Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Mkuu hii kupanda kwa GBP dhidi ya USD currently siyo kwamba ni swala la muda tuu kwa kuwa muda huu NEWYOYK activites ni chache na na Europe markets, LONDON inclusive wameshaianza siku na business activities zishaanza.? Na jioni kwa saa za kwetu dollar itapata power dhidi ya GBP.? kwa kuwa activities Newyork zitakuwa zimeshaanza na LONDON machweo yatakuwa yameshaanza .?

Correct me kama nina wrong perception.

CC: Ontario.
Mkuu mbona nikitaka ku register kwenye mt4 wanazingua?? Yaani nikiweka ID yangu nikiweka na email inasema "registration failed"!! Nakosea nini??

Bavaria
 
nimeshafanya sana demo trading kwa kutumia TD Market platform ya Global Forex Institute. nafahamu basic nyingi za forex nawasubiri mkianza tuanza pamoja
 
Good morning traders

Napambana, tunapambana na mwisho lengo litimie... Naona mwanga, kwangu na kwenu pia - kuna baadhi ya wanafunzi wangu humu, kamwe siwezi kuwaacha, wanachokifanya so far kinanipa matumaini sana kua tunaweza kuwa na traders makini watakaoweza kubamiza market na kubadili maisha yao na ya wale wanaowazunguka. Progress ambayo baadhi yenu mnafanya inanipa nguvu sana, tuendelee kusoma na kusoma na kuelewa mambo... Tukija darasani tunafundishana kudownload pesa tu.

Kwa upande wangu naona mambo yanaiva... Pesa inanipukutika kama vapour, lkn kwakua najua nikitulia week 1 tu narudisha gharama zote, basi nakua sina presha. Ofisi iko sawa, hata kesho tunaeza kuanza, lkn bado nashughulikia papers... tufanye vitu ambavyo kihalali na kisheria, tulipe kodi, tulipe blah blah, yani tusiwe na shida na watawala. Mwanga nauona, obstruction zipo lkn tunapambana mpk kieleweke.

Tuvute subira, wakati huo tunajifua zaidi... sisi wote ni winners, when you win I also win. When you lose I also lose - but we are all destined for greatness.

Yani naamka asubui najikuta sina pesa ya kunipush kumalizia hii week, so nnachofanya ni kuingia kwa forex account yangu na kuvuta pound kadhaa - mshahara wa daktari mwenye degree ya miaka 6 (no disrespect). Ndio raha ya FX lkn bado kuna watakaosema ni betting, hahaha!! Acha tuendelee kubet
fabf04972b857bd4f6febb6bda00748b.jpg
Tupo pamoja mkuu ONTARIO
 
Yani nimejikuta najicheka! Yaani asubuhi nilikua na profit karibu 2000EUR ila sasa ivi nna negative 77!! Actually uzembe wangu mwenyewe! Na nnajua nlipokosea...nilichemsha kiweka stop loss and profit! Ilipofikia limits nlizoweka ikaji execute yenyewe!! Ndio nikagonga loss!! Duuuh...navuta picha ingekua ni real account!!

Angalia hiyo picha ya pili...kuna negative kama 3000 hivi!

9aceadbf3e14cc05de94f52ab262dd61.jpg

16bdab6fdf41546cf3ee2f9ab55c386d.jpg
 
Wazo langu la haraka haraka, wewe unafikiriaje?

Good day traders!!

Nimefikiria kitu kimoja cha faida sana... cha faida kwetu sote, mimi na wewe - ili lengo letu liwe more than positive.

Kwajili ya kuhakikisha kuna 99% interaction kati ya mentors/coaches na wanafunzi, nimefikiria kuanzisha App. Hii App itatusaidia ktk:-

●Kubadilishana mawazo among ourselves, kuweza kuchat na kudiscuss kuhusu global financial economy. Forex, stocks, metals, commodities nk.

●Kuweza kupost picha hasa za charts za analysis, pamoja na video kama kutakuwa na umuhimu. Both technical na fundamental analysis!!

●Kufanya live webinars hasa siku za Jumapili, mentors watakua wanafanya analysis ya currencies ili kutoa mwanga wa wiki nzima.

●Students wataweza kushare experience zao, results zao kama wakipenda, inform of pictures nk.

●Tutakua tunakumbushana kuhusu upcoming economic and political news ambazo zinaweza kua na effect sokoni...

Kiufupi hii App itakua kwaajili ya kudumisha ukaribu baina yetu sote...

Wewe unanishauri nini?! Developer, Programmers, Coders... karibuni wazee!!
 
Very Very Very good idea mkuu Ontorio. Just ushauri app itakapotengenezwa zimu zote ziweze kusuport maana nimeona app nyingi zinazotengenezwa na vijana hazisupport kwenye iPhone. Asante
 
Wazo langu la haraka haraka, wewe unafikiriaje?

Good day traders!!

Nimefikiria kitu kimoja cha faida sana... cha faida kwetu sote, mimi na wewe - ili lengo letu liwe more than positive.

Kwajili ya kuhakikisha kuna 99% interaction kati ya mentors/coaches na wanafunzi, nimefikiria kuanzisha App. Hii App itatusaidia ktk:-

●Kubadilishana mawazo among ourselves, kuweza kuchat na kudiscuss kuhusu global financial economy. Forex, stocks, metals, commodities nk.

●Kuweza kupost picha hasa za charts za analysis, pamoja na video kama kutakuwa na umuhimu. Both technical na fundamental analysis!!

●Kufanya live webinars hasa siku za Jumapili, mentors watakua wanafanya analysis ya currencies ili kutoa mwanga wa wiki nzima.

●Students wataweza kushare experience zao, results zao kama wakipenda, inform of pictures nk.

●Tutakua tunakumbushana kuhusu upcoming economic and political news ambazo zinaweza kua na effect sokoni...

Kiufupi hii App itakua kwaajili ya kudumisha ukaribu baina yetu sote...

Wewe unanishauri nini?! Developer, Programmers, Coders... karibuni wazee!!
itakua poa sana bro....then iwe kwa swahili ili wale wa mabashite waelewe poa
 
Wazo langu la haraka haraka, wewe unafikiriaje?

Good day traders!!

Nimefikiria kitu kimoja cha faida sana... cha faida kwetu sote, mimi na wewe - ili lengo letu liwe more than positive.

Kwajili ya kuhakikisha kuna 99% interaction kati ya mentors/coaches na wanafunzi, nimefikiria kuanzisha App. Hii App itatusaidia ktk:-

●Kubadilishana mawazo among ourselves, kuweza kuchat na kudiscuss kuhusu global financial economy. Forex, stocks, metals, commodities nk.

●Kuweza kupost picha hasa za charts za analysis, pamoja na video kama kutakuwa na umuhimu. Both technical na fundamental analysis!!

●Kufanya live webinars hasa siku za Jumapili, mentors watakua wanafanya analysis ya currencies ili kutoa mwanga wa wiki nzima.

●Students wataweza kushare experience zao, results zao kama wakipenda, inform of pictures nk.

●Tutakua tunakumbushana kuhusu upcoming economic and political news ambazo zinaweza kua na effect sokoni...

Kiufupi hii App itakua kwaajili ya kudumisha ukaribu baina yetu sote...

Wewe unanishauri nini?! Developer, Programmers, Coders... karibuni wazee!!


kwa kuwa App development siyo kitu cha siku moja. App nzuri inaweza chukua hata mwezi kuikamilisha kuanzia coding, debuging, testing na execution. Nashauri tuendelee kutumia platforms zilizokuwepo wakati kinasukwa kitu kizuri. Kwa kuanzia tunaweza tumia Whatsapp au Telegram kwa chating na conversations za watu kushare experience zao, huku unaweza fungua youtube channel kwa ajili video uploading.

wakati haya yakiendelea unaweza tengeneza website (nashauri hii ianze kwa kuwa itasaidia wote hata wale wenye nokia tochi), at the same time mobile app kwa different platforms (iOs, Windows mobile na Android) zinaweza kuanza taking shape.
 
Ziko poa sana na ofcourse hata hao mentors watakuwa wanadukua kule kidogo
Ila unalipia 21000 kwa course nzima na video ziko poa
Pia mnafanya live trading
Ni wapi huku mkuu?na hiyo link ni IPI kiongozi?kama hutojali itupie hapa mkuu.
 
Boss leo sijaingia sokoni kabisa... wala sitarajii kuingia sokoni, sijafanya analysis yoyote - cha kukusaidia kwanza shift to candlesticks chart ili uweze kuona behaviours za hiyo mishumaa na pattern zake. Pia kamwe usifanye decisions kutegemea time frame ndogo kama hiyo M15, angalia H4, itakupa picha pana, then njoo kwenye H1, kisha M30 then kama kote setups zinakubali unaeza kugonga nyundo za chap chap kwa M15.

Kwa kutumia MT4 ya XM naona candlestic inakosa maana, kwani colouring siioni vizuri, na pia. Na hiyo M15 niliiweka coz nilikuwa nataka angalia behaviour ya GBP/USD toka siku ya jana jioni.

H4 ya candlestic patterns ni kama unavyoiona hapa. Je kuna settings gani za kufanya candles zionekana na rangi zake.?


Capture4.PNG
 
Wazo langu la haraka haraka, wewe unafikiriaje?

Good day traders!!

Nimefikiria kitu kimoja cha faida sana... cha faida kwetu sote, mimi na wewe - ili lengo letu liwe more than positive.

Kwajili ya kuhakikisha kuna 99% interaction kati ya mentors/coaches na wanafunzi, nimefikiria kuanzisha App. Hii App itatusaidia ktk:-

●Kubadilishana mawazo among ourselves, kuweza kuchat na kudiscuss kuhusu global financial economy. Forex, stocks, metals, commodities nk.

●Kuweza kupost picha hasa za charts za analysis, pamoja na video kama kutakuwa na umuhimu. Both technical na fundamental analysis!!

●Kufanya live webinars hasa siku za Jumapili, mentors watakua wanafanya analysis ya currencies ili kutoa mwanga wa wiki nzima.

●Students wataweza kushare experience zao, results zao kama wakipenda, inform of pictures nk.

●Tutakua tunakumbushana kuhusu upcoming economic and political news ambazo zinaweza kua na effect sokoni...

Kiufupi hii App itakua kwaajili ya kudumisha ukaribu baina yetu sote...

Wewe unanishauri nini?! Developer, Programmers, Coders... karibuni wazee!!

Wazo zuri but kwanini kuja na app wakati whatsapp na telegram zipo? Naona requirements nyingi ambazo umeweka hapo they can be done on existing apps(whatsapp na telegram).

Mtazamo wangu Ni kwamba unless Kama kuna very specific and unique feature/requirement which is useful for our interaction and is not available on whatsapp & telegram hapo ndio itengenezwe app nyingine otherwise we can stick to existing ones. Let's start with basics hayo mengine yatakuja mbeleni lengo kukuu likianza kutimia
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom