Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,804
- 10,715
Hii biashara ni ngumu Kuliko wengi mnavyofikiri. Inahitaji elimu ya movement za fedha. Wala Sio siri na kwamba mabenki hayataki watu wajue, ni uongo. Usifanye kama vile utapata utajiri kesho, hasara mfululizo ni jambo la kawaida kwenye forex. Ila kwa wanaoendelea kujifunza hatimaye huweza kupata faida. Uwe tayari kupoteza pesa kabla ya kupiga pesa kama utabahatika. Biashara hii imekaribiana Sana na kamari