Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
My story so ....

Yaliyonikuta!

Kwanza nilifungua acc. Kwa xm brokers. Hawa jamaa wana customer care nzuri sana!! Baada ya kufungua account nikapewa bonus ya euro 25 hivi!! Nikaona nisiweke pesa kwanza ili nizitumie hizi euro 25 kama majaribio!

Kazi ikaanza! Nikaisogeza ndani ya masaa mawili au manne niliweza make kama euro 10 au 12 hivi!!

Nikawa na open positions kama nne au tano zina run, kwa kujisahau nika click sell...ikajiuza ikiwa na loss...hapa faida ilishuka!

Huku positions nyingine zikiendelea...nika close ya kwanza (maana ilikua kwenye profit position) nikashangaa zina close zenyewe bila mimi ku comand sell au buy! Mpaka sasa sijui nilikosea wapi duuuh!!

Mpaka hapo acc. Ikawa na minus!! Yaani loss! (hapa nilihisi kichwa kinauma)

Kwa kifupi account imeungua!

Hizi ndio sababu za kupata loss...

1. Kupoteza focus. Natrade huku nafanya mambo mengine!

2. Kuopen positions nyingi

3. Kuto tumia vyema top profit HASA stop loss!

4. Kuto focus hasa baada ya kupata first loss (ambayo ilikua ni kosa langu mwenyewe) !

5. Niliruhusu hisia/emotions zinitawale (hapa sijilaumu maana sisi ni binadamu, japo nitajihidi next time isiwe kama last time)!

Somo nililojifunza...

Kweli faida ipo tena uwezekano wa kupata ni mkubwa kuliko kupata hasara kama ukiweza kuji-control na kufocuss na kuwa na maarifa hasa ya kusoma na ku-analyse candle sticks na soko siku husika!

Unaweza poteza 1mil within a second pia unaweza pata 10mil within a second!

Theory na practical ni vitu viwili vyenye sura inayofanana lakini maana tofauti! You should be good on both though!

Nimeamua ku-retreat na kurudi mezani kujifunza zaidi kulingana na makosa yangu!! Japo imeniuma ila Nitarudi tena kutrade soon as I can!

Nilianguka sasa nimeamka. Ntajitahidi nisianguke tena!

Tuendelee kujifunza...

Tuko pamoja!

Ontario alisisitiza concentration ambayo alilazimika KUWA nayo kuanzia kwenye kusoma vitabu. Haswa baada ya kupitia haraka ili aanze ku practice chini ya usimamizi wa mentor wake. Lkn maswali yalipompiga ilibidi akubali ku concentrate. Apply the same you will not get loss.
 
Banks are limiting their customer to high risk endevours. Its not in their interest or yours to lose a lot of money in a few seconds.

The Treasury departments in banks are armed with knowledgeable people who knows what they are doing when it comes to high risk trades, and even them make huge loses sometimes.
Read about this chap Kweku Adoboli: www.bbc.com/news/uk-20338042
he losty several billions in high risk trades for UBS in the UK and had to resort on fraudulant methods to control losses.

I will not advice any sane person to use his salary income on these kinds of trades, if they do not have advanced finance skills, You are guaranteed to waste money.

The only person who will win is your broker: in this case the guy in this thread opening a brokerage in TZ.,why? because he makes a cut for every position you open, whether you win or lose.

Obviosuly like, Gambling, LOTO,Bettting, drug business.., you can easily be attracted by the sucess stories of few individuals.
BUT always remember.., THE HOUSE ALWAYS WINS.
 
Hongera sana kaka. One step ahead ( kwa kuunguza akaunti). Katika kufuatilia real stories za succesful traders nimegundua demo account is not anywhere near trading with a live account. Kwa maana nyingine experience ya Live account ni priceless.

Kwa hilo suala la positions ku-close automatically nadhani margin level yako ilikua chini sana kwa sababu ulifungua positions nyingi na zote zikawa kwenye loss. So unaona hapo kama unatumia demo account yenye dola laki tano huwezi kukuta margin level yako iko negative
Umeongea point kabisa mkuu! Hata mimi nilihisi hicho kitu....margin point! Ila ndio kujifunza mkuu!!

Demo accounts ni za muhimu sana tena lwa wanaonza! Lakini kwa ushauri ni kwamba hata kama unatumia demo acc. Usiset kiwango cha pesa kikubwa!

We kiasi kidogo utapata uhalisia wa trading!! Kwa experience niliyopata kuset ela nying mfano dola mil moja si nzuri sanaa maana haikupi uhalisia!! Unless uwe unataka kuanza na mapesa mengi [emoji23][emoji23]!!
 
Ontario alisisitiza concentration ambayo alilazimika KUWA nayo kuanzia kwenye kusoma vitabu. Haswa baada ya kupitia haraka ili aanze ku practice chini ya usimamizi wa mentor wake. Lkn maswali yalipompiga ilibidi akubali ku concentrate. Apply the same you will not get loss.
Nimekupata mkuu ila in real world scenario kusoma tu haiyoshi! Hata mimi nilisoma kwamba natakiwa ku concentate ila inafika point unajikuta off the line...inatokea!!

Pamoja na kusoma, practices ni muhimu !
 
My story so far!

Nilikua offline kama siku mbili tatu nikiwa naugulia maumivu[emoji23]!

Awali ya yote, kwangu hili ni somo naimani kwako pia litakuboresha in a positive way (sio tu katika forex bali na maisha kwa ujumla)!

Juzi kama part ya mafunzo nikaamua kufungua real account!

Yaliyonikuta!

Kwanza nilifungua acc. Kwa xm brokers. Hawa jamaa wana customer care nzuri sana!! Baada ya kufungua account nikapewa bonus ya euro 25 hivi!! Nikaona nisiweke pesa kwanza ili nizitumie hizi euro 25 kama majaribio!

Tuendelee kujifunza...

Tuko pamoja!

Hongera sana... hongera mzee kwa kuonja tamu na chungu ya soko.

Kilichokukuta ndio hali halisi ya soko... umekuza $30 mpk $45 ndani ya muda mfupi, lkn pia ndani ya muda mfupi ukaunguza account yote. That's learning not losing. Nilichoma account ya kama $12,000 yani mwili ulikufa ganzi wote, nikawa Nasikia tumboni kama kuna chura wanaruka ruka, but sijawahi kujilaumu hadi leo. Imenipa discipline kubwa sana na umakini. Leo mtu anaeza kunishangaa natembea na lot ya 0.02 lkn nina maana yangu - the goal is to make profits with minimum chances of losing big numbers.

Hapa nilipo nina trades 60 za sell USDJPY lkn lot size ya 0.01... lkn tayari nipo na profit ya 737. That's being pro, faida si kubwa sana lkn probability ya hasara ni ndogo saaana.

Pole pole utakua pro, know the principles, read more than you trade, trust your analysis, have the right mentor - then you are good to go. Cheers!! Forex is about knowledge not fvcking with probabilities.
 
Kweli boss boss! Leo ndio nimepata nguvu ya kuingia JF!! Tena bahati nzuri nimekutana na kitabu kipya humu humu!!

Tuendelee kujifunza!

Mkuu mbona Kama inaonekana umeunguza zaidi ya Euro 25 za bure ulizopewa [emoji23][emoji23], natania mkuu

Ila ningekuwa wewe ni Mimi ningefurahi sana, the fact that at some point you did make profit is amazing. Mimi nakushauri endelea na real trade maana sababu zilizo kufanya uunguze account sio lack of knowledge Ila ni vitu vidogo vidogo ambavyo ukifanyia kazi utakuwa vizuri

Hongera kwa hatua hiyo, wengine bado tunajificha nyuma ya mishumaa ya demo tukijipa moyo [emoji23]
 
My story so far!

Nilikua offline kama siku mbili tatu nikiwa naugulia maumivu[emoji23]!

Awali ya yote, kwangu hili ni somo naimani kwako pia litakuboresha in a positive way (sio tu katika forex bali na maisha kwa ujumla)!

Juzi kama part ya mafunzo nikaamua kufungua real account!

Yaliyonikuta!

Kwanza nilifungua acc. Kwa xm brokers. Hawa jamaa wana customer care nzuri sana!! Baada ya kufungua account nikapewa bonus ya euro 25 hivi!! Nikaona nisiweke pesa kwanza ili nizitumie hizi euro 25 kama majaribio!

Kazi ikaanza! Nikaisogeza ndani ya masaa mawili au manne niliweza make kama euro 10 au 12 hivi!!

Nikawa na open positions kama nne au tano zina run, kwa kujisahau nika click sell...ikajiuza ikiwa na loss...hapa faida ilishuka!

Huku positions nyingine zikiendelea...nika close ya kwanza (maana ilikua kwenye profit position) nikashangaa zina close zenyewe bila mimi ku comand sell au buy! Mpaka sasa sijui nilikosea wapi duuuh!!

Mpaka hapo acc. Ikawa na minus!! Yaani loss! (hapa nilihisi kichwa kinauma)

Kwa kifupi account imeungua!

Hizi ndio sababu za kupata loss...

1. Kupoteza focus. Natrade huku nafanya mambo mengine!

2. Kuopen positions nyingi

3. Kuto tumia vyema top profit HASA stop loss!

4. Kuto focus hasa baada ya kupata first loss (ambayo ilikua ni kosa langu mwenyewe) !

5. Niliruhusu hisia/emotions zinitawale (hapa sijilaumu maana sisi ni binadamu, japo nitajihidi next time isiwe kama last time)!

Somo nililojifunza...

Kweli faida ipo tena uwezekano wa kupata ni mkubwa kuliko kupata hasara kama ukiweza kuji-control na kufocuss na kuwa na maarifa hasa ya kusoma na ku-analyse candle sticks na soko siku husika!

Unaweza poteza 1mil within a second pia unaweza pata 10mil within a second!

Theory na practical ni vitu viwili vyenye sura inayofanana lakini maana tofauti! You should be good on both though!

Nimeamua ku-retreat na kurudi mezani kujifunza zaidi kulingana na makosa yangu!! Japo imeniuma ila Nitarudi tena kutrade soon as I can!

Nilianguka sasa nimeamka. Ntajitahidi nisianguke tena!

Tuendelee kujifunza...

Tuko pamoja!
Mkuu me nakupa hongera kwa kuthubutu.. Mpaka hapo amini una nafasi kubwa sana ya mafanikio.. Xo keep it up..
 
Nimekupata mkuu ila in real world scenario kusoma tu haiyoshi! Hata mimi nilisoma kwamba natakiwa ku concentate ila inafika point unajikuta off the line...inatokea!!

Pamoja na kusoma, practices ni muhimu !

Very true Lodrick, but practice with a high degree of concentration. Ukijizoeza ku concentrate wkt wa kujifunza utakuwa umejenga msingi mzuri hata wakati wa ku perform live trading. That's most important!
 
Hongera sana... hongera mzee kwa kuonja tamu na chungu ya soko.

Kilichokukuta ndio hali halisi ya soko... umekuza $30 mpk $45 ndani ya muda mfupi, lkn pia ndani ya muda mfupi ukaunguza account yote. That's learning not losing. Nilichoma account ya kama $12,000 yani mwili ulikufa ganzi wote, nikawa Nasikia tumboni kama kuna chura wanaruka chuka, but sijawahi kujilaumu hadi leo. Imenipa discipline kubwa sana na umakini. Leo mtu anaeza kunishangaa natembea na lot ya 0.02 lkn nina maana yangu - the goal is to make profits with minimum chances of losing big numbers.

Hapa nilipo nina trades 60 za sell USDJPY lkn lot size ya 0.01... lkn tayari nipo na profit ya 737. That's being pro, faida si kubwa sana lkn probability ya hasara ni ndogo saaana.

Pole pole utakua pro, know the principles, read more than you trade, trust your analysis, have the right mentor - then you are good to go. Cheers!! Forex is about knowledge not fvcking with probabilities.
Nilianza kupotea nilipoona faida na nilipotea kabisa nilipota loss ya kwanza! Badala ya kutulia na kutafakari nikaendelea kutrade hili nalo ni kosa lingine nilofanya ndani muda mfupi!!

Nimejifunza sana mkuu! Uliyasema ni kweli kabisa, infact nimeshajua nilipokosea! As i said, narudi mezan kusoma tena (kuna kitabu kipo kipya kimewekwa hapa jukwaani)!

Nitarudi ku trade soon nikipona maumivu kabisa [emoji23][emoji23]!!

Tuko pamoja mkuu!!
 
Mkuu mbona Kama inaonekana umeunguza zaidi ya Euro 25 za bure ulizopewa [emoji23][emoji23], natania mkuu

Hahaha kama uko sahihi vile! Ila si kitu unaweka wazi vingine naficha kwa usalama wa wengine...hasa tunaojifunza!! Kwa upande mwingine kilichoniuma sio kupoteza tu ila ni kupoteza faida ndani ya mda mdogo sana!!

Okey! Kiukweli nitarudi tena ku trade...ila acha nikae mezan kwanza nijifunze wapi nilikosea na pia ni analyse kosa moja baada ya lingine!! ili next time nisikosee tena!!

Demo acc is good ila kwa ushauri jaribu kiset demo acc. yenye pesa kidogo ndio utapata uhalisia!!
 
Mkuu me nakupa hongera kwa kuthubutu.. Mpaka hapo amini una nafasi kubwa sana ya mafanikio.. Xo keep it up..
Nashukuru sana mkuu!

Nimeandika makosa yangu kwenye karatas nataka nitumie mda kuya analyse moja baada ya lingine!!

Pia tuendelee kusoma hasa kitab kipya alichotoa jamaa!! Taratibu tutafika arifu!
 
Mkuu mbona Kama inaonekana umeunguza zaidi ya Euro 25 za bure ulizopewa [emoji23][emoji23], natania mkuu

Ila ningekuwa wewe ni Mimi ningefurahi sana, the fact that at some point you did make profit is amazing. Mimi nakushauri endelea na real trade maana sababu zilizo kufanya uunguze account sio lack of knowledge Ila ni vitu vidogo vidogo ambavyo ukifanyia kazi utakuwa vizuri

Hongera kwa hatua hiyo, wengine bado tunajificha nyuma ya mishumaa ya demo tukijipa moyo [emoji23]
Mkuu unajua kumsoma mtuu.. Hiaiwezekani Euro 25 za ofa zikamuuma kiasi hicho.. Ila ndio kujifunza Hii ishu haihitaji papara wala tamaa ishu ni muhimu nikuridhika demo imenifundisha mambo mengi sana
 
  • Thanks
Reactions: A2G
Mkuu unajua kumsoma mtuu.. Hiaiwezekani Euro 25 za ofa zikamuuma kiasi hicho.. Ila ndio kujifunza Hii ishu haihitaji papara wala tamaa ishu ni muhimu nikuridhika demo imenifundisha mambo mengi sana

Duuuh haya mkuu!!

Mi naomba tuendelee kujifunza na zaidi ya yote tujifunze kutokana na makosa hasa ya wengine!!
 
Hongera sana... hongera mzee kwa kuonja tamu na chungu ya soko.

Kilichokukuta ndio hali halisi ya soko... umekuza $30 mpk $45 ndani ya muda mfupi, lkn pia ndani ya muda mfupi ukaunguza account yote. That's learning not losing. Nilichoma account ya kama $12,000 yani mwili ulikufa ganzi wote, nikawa Nasikia tumboni kama kuna chura wanaruka ruka, but sijawahi kujilaumu hadi leo. Imenipa discipline kubwa sana na umakini. Leo mtu anaeza kunishangaa natembea na lot ya 0.02 lkn nina maana yangu - the goal is to make profits with minimum chances of losing big numbers.

Hapa nilipo nina trades 60 za sell USDJPY lkn lot size ya 0.01... lkn tayari nipo na profit ya 737. That's being pro, faida si kubwa sana lkn probability ya hasara ni ndogo saaana.

Pole pole utakua pro, know the principles, read more than you trade, trust your analysis, have the right mentor - then you are good to go. Cheers!! Forex is about knowledge not fvcking with probabilities.


Hahaaahaaa, Kaka hii mbinu kama ingekuwa katika mpira tungesema umepaki basi. Kama Mourinho vile, Haijalishi unachukuaje kombe, ila cha muhimu ni kwamba kombe liingie kabatini.

Hehehehheheheheee
 
over.PNG
 
Hongera sana... hongera mzee kwa kuonja tamu na chungu ya soko.

Kilichokukuta ndio hali halisi ya soko... umekuza $30 mpk $45 ndani ya muda mfupi, lkn pia ndani ya muda mfupi ukaunguza account yote. That's learning not losing. Nilichoma account ya kama $12,000 yani mwili ulikufa ganzi wote, nikawa Nasikia tumboni kama kuna chura wanaruka ruka, but sijawahi kujilaumu hadi leo. Imenipa discipline kubwa sana na umakini. Leo mtu anaeza kunishangaa natembea na lot ya 0.02 lkn nina maana yangu - the goal is to make profits with minimum chances of losing big numbers.

Hapa nilipo nina trades 60 za sell USDJPY lkn lot size ya 0.01... lkn tayari nipo na profit ya 737. That's being pro, faida si kubwa sana lkn probability ya hasara ni ndogo saaana.

Pole pole utakua pro, know the principles, read more than you trade, trust your analysis, have the right mentor - then you are good to go. Cheers!! Forex is about knowledge not fvcking with probabilities.
Daaah nazidi kupata morali aisee hebu ngoja nikomae na hiki kitabu kwanza

Ila nilichogundua hiki kitabu kimeweka wazi mambo ya msingi sana yani hakujifichi na katika yote kimetumi lugha nyepesi sana kutoa ufafanuzi

Ukisoma naked forex na hiki basi unapata knowledge ya kutosha unatamani hata uanze Ku trade live ila kwanza tumalize theory

Ushauri mwingine kwa wote ni vizuri kuzipunguza zile namba za pesa kwenye demo angalau hata kufikia $200 ili Uwe unacheza na uhalisia kidogo man katika hali halisi hakuna anaeweza Ku trade na $10000000

Cha mwisho kwa sisi ambao tuna haraka ya mafanikio naomba tumalizr kwanza hiki kitabu cha mwisho alafu demo ifanye kazi ya ziada and then nitaku free to goo
 
IMG_0994.jpg
IMG_0995.jpg
IMG_0996.jpg
IMG_0997.jpg
IMG_0998.jpg
IMG_0999.jpg
IMG_1001.jpg
IMG_1002.jpg
IMG_1003.jpg
IMG_1004.jpg
IMG_1005.jpg
IMG_1006.jpg
IMG_1007.jpg


Kuna Hawa jamaa wanaitwa lite forex nilifungua demo account kwao. Leo nimekutana Na hii forecast Yao ya kuanzia Leo mpaka tarehe 23/06 Lkn kweli nimeona Kama sielewi vyema. Ontario, Bavaria Na wengine wanao elewa zaidi mnaweza kutufafanulia?
Naomba kuwasilisha.
 
Hii biashara Si ya kukurupuka. Invest in books kwanza kabla ya kukimbilia kutrade.mimi najipa miezi 3 kwanza! Then miezi 3 kwenye demo. Kisha hapa nitaangalia Kama nifungue real account au VIP! Boss Ontario naomba kujua unatumia broker gani? South Africa? Lot size umeset ngap? Kinacho burn account Ni pipps kubwa au Lot size kubwa? Broker demo account ipi nzuri kwa bigginer? Kama broker ndio anayetoa rates bid/offer je Ana asilimia ngap ya wewe kupoteza biashara au kupata? Je Kama Si mwaminifu je Si rahisi kukutia hasara akicheza Na hizo figure? Je ulipotoa ela kwenye account ulituma moja Kwa moja au lazima zipitie sehemu ingine like pay pal, au Spt, to bank account. Ulisema ulivyotaka Toa mzigo mkubwa walikusumbua je kuanzia dola ngap hawasumbui kuanzia dola ngap wanasumbua?
 
Huku ni kutishana mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]

Anyways, Mimi nadhani there will never be the right time to start real trade. Lazima kuwe na start point ambayo inakuwa defined na wewe mwenyewe confidence yako.

Hizi terminology zipo nyingi mnoo na huwezi kuzijua zote, kwahiyo cha msingi ni master the analysis of graph (to be specific candles) then ukiwa na confidence anza.

Kuna mmoja wa mentor nimempata anasema rafiki yake alienda sehemu kukutana na traders kufika pale Jamaa wanazijua terminology kibao yeye ana zake chache za msingi Ila walivyo anza analysis and speculation Jamaa walikuwa watupu

Mimi sio mtaalamu hata kidogo na sijawahi fanya real trade Ila huu ni mtazamo wangu. Start when u have the confidence in yourself

Usipo chafuka utajifunzaje? Acha watu waunguze accounts hizo za $100 ndio njia ya kuja kuwa pro.

Cheers!!!
KAKA we unamawazo kama mimi, ONTARIO kaleta ideal watu badala ya kujiongeza wanafikiria wote kupata darasa, real fighter kwa idea hii ameshafanikiwa nusu ya safari yake, mimi kama sitopata nafasi kwa kwenye hiyo training sitorud nyuma, nitacomaa mpaka nitatoka, msimamo wangu ndo huo. if they can do you can do.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom