujasoma basi tazama jifunze.
Mo dewji ni billionea wa TZ ushamsikia ana deal na forex?!
au ushamsikia Dangote in that matter?
nawataja hawa maana ndo wengi wenu mtakua mnawasikia katika vyombo vya habari.
na kama hujawasikia halfu leo ndo unasikia forex na unataka kua expert? [emoji23]
acheni kuwa na ndoto ambazo hazitekelezeki kisa kutaka urahisi wa maisha kutajirika haraka haraka
Nina mashaka na uwezo wako wa kufikiri unaonekana unaishi kwa kukariri sana. Akina Bakhresa wametajirika kwa kuinvest kwenye foods na beverages so what...kila mtanzania anayetaka kutajirika SHARTI awekeze huko? Ila sishangai ndio maisha ya watanzania wengi..kuigana na kukopiana tu mtu mmoja kaamua kupika maandazi anauza vizuri baada ya wiki moja mtaa mzima unapika maandazi...no ubunifu no mawazo mapya, kwa hili sikushangai...This is 21st Century bro /sister kila mtu anapambana na hali yake hebu toka kwenye hilo box kwamba Ili mtu atoke kimaisha ni lazima akalime tikiti.better uka invest kwenye kilimo pamoja na kufaidika na mavuno pia unalisha watu wengine.
hadi leo Bakhresa is still investing on foods and beverages halfu wewe mwananchi wa kawaida unataka ukazane na forex.
thats stupidity at its highest maana kama hujasoma basi tazama jifunze.
Mo dewji ni billionea wa TZ ushamsikia ana deal na forex?!
au ushamsikia Dangote in that matter?
nawataja hawa maana ndo wengi wenu mtakua mnawasikia katika vyombo vya habari.
na kama hujawasikia halfu leo ndo unasikia forex na unataka kua expert? [emoji23]
acheni kuwa na ndoto ambazo hazitekelezeki kisa kutaka urahisi wa maisha kutajirika haraka haraka
Umeniudhi kumjibu? Yy anajua km Mo au SSB hawafanyi hivi? Mie kupitia nilijua kumbe kuna kitu kinaitwa treasury bill na treasury bond,hii kitu hujui kirahisi lkn matajiri wanaifanya sana,so muache aamini ktk kilimo msimu hadi msimu ,hy miezi ya kati anajua wanafanya nn hao?Nina mashaka na uwezo wako wa kufikiri unaonekana unaishi kwa kukariri sana. Akina Bakhresa wametajirika kwa kuinvest kwenye foods na beverages so what...kila mtanzania anayetaka kutajirika SHARTI awekeze huko? Ila sishangai ndio maisha ya watanzania wengi..kuigana na kukopiana tu mtu mmoja kaamua kupika maandazi anauza vizuri baada ya wiki moja mtaa mzima unapika maandazi...no ubunifu no mawazo mapya, kwa hili sikushangai...This is 21st Century bro /sister kila mtu anapambana na hali yake hebu toka kwenye hilo box kwamba Ili mtu atoke kimaisha ni lazima akalime tikiti.
Eti tufanye kazi...kwako wewe kazi ni lazima mtu akimbiekimbie na mafaili kwenye korido au avuje jasho. Hivi unadhani wanaotrade forex hawafanyi kazi...hebu tenga muda kidogo ujifunze.
Ushauri wa mwisho..leave us alone. Tukitapeliwa tukiibiwa wewe inakuuma nini mbona ninyi watu mnawashwawashwa kama wastaafu eeh, huwa najaribu kufikiria ajenda yenu haswa ni nini na kwa nini mnaonekana kuumia kuhusu hata sisi wenyewe? Au uliunguza account[emoji23] [emoji23] [emoji23] vumilia ndio kujifunza mimi mwenyewe nimeunguza ila sina mpango wa kuacha sasa kwa nini wenzetu mnakuwa na hasira hivi, zilikuwa dola ngapi? Elfu?
Thanks,nimefanikiwaNenda dashboard>>>open account>>Select levarege>>
Kama utashindwa kuendelea hadi hapo nijuze nitakupa maelekezo
Naona ulihitimu "Le Akiliz Nyembambaz Secondary school"better uka invest kwenye kilimo pamoja na kufaidika na mavuno pia unalisha watu wengine.
hadi leo Bakhresa is still investing on foods and beverages halfu wewe mwananchi wa kawaida unataka ukazane na forex.
thats stupidity at its highest maana kama hujasoma basi tazama jifunze.
Mo dewji ni billionea wa TZ ushamsikia ana deal na forex?!
au ushamsikia Dangote in that matter?
nawataja hawa maana ndo wengi wenu mtakua mnawasikia katika vyombo vya habari.
na kama hujawasikia halfu leo ndo unasikia forex na unataka kua expert? [emoji23]
acheni kuwa na ndoto ambazo hazitekelezeki kisa kutaka urahisi wa maisha kutajirika haraka haraka
fungua angalia mkuu fursa hizi
Its not scam?fungua angalia mkuu fursa hizi
Do not open a link unless you know where it leads.... Or you'll end up in darkweb or deepweb
one day tuukiwithdraw hela kutoka templerfx inatumia muda gani kuingia kwenye account yako M-pesa?
hehehe haina haja ya kupoteza muda kujubu huja za watu kama haoNina mashaka na uwezo wako wa kufikiri unaonekana unaishi kwa kukariri sana. Akina Bakhresa wametajirika kwa kuinvest kwenye foods na beverages so what...kila mtanzania anayetaka kutajirika SHARTI awekeze huko? Ila sishangai ndio maisha ya watanzania wengi..kuigana na kukopiana tu mtu mmoja kaamua kupika maandazi anauza vizuri baada ya wiki moja mtaa mzima unapika maandazi...no ubunifu no mawazo mapya, kwa hili sikushangai...This is 21st Century bro /sister kila mtu anapambana na hali yake hebu toka kwenye hilo box kwamba Ili mtu atoke kimaisha ni lazima akalime tikiti.
Eti tufanye kazi...kwako wewe kazi ni lazima mtu akimbiekimbie na mafaili kwenye korido au avuje jasho. Hivi unadhani wanaotrade forex hawafanyi kazi...hebu tenga muda kidogo ujifunze.
Ushauri wa mwisho..leave us alone. Tukitapeliwa tukiibiwa wewe inakuuma nini mbona ninyi watu mnawashwawashwa kama wastaafu eeh, huwa najaribu kufikiria ajenda yenu haswa ni nini na kwa nini mnaonekana kuumia kuhusu hata sisi wenyewe? Au uliunguza account[emoji23] [emoji23] [emoji23] vumilia ndio kujifunza mimi mwenyewe nimeunguza ila sina mpango wa kuacha sasa kwa nini wenzetu mnakuwa na hasira hivi, zilikuwa dola ngapi? Elfu?