OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Mkuu mimi nisha veri fai izo steji apo lakini kwenye aidentiti ni in progress afta masaa 72. so ndo ivyo inavyokuwa mkuu.?Kabla hujafika kufungua live account, unapaswa kuverify at least vitu vitatu:
1. Email.
2. Namba ya simu.
3. Identity.
Ukimaliza hvyo utafuata hatua ulizofuata za kufungua Micro account, na kufungua Live Centforex. Hiyo ndo Micro Account kwa Templer.
Usisite kuomba usaidizi kama utaendelea kupata shida.
Kuna kijana anahitaji msaada wako ila naona uzi ambao alicomment umefuta vipi nikupe jina lake umcheck?Trader makini wote hutumia njia hii, sababu ya kuepuka usumbufu wa hizi benki zetu
Asante kwa nyuzi hii nzuri japo nimeipikea taarifa kwa majonzi makubwa maana nilishaanza kupata mwaka wa kutosha kupiga pesa kupitia hii biashara baada ya kusoma kwa muda wa miezi mitatu ya likuzo yangu ya form six mwaka huu, na nilipanga niifanye nikiwa chuo anyway pepo muhimu.
Naona umechagua Forex,goodluck!Nishauri nitumie njia ganii ,maana nategemea nianze real account mwezi ujao.
Kuna kijana anahitaji msaada wako ila naona uzi ambao alicomment umefuta vipi nikupe jina lake umcheck?
Password. Kumbuka password ya web haifanani na ya MT4.
Ukimaliza kuverify, nenda sehemu ya kufungua akaunt mpya, fungua Live Centforex.Mkuu mimi nisha veri fai izo steji apo lakini kwenye aidentiti ni in progress afta masaa 72. so ndo ivyo inavyokuwa mkuu.?
Halafu kwenye demo cent nimeona $10, nikajaribu kufungua ingine ikawa 1.15$ sasa hii kwenye MT4 naingizaje mkuu?
rikiboyMpe mawasiliano yangu.
Anatumia hilo jina nilikutumia hapo juuMpe mawasiliano yangu.
Baada ya uchunguziNaona umechagua Forex,goodluck!
Check hapa, mambo ni taratibu....Niewesheni hii kitu wakuu, nataman sana nikijue
Nilivo sajiri cent ikaja user name Ni namba tu password ndio nimetumia hizo kuingilia mt4Password. Kumbuka password ya web haifanani na ya MT4.
Reply kwenye post za Mwl.RTC na ALMIGHT hapo juu watakusaidiaNiewesheni hii kitu wakuu, nataman sana nikijue
Password unatumiwa kwa emailNilivo sajiri cent ikaja user name Ni namba tu password ndio nimetumia hizo kuingilia mt4
Nimefanikiwa kaka shukuraniPassword unatumiwa kwa email
Yes,better decision comes after deep research kila la kheri.Baada ya uchunguzi
MwalimuMpe mawasiliano yangu.
Pata mawasiliano yake hapa, na maelekezo pia,Mwalimu