Umesahau prinsipo za ubepari eh labda utampata hila kwa watanzania tulivyo utasubir la msingi jalibu mwenyewe apply ulichokisoma mkuuwakuu kwa mtu aliepo mwanza au musoma nahitaji msaada wa hii kitu nimesoma vitabu vizuri na ninajua abc za forex lakini nashindwa kuitumia demo account kufanya trading yaani jinsi ya ku buy and sell, na jinsi ya kuweka stop loss, leverage nk japo hivi vitu nimevisoma theotetically so naombeni msaada wakuu hasa kama kuna mtu anakaa musoma!
Sent using Jamii Forums mobile app