Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Binafsi Katika pita pita zangu nilikutana na ebooks hizi ambazo ni muhimu katika jinsi ya kutrade forex.
Pakua hapo[emoji116]
 

Attachments

Watu wa Mwanza, Arusha blah blah, mnalia sana, hamuoni aibu kunidekea. Mimi nimesafiri hadi Afrika kusini, nikaishi Pretoria, Johannesburg na Durban kwaajili ya forex. Namaanisha nimetomea Dar mpk huko just for this thing. Mtu yupo hapo Himo nauli elfu 25 anauliza nitamsaidiaje. Jamani tuacheni kudeka, hakuna mtu atakuletea kila kitu hadi kwenye sinia.

Lkn hili pia linanifikirisha kua tukiwa successful tutafungua branches na huko mlipo.

But bosses tuacheni kudeka. Dar na mwanza ni dakika 0 tu. Tena hapa Dar kuna mpk lodge za efu 10, sitaki kusema nilikua natumia kiasi gani kwajili ya meals na accommodation, waliofika SA wanaelewa nn nasema.

....

Nimetoa jina la kitabu watu wasome, lkn kuna mtu bado anasema nikiweke hapa, wakati vipo pdf huko gugo hata MB 10 havifiki. Is this how you guys hustle for success?! Watanzania tunapenda sana slope.
Mkuu hapa umeongea vizuri sana na umeongea kweli kabisa ila nadhani lugha uliyotumia sio rafiki kutokana na unyeti wa issue unayotaka kuianzisha.

Ushauri wangu kwako najua wewe ni mtanzania na unajua hali za watanzania zilivyo,jitahidi kumuomba Mungu akupe hekima kama za Suleiman .Amina
 
Mkuu ONTARIO kama nataka kuanza, ni vitu gani nahitaji??

1. Akaunti nitatumia ya benki gani??

2. Hao broker unapendekeza yupi ambaye yuko friendly kwa mazingira yetu ya bongo??

Nilikua nimeanza kupitia videos za youtube kidogo nna ka basic knowledge!! Bado najifunza!
Good things need patience boss wangu, comment kama hizi niliziona zinakuja wakati naandika thread ndio maana nikasema tuwe wavumilivu hadi nitakapotoa thread mpya ya nini kifuate.

Mimi ni hustler, najua maana ya 'jua' najua maana ya 'jasho' najua jinsi gani ilivyo ngumu kupata pesa na ninajua jinsi gani inauma kupoteza pesa. Sitaki uingie kwenye forex ukapoteza pesa ulioitolea jasho juani ndani ya dakika kadhaa. Ndio maana nikasema tusubiri kila kiti kiwe tayari. Najua maana ya kupoteza pesa, mimi nimepoteza karibu mil 20 Tsh, sitaki na wewe upoteze pesa ulioisotea kwa shida.

Lkn kama unahisi uko vzr naweza kukupa hizo details unazotaka.
 
Unatrade tangu 2012?! Basi kuna possibility kubwa unafanya kitu usichokifahamu. Huelewi kbs why you enter and exit a trade, yani miaka mi5 ilibidi uwe mbali mno.

By the way unatumia broker gani mpk unaweza kuibiwa?! Au huyo aliyeibiwa anatumia broker gani?!

Which trading strategy do you use?!

Mkuu niseme wazi, najua unanichukia uliwahi kunikuta kwenyw thread yangu gani sijui, ukanirushia maneno mengi sana (sijui kama ni wewe au nachanganya), lkn niseme hivi, yani kama mpaka leo unapoteza pesa zote kwenye forex na una miaka mi5 wewe bado ni infant trader. Kuna kila kitu, investing.com inakupa updates zoooote unazohitaji kufanya fundamental, kuna tools zaidi ya 100 zinazokuguide, sasa hivi knowledge imekua pana sana, kuna SL hadi na pending orders bado unapoteza pesa. Kaka come to my class and learn naked forex.

Na ukiona biashara haina risk hp duniani basi jua hakuna unachokifanya boss.
Mkuu kabla sijakujibu swali lolote uliloniuliza, naomba uniwekee hapa ni wapi mimi nilikutukana na kukushambulia kwenye huo uzi wako unaousema.. Nitashukuru sana kama utafanya hivyo boss, na mimi nitajibu maswali yako yote pamoja na vivid evidences ya kwamba ninachokiongea si tu nabashiri au nazusha bali nimefanya hivyo vitu na bado navifanya na nina uelewa mpana sana kwenye Management Accounting..

Brokers wengi wa Forex wanakuwa na maneno mazuri sana na motivation kibao kama unavyofanya wewe hapa, lakini ukijitusu kuingia huko na ukiwa huna uelewa wowote unaishia kupoteza pesa bure.. Lakini kitu kingine nilichokinotice kwako, wewe ni Motivator mzuri sana lakini siku zote naona ukiwa unawashambulia watu ambao wako against mawazo yako.. Naona kila ambacho wewe unakiona unataka na wengine wakione hivyo hivyo, hilo sio sawa hata kidogo..

Nangoja uniwekee uliposema nimekutukana na kukushambulia boss..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom