Huko inbox unaenda ku share nini?? Unashare unamwambia mtu njoo chumbani??? kwann usiweke hapa kama Unashare?? unaelewa maana ya ku share??usi panic lilux nani kaja kutafuta watu wakati mimi na share kilee nilicho nacho. tafuta kama nimeomba chochote au kumshauri mtu. mi nime share tu vitu best vya forex
sina demo pia nina live account ndugu demo ni kwa ajili ya ku taste tool mpya tu hahahahaahSina cha kujadili na wewe boss. Boss wa demo
Share those indicators, tuzifanyie backtesting pia, kushow pics zake, bila kutupatia indicators zenyewe bado haitusaidii sana....usi panic lilux nani kaja kutafuta watu wakati mimi na share kilee nilicho nacho. tafuta kama nimeomba chochote au kumshauri mtu. mi nime share tu vitu best vya forex
Uongo mwingine wa system zao uchwara pale wanapokutajiwa uhakika wa pips utadhani hizo tools ndio zinamove marketSina shida nayo, kuna zaid ya trillion 6 kwenye market, kapambane uvune uwezavyo, kuna pesa za kutosha sana mule, ingia sasa hv angalia pair za EUR, zinatema vibaya mno, acha kuvizia pesa za watu, Hv kuna mtu ambae ana system ambayo anampa dollar 1000++ aje alete kalio hapa aanze tafuta wateja???? real??? Yaan unakuja kivizia vi lak vya watu??? tumbafu sana
Ushauri wangu, rudi kwenye vitabu. Anza upya.bado beginner mkuu kuna mtu alinielekeza tu ikiwa inapanda buy ikiwa inashuka sell mwingine kasema vice versa
Piga hii live tuone trade history zake as live kila mtu yupo nayo, kutrade demo ni sawa na kujifunza kupiga mbizi kwenye mchanga.[emoji23] [emoji23] [emoji23]sina demo pia nina live account ndugu demo ni kwa ajili ya ku taste tool mpya tu hahahahaah
View attachment 721968
unapenda kumezewa ngoja siku uzae ndo utajua, ndo maana wenzetu kununua album ni kitu cha kawaida sana ila sasa mapulizo kama nyie ni shida sanaHuko inbox unaenda ku share nini?? Unashare unamwambia mtu njoo chumbani??? kwann usiweke hapa kama Unashare?? unaelewa maana ya ku share??
by the way, hakuna "Wakuja" tena siku hizi, watu walishafunguka akili, hakuna miujiza kwenye hii biashara, You either learn or get screwed, hakuna shortcut wala bibi yake shortcut
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wehu sana, alafu hizo screenshot idadi ya pips nahisi katoa YouTube, kuna channel kule naonaga inatangaza upuuz unao fanana na huo anaotaka kuleta hapaUongo mwingine wa system zao uchwara pale wanapokutajiwa uhakika wa pips utadhani hizo tools ndio zinamove market
nitaweka live usiwazePiga hii live tuone trade history zake as live kila mtu yupo nayo, kutrade demo ni sawa na kujifunza kupiga mbizi kwenye mchanga.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
wewe unataka kuingiza pip 300 kwa siku lakini wenzako wana hold mpakawek mbili na wanapata faida fresh tatizo tamaa ndo mnaendekeza[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wehu sana, alafu hizo screenshot idadi ya pips nahisi katoa YouTube, kuna channel kule naonaga inatangaza upuuz unao fanana na huo anaotaka kuleta hapa
Hakuna mtu anaekuaga mjinga wakati wote, mara ya kwanza ilikua ni rahisi kudanganya mtu, sio saiv... heheheh watu wanalala wanaota candlestick patterns... mtu amekua kwenye kioo cha pc na simu hadi akila wali zile punje anaona candlestick candlestick tu na bado siku moja moja anakula za uso, alafu mtu anakuja anakwambia una click tu pips 300+ hizo hapo... [emoji23] [emoji23] [emoji23] shenzi kabisa
sina demo pia nina live account ndugu demo ni kwa ajili ya ku taste tool mpya tu hahahahaah
View attachment 721968
Mimi na wewe anae mezewa ni nani?? mimi nikisema nauza kitu kwaajil ya trading labda niuze kichwa changu, ni pure naked trader, hakuna upuuz wowote kwenye screen ya device yangu, nachoweza mpatia mtu ni knowledge ndogo niliyo nayo na sio kumuuzia chochote kile wala kumlipishaunapenda kumezewa ngoja siku uzae ndo utajua, ndo maana wenzetu kununua album ni kitu cha kawaida sana ila sasa mapulizo kama nyie ni shida sana
nani kakuambia ninataka kuingiza pips 300??? Unasema "tamaa ndio tunaendekeza" akina nani? na unatutuhumu kama nani wewe? ni wapi umeona tuna hiyo tamaa???wewe unataka kuingiza pip 300 kwa siku lakini wenzako wana hold mpakawek mbili na wanapata faida fresh tatizo tamaa ndo mnaendekeza
Hata hiyo demo yenyewe kama anayo ni bahatiLeta history ya LIVE yako kwa miezi 6 iliyopita.
We jamaa bado una safari ndefu ya kuijua forex labda uwe umejiweka kwenye group ls matapeli, nimekufuata inbox unioneshe hiyo tool sijaona jipya tofauti na RSI au stochastic..usi panic lilux nani kaja kutafuta watu wakati mimi na share kilee nilicho nacho. tafuta kama nimeomba chochote au kumshauri mtu. mi nime share tu vitu best vya forex
hakuna wepesi kwenye forex nikuambie.wehu sana, alafu hizo screenshot idadi ya pips nahisi katoa YouTube, kuna channel kule naonaga inatangaza upuuz unao fanana na huo anaotaka kuleta hapa
Hakuna mtu anaekuaga mjinga wakati wote, mara ya kwanza ilikua ni rahisi kudanganya mtu, sio saiv... heheheh watu wanalala wanaota candlestick patterns... mtu amekua kwenye kioo cha pc na simu hadi akila wali zile punje anaona candlestick candlestick tu na bado siku moja moja anakula za uso, alafu mtu anakuja anakwambia una click tu pips 300+ hizo hapo...shenzi kabisa
Mimi na wewe anae mezewa ni nani?? mimi nikisema nauza kitu kwaajil ya trading labda niuze kichwa changu, ni pure naked trader, hakuna upuuz wowote kwenye screen ya device yangu, nachoweza mpatia mtu ni knowledge ndogo niliyo nayo na sio kumuuzia chochote kile wala kumlipisha
Eti unauza tool, tool gani hiyo???? zingekua za maana unadhan hizo hedge fund firms, capital management firm, zingekua zinaajiri watu??? si wangeweka tu hizo tools???
Jp Morgan, Stanley Morgan, Goldman Sachs, Citi banks, AIG and the likes wangekua wanakimbizana kusaka watu wenye uwezo wao kwenye hii financial market dunia nzima?? si wangeweka hayo ma vitu??
Unashare weka hapa wanao hutaji watachukua, yan unataka umuuzie mtu kitu kinachoenda kumtia hasara???
HONGERA SANA . wewe ndo unayo mi safari yanngu naijua mwenyeweWe jamaa bado una safari ndefu ya kuijua forex labda uwe umejiweka kwenye group ls matapeli, nimekufuata inbox unioneshe hiyo tool sijaona jipya tofauti na RSI au stochastic..
Soma mkuu hayo mambo mengine ni kupoteza muda tu
Get your facts right, ulikuja na "akili zako timamu hapa"hakuna wepesi kwenye forex nikuambie.
sawa kama uko kwa ajili ya vilaza we endelea ingekuwa rahisi sana kwa ontario kutoa free training kama unavyo ongea,
mtu hawezi akaweka effort kwa alost like 6 month anaelewa forex ana soma day and night then unaamka tu unaanza kugawa knowledge bure they must appreciate