Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Kununua mpunga na kuuficha ukisubiria upande ili uuze upate faida ni form ya speculation tuseme hivi assumption na speculation wanasound kama entwined katika hili speculation is the name of the game therefore get down to the business and see what is all about.
 
Reactions: MC7
njooo pm nikusaidie
 
Kwann unasema ni scammer?wengine hatujui
Huyo jamaa ni pastor, level za tb joshua vile, anatoka Zimbabwe, ana followers kibao, yeye ni mzee wa kufanya chochote ili mradi apige hela, ni scammer kwa kua anafanya upuuzi live na kuwadanganya watu, mfano alifanya editing akapachika malaika kwenye video akasema ati malaika walitokea kanisani kwake live, hehehe! unaweza amini mpuuzi kama huyu anayesema mungu kampa uwezo wa kupaa, anajirekodi miguu iko juu huku mikono imeshika sehemu alafu anasema ni uwezo wa mungu. Mtu kama huyu akiandika kitabu chochote kile unaweza kisoma kweli?
 

But most forex trader wana trade katka major currencies apo nazungumzia USD,EURO,GBP,AUD,JPY,CHF hzi currency kwenye forex market zipo very liquidity huwez uka trade Tsh.. kwenye forex market ukawaza profit


Note. Forex market is not guaranteed ur success

Most of people wana trade kimehemko zaid aise hii kitu inahitaj kusoma& more practice
 
Ficha upumbavu wako mkuu..

Stop embarassing your parents who paid millions for your education, while you fail reasong something small like this..

Sorry bro Ata in trade kuna profit and loss means apo ume Lose money or ume gan?? It's gambling???
 
Aise Mkuu kama ingekua ni Mtihani basi tungefaulu marks sawa maana nipo hapo natizamia na kufuatilia kila kitu unachoandika hapa toka jana nimetoka na Nondo za kunifungua Macho duuuuuu
 
Thanks kwa nondo za maana Ontario.hope I will be one of the 300 people to get traininh
 
Kama huna maarifa kabisa inabidi ufanye hata training ya kisela..

Unaweza ukawa unajidanganya..
no mkuu mie kuhudhuria iyo training n changamoto kwangu ndo maana nkakuuliza ivo ila ulvonijib dah au umeogopa utamwaribia mshkaji soko, npm kama unaogopa kumwaribia mshkaji soko angalau angalau nipate mwanga maana umendisappoint kwel an. Bavaria
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…