Black Idea
Senior Member
- Feb 2, 2015
- 124
- 148
HAHAHA alafu ndio hakuna SL kwenye trade. Lazma ufuatwe muhimbiliYeah. Si kitoto.
Utafanya analysis zako zikasema GBPUSD ipo bullish. Ukaopen position zako ukaendelea na mishe zako.
Baada ya nusu saa mabomu yakalipuka London, we huna habari.
Badala ya Bullish ngoma ikageuka Bearish, ukajisahau hata SL hukuweka.
Tutakuokotea muhimbili ICU.