My story so ....
Yaliyonikuta!
Kwanza nilifungua acc. Kwa xm brokers. Hawa jamaa wana customer care nzuri sana!! Baada ya kufungua account nikapewa bonus ya euro 25 hivi!! Nikaona nisiweke pesa kwanza ili nizitumie hizi euro 25 kama majaribio!
Kazi ikaanza! Nikaisogeza ndani ya masaa mawili au manne niliweza make kama euro 10 au 12 hivi!!
Nikawa na open positions kama nne au tano zina run, kwa kujisahau nika click sell...ikajiuza ikiwa na loss...hapa faida ilishuka!
Huku positions nyingine zikiendelea...nika close ya kwanza (maana ilikua kwenye profit position) nikashangaa zina close zenyewe bila mimi ku comand sell au buy! Mpaka sasa sijui nilikosea wapi duuuh!!
Mpaka hapo acc. Ikawa na minus!! Yaani loss! (hapa nilihisi kichwa kinauma)
Kwa kifupi account imeungua!
Hizi ndio sababu za kupata loss...
1. Kupoteza focus. Natrade huku nafanya mambo mengine!
2. Kuopen positions nyingi
3. Kuto tumia vyema top profit HASA stop loss!
4. Kuto focus hasa baada ya kupata first loss (ambayo ilikua ni kosa langu mwenyewe) !
5. Niliruhusu hisia/emotions zinitawale (hapa sijilaumu maana sisi ni binadamu, japo nitajihidi next time isiwe kama last time)!
Somo nililojifunza...
Kweli faida ipo tena uwezekano wa kupata ni mkubwa kuliko kupata hasara kama ukiweza kuji-control na kufocuss na kuwa na maarifa hasa ya kusoma na ku-analyse candle sticks na soko siku husika!
Unaweza poteza 1mil within a second pia unaweza pata 10mil within a second!
Theory na practical ni vitu viwili vyenye sura inayofanana lakini maana tofauti! You should be good on both though!
Nimeamua ku-retreat na kurudi mezani kujifunza zaidi kulingana na makosa yangu!! Japo imeniuma ila Nitarudi tena kutrade soon as I can!
Nilianguka sasa nimeamka. Ntajitahidi nisianguke tena!
Tuendelee kujifunza...
Tuko pamoja!
Ontario alisisitiza concentration ambayo alilazimika KUWA nayo kuanzia kwenye kusoma vitabu. Haswa baada ya kupitia haraka ili aanze ku practice chini ya usimamizi wa mentor wake. Lkn maswali yalipompiga ilibidi akubali ku concentrate. Apply the same you will not get loss.