If you follow bad mulus rules you will die broke in this digital worldYes,better decision comes after deep research kila la kheri.
Mkuu please naomba nisaidie jinsi gani nfungue real account kwa kutumia meta trade 5Nami jana nimedeposit cent kwa $1, nkaweka tick sehemu ya bonus...View attachment 886628
Mkuu je waweza fungua real account moja kwa moja bila demo account?Password unatumiwa kwa email
Ndio, inawezekana. Na waweza fungua cent account badala ya demo. Uzuri wa cent ni kwamba ni real account, hvyo hata market maker wana influence nayo, so unatrade as demo lakini ukiwa na reality ya soko, tofauti na demo.Mkuu je waweza fungua real account moja kwa moja bila demo account?
Ok asante kaka!Ndio, inawezekana. Na waweza fungua cent account badala ya demo. Uzuri wa cent ni kwamba ni real account, hvyo hata market maker wana influence nayo, so unatrade as demo lakini ukiwa na reality ya soko, tofauti na demo.
Kupata real account na cent account kwa broker mmoja, wacheck hawa https://templerfx.com wanazo zote mbili.
Mimi binafsi ninatumia cent, mana ninaweza kufund exactly amount ntafund kwa real in terms of cent, then nkajaribu kuona strategy gan inaweza kuipandisha... Kabla cjaenda kurisk much money in real account.
The answer? Ndio. Inawezekana. Sio lazima uwe na demo.
Mabroker wako wengi tofauti tofauti, yes, kuwa trusted ni ishu ya msingi, lakini pia kuna ishu nyngne kama vile urahc wa kuweka na kutoa cash, huduma kwa wateja, na spreads. Kwa Tz wengi twatumia Templer, sbb twaweza kufund na kuwithdraw kwa mpesa, ambayo ni easiest way available.Ok asante kaka!
Pia nataka kujua broker ambae yuko trusted sana b4 cjafnya maamuz ya kutrade
Hapo inatakiwa ujue ABCs za brokers tofauti tofauti, Then angalia ana reviews zake toka kwa watumiaji. Fuata hii link hapa chini itakupa mwanga zaidi.Pia nataka kujua broker ambae yuko trusted sana b4 cjafnya maamuz ya kutrade
Hili nimelizungumzia hapakuwa trusted ni ishu ya msingi,
Nimeweka abc's za nini nafanya kwenye forex hapa: Posti ya tatu: https://bit.ly/2MzInU3
View attachment 889114
Karibu
Ndio ni tofautiForex Bible na Forex Candlesticks Bible
Ontario ww binafsi unamtumia broker gani..?Unatrade tangu 2012?! Basi kuna possibility kubwa unafanya kitu usichokifahamu. Huelewi kbs why you enter and exit a trade, yani miaka mi5 ilibidi uwe mbali mno.
By the way unatumia broker gani mpk unaweza kuibiwa?! Au huyo aliyeibiwa anatumia broker gani?!
Which trading strategy do you use?!
Mkuu niseme wazi, najua unanichukia uliwahi kunikuta kwenyw thread yangu gani sijui, ukanirushia maneno mengi sana (sijui kama ni wewe au nachanganya), lkn niseme hivi, yani kama mpaka leo unapoteza pesa zote kwenye forex na una miaka mi5 wewe bado ni infant trader. Kuna kila kitu, investing.com inakupa updates zoooote unazohitaji kufanya fundamental, kuna tools zaidi ya 100 zinazokuguide, sasa hivi knowledge imekua pana sana, kuna SL hadi na pending orders bado unapoteza pesa. Kaka come to my class and learn naked forex.
Na ukiona biashara haina risk hp duniani basi jua hakuna unachokifanya boss.
Je tulioanza kusoma currency trading for dummies ,tukaja essential na babypips na tukasoma vingine vingi kuna ulazima wa kukisoma Forex bible?Ndio ni tofauti
Kwa anayeanza kujifunza anaanza na Forex Bible,
Thenili ku_master candlestick ndipo unasoma hicho kitabu Candlesticks Bible
Je tulioanza kusoma currency trading for dummies ,tukaja essential na babypips na tukasoma vingine vingi kuna ulazima wa kukisoma Forex bible?
Unatumia app gani?Nishalock hizi mbili pia SL break even Nazi nazisubiria hadi mwisho wake nione.View attachment 856641View attachment 856644
Sent using Jamii Forums mobile app
Mt4 platformUnatumia app gani?
Viko hapa: https://t.me/fxtradingbooksForex books ni zipi na napata wapi
Ingia playstore, download na install app ya telegram, kisha ndio ufungue hiyo linkMkuu mbona link inasumbua kufunguka