Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Tapeli achana nae huyo.


Natoa rai kwa newbie na wote mnaotaka kujua Forex , someni na itumieni YouTube vizuri kila Kitu kinapatikana. Amini nawaambia Mimi nilitumia zaidi ya miezi mitano na kucheki YouTube videos za Forex nilijikuta najua mambo mengi sana.


Achaneni na kupigwa kiboya. Ukiwa mvivu kwenye Forex lazima uneemeshe matapeli wanaokuja na vitraining uchwara.

Sent using Jamii Forums mobile app
wala si tapeli bro namjua vyema uyo mtu cc, pa.. , unajua mtu anavyo sema kufundisha si kwamba anashida ya hela ama vipi no kadri unapomfundisha mtu unapata kujua na vitu vingine zaidi note that. uyo jamaa ni real trader chek order namba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wala si tapeli bro namjua vyema uyo mtu cc, pa.. , unajua mtu anavyo sema kufundisha si kwamba anashida ya hela ama vipi no kadri unapomfundisha mtu unapata kujua na vitu vingine zaidi note that. uyo jamaa ni real trader chek order namba

Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo bei sasa Usd 500.... Dah....si afanye bure tumuunge mkono?
 
wala si tapeli bro namjua vyema uyo mtu cc, pa.. , unajua mtu anavyo sema kufundisha si kwamba anashida ya hela ama vipi no kadri unapomfundisha mtu unapata kujua na vitu vingine zaidi note that. uyo jamaa ni real trader chek order namba

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwache akafie mtaroni tuu... Naona njaaa imemkaba hadi uwezo wakufikiri haupo.
IMG_20180904_084737_011.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG_20180904_084737_011.jpg
    IMG_20180904_084737_011.jpg
    105.1 KB · Views: 47
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom