Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Boss Mandela aliwahi kusema "education is the most powerful weapon to fight against poverty". Usichokijua basi uwe tayari kujifunza, otherwise dunia itakuacha hivi hivi. Leo unaweza kuwa mabwepande ukafanya biashara kama vile upo Wall Street.
 
Mkuu unakata tamaa haraka. Kuna biashara ziko centralised, means kuwa na akaunti nikiwa koromije, ni status sawa na mwenye akaunt aliyeko wall street marekani. Hivyo ofisi ikiwa bongo, haina maana kuwa wa kolomije tutatengwa mkuu. Ndivyo nilivyoelewa

Forex generation goes runs along well with exports.. na si vinginevyo. Start by stimulating export oriented businesses, basi. Hapa wall st. utakuwa unafanya nini? What has Tz enlisted there. Katuzidi maarifa huyu: Tanzanian Royalty Exploration Corporation na si mtanzania, nasikia alikuwa karani enzi za Backreef Mines.
 
Boss Mandela aliwahi kusema "education is the most powerful weapon to fight against poverty". Usichokijua basi uwe tayari kujifunza, otherwise dunia itakuacha hivi hivi. Leo unaweza kuwa mabwepande ukafanya biashara kama vile upo Wall Street.

Sikukupinga kokote, na kwa taarifa yako nimeipenda mno na ndo maana nimeiweka kwenye hard copy for my son's refrence. The hard truth ni kwamba ili tuwe na forex inabidi tujitahidi tuwe na forex generating exports. Dhahabu wanakula, minofu ya samaki wanakula, tufanye nini sasa?
 
Dah binafsi nimekuelewa naomba mambo yakiwa yamekamilika na Mimi hunitag kwenye hiyo thread ya offer
 
Umeandika utaanza na watu mia tatu, jiandae kutupata laki tatu mkuu
 
Ninaweza kuanza na kias gani kama mtaji mtaalamu wetu
Uzi umesimama kinoma kaka ila bado cjakupata vzur mfano, unatakiwa uwe na bei gani ili uanze hyo biashara na ni katka mfumo gan
Muwe mnapitia comment za nyuma kwanza!
Ameshajibu kiwango cha chini inatakiwa iwe USD200 kibongo bongo kama lako tano hivi
 
Boss Mandela aliwahi kusema "education is the most powerful weapon to fight against poverty". Usichokijua basi uwe tayari kujifunza, otherwise dunia itakuacha hivi hivi. Leo unaweza kuwa mabwepande ukafanya biashara kama vile upo Wall Street.
Nangoja update tu,nianze hii biashara mkuu.nicheze na forex tu.dadeki!!..
 
Kaka ONTARIO asante kwa darasa huru,asante kwa knowledge hii na kufumbua macho.

Watu 300 wa mwazo baada ya wewe kukamilisha kila kitu ili hii kitu iwe nchini kwetu na kwa baraka zako naomba niwe mmoja wapo. Kuchangia kwa semina kupo na waelewa wa economic struggles wapo na tupo tutajitoa kadri ya uwezo wetu.

Nilisoma sehem kuhusu hii kitu,sio hapa...Japan, huwezi amini Africa tumeachwa nyuma sana tena sanaaaaaaa.

God bless you ONTARIO
 
Kaka ontario je wewe ni broker gan unatumia apa bongo? Na unawithdraw vip cash yako?
 
Shukrani sana mkuu mungu akubariki sana. Ningependa na mimi niwemo kwenye hao 300 watakao pewa semina kuhusu forex mwanzo.
 
Mkuu ONTARIO Mungu akubariki sana kwa kushare madini haya, nimekuwa nikifatilia online hizi issue naona watu wanalipa pesa nyingi sana kufundishwa...ubarikiwe kwa kutufumbua macho. Naomba niwemo kwenye watu 300 watakaopata hii training. Thanks
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…