Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Samahani mkuu Kabanga...

Umeshawahi kutrade with JPmarkes?
Ama ni kwamba umesahau maana ya scalping? Ngoja nikukumbushe - scalping ama skimming ni strategy ya kufungua positions kisha unazihold kwa muda mfupi, sana sana dakika 5,10, 15 au nusu saa, then ukipata faida unatoka kwa market... tofauti na day trading ambapo unaeza fungua position ukakaa nazo hata masaa 8 au 10 huko. Afu scalping unakua unafanya mara nyingi nyingi ndani ya siku.

Unaposema JPM hawaruhusu scalping basi labda ni miaka ya nyuma sana, maana hii ndio mbinu yangu. Screen shots nyingi nilizoweka hapa nilikua ninascalp saa zingine 1 hour, 2 hours inategemea na soko lipoje. So, ili kupunguza confusion hapa hasa kwa newbies, ni vzr tuwe tunatoa our own live experience, sio kusoma vitu vilivyopo google.

5167324e2893d98a4c3e713f94cb89c3.jpg

Hizi trades zinarun na ninafanya scalping, nazifunga nikigonga $800+, ni Live JP Markets
Aah,nilisahau kumbe suala la scalping niliona kwny moja ya reviews,kuna mtu analalamika hawaruhusu scalping.
Samahani mkuu Kabanga...

Umeshawahi kutrade with JPmarkes?
Ama ni kwamba umesahau maana ya scalping? Ngoja nikukumbushe - scalping ama skimming ni strategy ya kufungua positions kisha unazihold kwa muda mfupi, sana sana dakika 5,10, 15 au nusu saa, then ukipata faida unatoka kwa market... tofauti na day trading ambapo unaeza fungua position ukakaa nazo hata masaa 8 au 10 huko. Afu scalping unakua unafanya mara nyingi nyingi ndani ya siku.

Unaposema JPM hawaruhusu scalping basi labda ni miaka ya nyuma sana, maana hii ndio mbinu yangu. Screen shots nyingi nilizoweka hapa nilikua ninascalp saa zingine 1 hour, 2 hours inategemea na soko lipoje. So, ili kupunguza confusion hapa hasa kwa newbies, ni vzr tuwe tunatoa our own live experience, sio kusoma vitu vilivyopo google.

5167324e2893d98a4c3e713f94cb89c3.jpg

Hizi trades zinarun na ninafanya scalping, nazifunga nikigonga $800+, ni Live JP Markets
 
Wadau, I need to acquire more knowledge abt FOREX, please wapi naweza kupata hivyo vitabu vyakusoma ili nianze kuielewa kiundani zaidi???
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Wadau, I need to acquire more knowledge abt FOREX, please wapi naweza kupata hivyo vitabu vyakusoma ili nianze kuielewa kiundani zaidi???
ndugu kwny hii thread vitabu vpo vya kutosha jaribu kupitia utavipata
vya kuanzia ontario alisuggest tuanze na currency trading for dummies and naked forex, pitia hii thread utajifunza mengi mno hata kabla hujaanza kusoma.
 
Hawa JP MARKET si wameshitakiwa kwa kosa la udanganyifu kwa wateja wao..?? Wengine wanasema hafai n mwongo mwongo... c mzur wengine wanasema..
Cc Ontario .
 
Watu wa Zenji tupo pamoja sana...

Unajua Zenji ni kama my 3rd home, nikihitaji ku_relax na kumeditate hua nakuja Zenji sehemu 1 inaitwa Prison Island, nililipa kama 40,000 kutoka stone town kwa private boat kama dakika 25 hivi. Huko ni patamu sana sana kurelax, ni kama miami fulani hivi.

Kama Zenji mkijikusanya mkafika at least 50 naweza kupanga na mentors wangu tuje weekend 1 kupiga story nanyi hapo Prison island. Siku 2 haziwezi kutosha kwa training hasa ukizingatia ni weekend, coz hua market imefungwa. Mkiweza kujimobilize zaidi tunaweza kuja kupiga kambi ya wiki 1 huko.

Baadae kdg labda in Aug tutaanza kuzunguka kwenye mikoa ya Mbali mbali km mwamko utakua mzr. Mfn Bukoba, tunaeza kuongea na uongozi wa shule km Rugambwa au Ihungo tufanye evening classes na watu wa B.K, lkn itategemea nitakua ninaweza kuwalipa mentors wangapi... Najua ndani ya Hii project naweza kupata wanafunzi makini na wenye motisha ya kusaidia watu, tuwe tunazunguka kuwafikia wanaume wa mikoani.
Hahahaaa umenikumbusha mbali sana asee broo kule prisioner island kwenye KObe wenye miaka zaidi ya 150 ni wakubwa kiasi kwamba unaweza kuwapandia na wala isiwe shida kwao kutembea, kama napaona ivii but sio swala mungu mkubwa nitapafika tena lakin kwanza ngoja ni concertrait kwenye vitabu then i guess tutakuwa wote tuki gonga cheaz on our sucsess...
 
nina imani hivi karibuni nitakuwa nauliza maswali kama haya.."broker yupi mpoa wa kufanya mambo ya transaction chapchap"ama tunavyopenda kusema FASTA FASTA[emoji383]
Hahahah[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji3] nakuelwa mkuu ngoja mda utaongea
 
Am very interested, my young bro (19) kanifundisha iqoption ndo nakomaa na demo saa hivi nna week bado sijapata hasara wala faida naendelea soma markets na kufanya analysis plus hii thread imenifungua sana. Hawa brokwr IQOption unawaonaje bro naona wa south pia na dunia wanawapenda plus 24 option.
 
kwa kamtaji ka tochi, scalping itanisogeza narefine mbinu nimtokee mzungu mwezi ujao.
hasara roho!
 
Am very interested, my young bro (19) kanifundisha iqoption ndo nakomaa na demo saa hivi nna week bado sijapata hasara wala faida naendelea soma markets na kufanya analysis plus hii thread imenifungua sana. Hawa brokwr IQOption unawaonaje bro naona wa south pia na dunia wanawapenda plus 24 option.
Nijuavyo mm IQ Option is a Binary Broker it doesnt deal with FX Trading,So mnatrade Binaries kinda same but kuna utofauti.Forex Trading is big leagues.
Endelea kusoma soma.
 
Hakuna TIN No. TIN Ni abbreviation ya Tax Identification Number. So ukisema TIN No ina maana unarudia number Mara mbili.
Naelewa vizuri, sema ukitaka mbogo akuelewe vizuri unapaswa kumuelekeza hivyo
 
Naelewa vizuri, sema ukitaka mbogo akuelewe vizuri unapaswa kumuelekeza hivyo

Tunatakiwa tubadilike, tutoke kwenye 'barabara ya Nyerere road' Na 'nitaweka mafuta sheli ya puma'
 
Bado naendelea kula nondo wakuu ili kujiweka fit na program Siku si chache basi na Mimi taanza kupata taarifa kwamba broker gani anafanya transaction mapema ila kwanza nondo kwanza alafu mafanikio badae tuendelee kula nondo wakuu
 
Samahani mkuu Kabanga...

Umeshawahi kutrade with JPmarkes?
Ama ni kwamba umesahau maana ya scalping? Ngoja nikukumbushe - scalping ama skimming ni strategy ya kufungua positions kisha unazihold kwa muda mfupi, sana sana dakika 5,10, 15 au nusu saa, then ukipata faida unatoka kwa market... tofauti na day trading ambapo unaeza fungua position ukakaa nazo hata masaa 8 au 10 huko. Afu scalping unakua unafanya mara nyingi nyingi ndani ya siku.

Unaposema JPM hawaruhusu scalping basi labda ni miaka ya nyuma sana, maana hii ndio mbinu yangu. Screen shots nyingi nilizoweka hapa nilikua ninascalp saa zingine 1 hour, 2 hours inategemea na soko lipoje. So, ili kupunguza confusion hapa hasa kwa newbies, ni vzr tuwe tunatoa our own live experience, sio kusoma vitu vilivyopo google.

5167324e2893d98a4c3e713f94cb89c3.jpg

Hizi trades zinarun na ninafanya scalping, nazifunga nikigonga $800+, ni Live JP Markets
Aah,nilisahau kumbe suala la scalping niliona kwny moja ya reviews,kuna mtu analalamika hawaruhusu scalping.
Samahani mkuu Kabanga...

Umeshawahi kutrade with JPmarkes?
Ama ni kwamba umesahau maana ya scalping? Ngoja nikukumbushe - scalping ama skimming ni strategy ya kufungua positions kisha unazihold kwa muda mfupi, sana sana dakika 5,10, 15 au nusu saa, then ukipata faida unatoka kwa market... tofauti na day trading ambapo unaeza fungua position ukakaa nazo hata masaa 8 au 10 huko. Afu scalping unakua unafanya mara nyingi nyingi ndani ya siku.

Unaposema JPM hawaruhusu scalping basi labda ni miaka ya nyuma sana, maana hii ndio mbinu yangu. Screen shots nyingi nilizoweka hapa nilikua ninascalp saa zingine 1 hour, 2 hours inategemea na soko lipoje. So, ili kupunguza confusion hapa hasa kwa newbies, ni vzr tuwe tunatoa our own live experience, sio kusoma vitu vilivyopo google.

5167324e2893d98a4c3e713f94cb89c3.jpg

Hizi trades zinarun na ninafanya scalping, nazifunga nikigonga $800+, ni Live JP Markets
Ok sawa
Tunatakiwa tubadilike, tutoke kwenye 'barabara ya Nyerere road' Na 'nitaweka mafuta sheli ya puma'
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom