Si recommend xm broker kwa forex trader maana jamaa ni market marker wa nguvu! Mwanzon nilidhani jamaa wpo poa kutokana na jina kubwa lakini kati ya forex broker niliotrade nao kwangu mimi huyu xm wamenishinda you always lose no matter how well you enter the market! Nilianza na mtaji mdogo about 30$ na nilikuwa natrade kwa lot size ya 0.02 na pia kuzingatia rules za money management lakini wapi bwana. Hawa jamaa ni greed market maker. Nimetrade na brokers wengine with the same strategies nikawa namake profit lakini kwa xm nime surrender! Sitaki hata kuwasikia!